Aibu ya Mwaka: Sauti Zimevuja, Feitoto akifundishwa namna ya kuongea uongo Clouds

Client akimpa maelezo mwanasheria au msimamizi wake, msimamizi au mwanasheria ndiye anayetoa guide ya kum lead aongee vipi kulingana na scenario hiyo

Namna mteja anavyomueleza mwanasheria ni tofauti na ambavyo anatakiwa a present kwenye court au kwenye media.

We umesikiliza hiyo clip umesikia maneno yeyote yanayoashiria kwamba Feisali analishwa maneno ambayo hayajui (yakutungwa) au anapewa utaratibu wa kuanza na maneno gani kuongea ambayo ndio yaliyomtokea ?
 
Interview inakuwa na behind the scenes kama movie, tatizo igizo lao kwenye scripts, story wamechemka kwani hawana mtu makini kwenye continuity.

Haya endeleeni kumchangia tunasubiria CAS, tunaenda nae kisheria yy acha aendelee kutafuta huruma kwa public.
 
masudi alichokosa ni elimu. kichwa maji.
 
Hyo kawaida hata bungeni wale wanaochangia wote wameandaliwa ili kuepusha contents zisizo na maadili kusikika sasa shida iko wapi ila manara kama ni tatizo la akili basi kwake imefikia 100%
 
Unajitoa ufahamu
Njoeni na hoja

Hoja ya kusema anapangwa ni hoja ya kitoto

Hata Raisi anapangwa namna ya kuongea so unasemaje? Raisi anatudanganya?

Hotuba zinaandaliwa na watu wengine sio na Raisi ila siku Raisi anawasilisha, wote tunajua kuwa kilichoandikwa kwenye ile hotuba ndio msimamo halisi wa Raisi.

Let say GSM hapokei simu za Feisali, hili ni jambo ambalo limekuwa confirmed kuwa ni kweli. Sasa uawalaumu hao watu kwa lpi haswa?

Mfano siku Feisali akiwa anaongea na Hersi pamoja na mama yake kuwa wasaini mkataba wa miaka miwili halafu kukawa na ushahidi wa hayo mazungumzo, mtasemaje?
 

Hapo siyo kama anapewa guidence ,hapo anapindisha ukweli ,aweke malipo hayo ya mili10 ,kisha mil20 tuone kama siyo muongo.

Eng Taarifa alizotoa zote sahihi ,kwamba Fei anakataa mishahara na kweli Fei amekiri ,na pia Eng kasema alimpa 100m cash means Eng ana ushahidi ndiyo maana amesema.

Huyo Amijei anatumika tu hana lolote ,eti anasema kwamba kuna mdau wa yanga ndani amempa 25m?
 
Haya yote wanasheria wa Feisal hawayajui? Unaamini kabisa wanasheria akina Fatma hawafahamu process za kuvunja mkataba?

Huoni kuwa Feisal anawekewa vigingi na sababu everyone anaweza kununulika mwisho wa siku atakosa haki yake, atapoteza muelekeo, kipaji kitazeeka, ndicho mnachotaka?

Nimeuliza huko juu ni kifungu gani cha sheria kimeshindikana kutafsirika? Kuna room ya discussion kama kweli yanga wanataka kumrelease Feisal? Wewe binafsi, kama mtu akiwa hataki kuendelea kufanya kazi kwako unafanyaje?

Unamkandakiza huyo dogo hivyo, je wewe ni shabiki tu au ndio nyie mabwana wakubwa wenye maslahi ya moja kwa moja na yanga? Kwenye hiyo audio ambayo binafsi naamini ni genuine, kuna chochote umekisikia cha ajabu kiasi iletwe kwenye jamii as if ni habari kubwa au ni jinai?
 
Shida sio kumfukuza! Una huyo masoud kipanya mwingine..?

Mkuu kupata replace ya masoud sio rahisi kama unavyozani!

Uamini fatilia maslahi apatayo hapo unapo omba afukuzwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…