Aiba mtoto wa bosi wake, adaiwa kumlawiti kwa miezi mitano

Aiba mtoto wa bosi wake, adaiwa kumlawiti kwa miezi mitano

“Angewadanganya wote lakini Asingeweza kunificha mimi”

Kwa sababu wewe ni Mungu kwake ama niaje?










Kuuza mbuzi 35 kwa mkupuo ni rahisi kwa mtu alieweka mipango na kusuka ramani muda mrefu ukizingatia yeye ndio mchungaji kwahiyo lazima alikua anajuana na wachungaji wengine na wauzaji pia.

Huyo aliekua anafungiwa ndani alikua anazibwa na mdomo na kufungwa mikono na miguu?

Maana sioni sababu kwanini hakujiokoa kwa kupiga kelele kuita majirani ama kujaribu kuvunja mlango ama dirisha? Tena kijana wa miaka 14, ni mtoto yes lakini mwenye utambuzi wa mazingira na means of survival lazima anazijua tayari.


Miezi mitano unalawitiwa kirahisi tu?!

Na hao wazazi kijana anapotea miezi 5 taarifa zilifika polisi? Juhudi zao za kumtafuta mtoto wao kwa miezi yote mitano ni zipi?

Upishi unaweza kuwepo hapa.
Mkuu hata mimi naona hii habari haina muunganiko na ina matobo mengi sana,huenda kuna kitu hakiko sawa kwa hawa wazazi.
 
Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Lebahati (35-37) anatuhumiwa kumtorosha mtoto wa kiume wa bosi wake na kwenda kuishi naye kinyumba kwa miezi mitano mfululizo huku akimlawiti.

Kijana huyo aliyekuwa anafanya kazi ya kuchunga mifugo kwa bosi wake Simioni Abel huko wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, alitoroka na mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 14 aliyekuwa akisoma Shule ya Msingi Miwaleni na kuja kuishi nae mkoani Arusha.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wazazi wa mtoto huyo, walisema kuwa kijana huyo alitoroka tangu mwezi wa pili ambapo aliiba mbuzi 35 na kwenda kuuza kabla ya kuja kuondoka na kijana wao.

"Siku ya tukio mwishoni mwa mwezi wa pili Lebahati aliondoka nyumbani asubuhi kama kawaida kwenda kuchunga ng'ombe na mbuzi na sisi kuendelea na harakati zetu lakini kurudi jioni tukakuta mbuzi 35 hakuna na kijana wetu hayupo na kwenye simu hapatikani," alisema baba wa mtoto huyo Simioni Abel.

Alisema kuwa katika kumtafuta kila mahala baadae mtuhumiwa alipatikana na katika mawasiliano alikana kuondoka na mtoto huku akidai aliondoka na kuacha mifugo shambani.

"Tulimtafuta mtoto hadi tulikata tamaa kabisa lakini wiki iliyopita alipiga simu na kudai alikuwa na mtoto na kunitaka nikampokee eneo la Kawawa mjini Moshi kuwa amempakiza basi, nilifanya hivyo na kwenda kumchukua bila kujua kuwa alikuwa na matatizo yoyote kwani yeye mwenyewe hakusema chochote zaidi ya kulala hovyo akisema anajisikia vibaya," amesema.

Alisema kuwa baada ya wiki moja walipigiwa sim kutoka kwa mtendaji wa Kata ya Kisongo mkoani Arusha kuwa mtoto wao anahitajika kwa uchunguzi na matibabu zaidi kutokana na alilawitiwa.

"Jambo hilo nilishtuka nikaamua kumshirikisha mdogo wangu tuliyekuwa tunapambana nae katika jambo hilo ndio tukafunga safari kuja Arusha baada ya taarifa hizo na tulipofika hadi hospital ikabainika kweli mtoto aliingiliwa kinyume na maumbile," amesema baba wa mtoto huku akiangua kilio.

Akizungumzia tukio hilo, mtoto huyo anasema kuwa kijana huyo alianza kumfanyia vitendo hivyo mjini Moshi siku za mwisho wa wiki walipokuwa wanaenda kuchunga mifugo, kabla ya siku ya tukio walipoiba mifugo na kwenda kuuza mnadani na kutoroka naye kuja Arusha.

"Alianza kunifanyia huko Moshi porini tukienda kuchunga na kunipa hela huku akinitishia nikisema ataniua. Hata siku ya kutoroka alipeleka mbuzi mnadani na kunitaka nimsindikize akisema anakuja kwao Arusha kusalimia lakini baada ya kufika hakuniruhusu kutoka na badala yake akawa ananifanyia vitendo hivyo kila siku kwa kuniziba mdomo na akitoka ananifungia ndani," amesema.

Akizungumzia tukio hilo, Mtendaji wa Kata ya Kisongo, John Nkini alisema kuwa walipata taarifa za kijana huyo kuishi na mtoto wa kiume kinyumba na walimkamata kwa mahojiano na kukana kuhusika hivyo waliamuachia na ndipo alipotoroka.

"Tulipata fununu za taarifa hizi na tulimkamata mtuhumiwa na kumuhoji lakini alikanusha hivyo tulimuachia ili kufanya kwanza mawasiliano ya upande wa pili ambao ni wazazi wa mtoto kuthibitisha tukio hilo na baadaye walipokuja na kuthibitika mtoto aliingiliwa kijana huyo alikimbilia kusikojulikana hadi sasa," amesema Nkini.

Akizungumzia tukio hilo kwa njia ya simu, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justin Masejo amesema kuwa tukio hilo wanalishughulikia.

"Asante kwa taarifa naomba kushughulikia," amejibu.

Baba mdogo wa mtoto huyo, Ramadhani Laswai amesema kuwa baada ya vipimo mtoto wao amebainika kuathirika sehemu za haja kubwa kutokana na kuingiliwa.

"Mtoto amekutwa ameharibika, hasa mishipa ya sehemu za haja kubwa hazina nguvu kabisa yaani zimelegea," amesema.

Alitumia nafasi hiyo kuiomba serikali kuingilia kati swala hilo kumsaka mtuhumiwa ili hatua Kali za kisheria ziweze kuchukua mkondo wake.

"Tunaomba Serikali na waziri mwenye dhamana kuingilia kati swala hili kwani juhudi za kumsaka mtuhumiwa ni ndogo sana, wiki nzima hakuna mafanikio na wahusika hawasemi chochote na ukizingatia walimkamata awali na kumwachia bila sababu ya msingi, kiukweli tumeumia mtoto wetu kufanyiwa kitendo hiki," amesema.

MWANANCHI
HIi story inaonekana dhahiri wameitunga tu. Yaani mtu atoweke ghafla na mtoto na mifugo, mumpigie simu awajibu kirahisi tu kuwa aliiacha shambani na mtoto alimuacha huko halafu mnamuamini tu? na mnaona hakuna hata haja ya kwenda kutoa taarifa Polisi?
Kwa mji kama Moshi au popote mfanyakazi wenu auze Mbuzi 35 halafu asiwepo hata mtu mmoja wa kujua kwa miezi yote mitano?
Hata ukisoma kuhusu ule upande wa pili jinsi walivyopata taarifa na kumkama mtuhumiwa, walivyomhoji akakataa na kumuachia, yaana mhoji tu mtuhumiwa bila kumhoji mtoto? Bila kumpima? Bila kujiuliza kwanini haendi shule? Bila kutaka kujua yule mtoto kwao ni wapi?
Hapana kwakweli, hii story nimeikataa.
 
“Angewadanganya wote lakini Asingeweza kunificha mimi”

Kwa sababu wewe ni Mungu kwake ama niaje?










Kuuza mbuzi 35 kwa mkupuo ni rahisi kwa mtu alieweka mipango na kusuka ramani muda mrefu ukizingatia yeye ndio mchungaji kwahiyo lazima alikua anajuana na wachungaji wengine na wauzaji pia.

Huyo aliekua anafungiwa ndani alikua anazibwa na mdomo na kufungwa mikono na miguu?

Maana sioni sababu kwanini hakujiokoa kwa kupiga kelele kuita majirani ama kujaribu kuvunja mlango ama dirisha? Tena kijana wa miaka 14, ni mtoto yes lakini mwenye utambuzi wa mazingira na means of survival lazima anazijua tayari.


Miezi mitano unalawitiwa kirahisi tu?!

Na hao wazazi kijana anapotea miezi 5 taarifa zilifika polisi? Juhudi zao za kumtafuta mtoto wao kwa miezi yote mitano ni zipi?

Upishi unaweza kuwepo hapa.
Tumewaza sawa
 
Kuwa jirani tu na mchaga ni shida, ukiona jirani anahamia mchaga jipige uzio.


Wanatamaa sana. Wakiona pesa
Duh asee tulipofikia kwenye ukabila ni hatari. Ila mimi huwa naona mnakuwaga na wivu tu
Sio wivu mkuu. Ukute mchaga chapombe ndiye mmepakana viwanja........muda wowote anaviza vyote.


Mie nikisikia rafudhi yao Huwa nasitisha mazungumzo nao yanayohusu pesa.


Ni wezi na matapeli sana hao jamaa
 
Ila huko kasikazini kuna mambo ya ajabu...sijui ni bangi au kitu gan?

Juzi wanaokota mwalimu katupwa kwenye miwa, mara amuue mama yake amfukie, mara padre alwawiti watoto 14...mara shekhe alawiti watoto 22..

Au mnasingiziana...

NB...ASILIMIA KUBWA YA MASHOGA HAPA DAR WANATOKA HUKO KASIKAZINI LABDA WANATENGENEZWA HIVYO
 
Kwa kawaida mtu hawezi kuuza mbuzi 35 mnadani kwa mkupuo mmoja Tena bila risiti za malipo ya ushuru.

Huu Mchezo wa kusingiziana kesi za ulawiti umekithiri. Kuna Ndugu yangu alikuwa anapenda kucheza na Mtoto wa mpangaji mwenzake. Siku ya siku akaja kukamatwa na polisi kwa tuhuma za ulawiti wa huyo Mtoto na akababanishwa hadi akalipa 2.5m ili asifungwe. Lakini hadi leo anadai kuwa hajui chechote kuhusu tukio lile. Angewadanganya wote lakini Asingeweza kunificha mimi
Duh aisee Kuna Cha kujifunza hapa.[emoji120]
 
Kuwa jirani tu na mchaga ni shida, ukiona jirani anahamia mchaga jipige uzio.


Wanatamaa sana. Wakiona pesa
Sio wivu mkuu. Ukute mchaga chapombe ndiye mmepakana viwanja........muda wowote anaviza vyote.


Mie nikisikia rafudhi yao Huwa nasitisha mazungumzo nao yanayohusu pesa.


Ni wezi na matapeli sana hao jamaa
Acha ufala wewe.
 
Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Lebahati (35-37) anatuhumiwa kumtorosha mtoto wa kiume wa bosi wake na kwenda kuishi naye kinyumba kwa miezi mitano mfululizo huku akimlawiti.

Kijana huyo aliyekuwa anafanya kazi ya kuchunga mifugo kwa bosi wake Simioni Abel huko wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, alitoroka na mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 14 aliyekuwa akisoma Shule ya Msingi Miwaleni na kuja kuishi nae mkoani Arusha.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wazazi wa mtoto huyo, walisema kuwa kijana huyo alitoroka tangu mwezi wa pili ambapo aliiba mbuzi 35 na kwenda kuuza kabla ya kuja kuondoka na kijana wao.

"Siku ya tukio mwishoni mwa mwezi wa pili Lebahati aliondoka nyumbani asubuhi kama kawaida kwenda kuchunga ng'ombe na mbuzi na sisi kuendelea na harakati zetu lakini kurudi jioni tukakuta mbuzi 35 hakuna na kijana wetu hayupo na kwenye simu hapatikani," alisema baba wa mtoto huyo Simioni Abel.

Alisema kuwa katika kumtafuta kila mahala baadae mtuhumiwa alipatikana na katika mawasiliano alikana kuondoka na mtoto huku akidai aliondoka na kuacha mifugo shambani.

"Tulimtafuta mtoto hadi tulikata tamaa kabisa lakini wiki iliyopita alipiga simu na kudai alikuwa na mtoto na kunitaka nikampokee eneo la Kawawa mjini Moshi kuwa amempakiza basi, nilifanya hivyo na kwenda kumchukua bila kujua kuwa alikuwa na matatizo yoyote kwani yeye mwenyewe hakusema chochote zaidi ya kulala hovyo akisema anajisikia vibaya," amesema.

Alisema kuwa baada ya wiki moja walipigiwa sim kutoka kwa mtendaji wa Kata ya Kisongo mkoani Arusha kuwa mtoto wao anahitajika kwa uchunguzi na matibabu zaidi kutokana na alilawitiwa.

"Jambo hilo nilishtuka nikaamua kumshirikisha mdogo wangu tuliyekuwa tunapambana nae katika jambo hilo ndio tukafunga safari kuja Arusha baada ya taarifa hizo na tulipofika hadi hospital ikabainika kweli mtoto aliingiliwa kinyume na maumbile," amesema baba wa mtoto huku akiangua kilio.

Akizungumzia tukio hilo, mtoto huyo anasema kuwa kijana huyo alianza kumfanyia vitendo hivyo mjini Moshi siku za mwisho wa wiki walipokuwa wanaenda kuchunga mifugo, kabla ya siku ya tukio walipoiba mifugo na kwenda kuuza mnadani na kutoroka naye kuja Arusha.

"Alianza kunifanyia huko Moshi porini tukienda kuchunga na kunipa hela huku akinitishia nikisema ataniua. Hata siku ya kutoroka alipeleka mbuzi mnadani na kunitaka nimsindikize akisema anakuja kwao Arusha kusalimia lakini baada ya kufika hakuniruhusu kutoka na badala yake akawa ananifanyia vitendo hivyo kila siku kwa kuniziba mdomo na akitoka ananifungia ndani," amesema.

Akizungumzia tukio hilo, Mtendaji wa Kata ya Kisongo, John Nkini alisema kuwa walipata taarifa za kijana huyo kuishi na mtoto wa kiume kinyumba na walimkamata kwa mahojiano na kukana kuhusika hivyo waliamuachia na ndipo alipotoroka.

"Tulipata fununu za taarifa hizi na tulimkamata mtuhumiwa na kumuhoji lakini alikanusha hivyo tulimuachia ili kufanya kwanza mawasiliano ya upande wa pili ambao ni wazazi wa mtoto kuthibitisha tukio hilo na baadaye walipokuja na kuthibitika mtoto aliingiliwa kijana huyo alikimbilia kusikojulikana hadi sasa," amesema Nkini.

Akizungumzia tukio hilo kwa njia ya simu, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justin Masejo amesema kuwa tukio hilo wanalishughulikia.

"Asante kwa taarifa naomba kushughulikia," amejibu.

Baba mdogo wa mtoto huyo, Ramadhani Laswai amesema kuwa baada ya vipimo mtoto wao amebainika kuathirika sehemu za haja kubwa kutokana na kuingiliwa.

"Mtoto amekutwa ameharibika, hasa mishipa ya sehemu za haja kubwa hazina nguvu kabisa yaani zimelegea," amesema.

Alitumia nafasi hiyo kuiomba serikali kuingilia kati swala hilo kumsaka mtuhumiwa ili hatua Kali za kisheria ziweze kuchukua mkondo wake.

"Tunaomba Serikali na waziri mwenye dhamana kuingilia kati swala hili kwani juhudi za kumsaka mtuhumiwa ni ndogo sana, wiki nzima hakuna mafanikio na wahusika hawasemi chochote na ukizingatia walimkamata awali na kumwachia bila sababu ya msingi, kiukweli tumeumia mtoto wetu kufanyiwa kitendo hiki," amesema.

MWANANCHI
M.asai kwenye ubora wake.
Yaani wamasai ni wezi
Sasa hilila kulawiti ni kama simba kula.nyama ya mtu..

Asakwe
 
Why? Wamasai nao, tena wa Monduli wamekuwa kama Vijana wa Kinondoni Studio?
Huu upumbavu wa kuamini kuwa kulawitiana kuko mikoa ya Pwani tu,uachwe,na ni watu fulani tu wanaofanya hivyo,uachwe kabisa.Ndio kinachofanya watu wa aina fulani,kutoka mikoa fulani kuaminiwa,kumbe hao ndio washenzi kabisa.
Huu ushenzi uko kwa kabila,yoyote ile,watu wawe making na watoto wao,hata kama mtoto ana miaka 18,wengi sasa vijana wa mikoa ya bara,wameshafanywa na kuharibiwa vibaya.
 
Huu upumbavu wa kuamini kuwa kulawitiana kuko mikoa ya Pwani tu,uachwe,na ni watu fulani tu wanaofanya hivyo,uachwe kabisa.Ndio kinachofanya watu wa aina fulani,kutoka mikoa fulani kuaminiwa,kumbe hao ndio washenzi kabisa.
Huu ushenzi uko kwa kabila,yoyote ile,watu wawe making na watoto wao,hata kama mtoto ana miaka 18,wengi sasa vijana wa mikoa ya bara,wameshafanywa na kuharibiwa vibaya.


Nenda Kinondoni fala wewe kuanzia studio, kupanda, mpaka kwa Mchina saa 1 asubuhi kama hutakosa wanaume mchana kweupe mashoga!

Nimetembea sana, sijawahi liona hili jambo linalofanana na Hili kokote huko. Dar ea salaam ndo mkoa usiokuwa na maadili kuliko wowote.
 
Back
Top Bottom