Huyu ni miongoni mwa wabunge waliokuwa wanatoa pendekezo kiongozi wa nchi aongezewe muhula wa kuendelea kutawala.Huyu Ally Kessy ana kiherehere, nafkiri ni mkakati wa Chama kumuondoa bungeni. Haiwezekani hata kidogo mbunge wa CCM kushindwa kwa namna mambo yalivyo majimboni mwaka huu. Kessy hatakiwi aingie bungeni mara hii ndio maana kapigwa chini.
Hao wamepewa kwa ajili ya Ku justify wizi, ili mkilalama waseme mbona wale wameshinda?Tanzania nzima wameƙuwa wawili tu duuh[emoji86]
Akili za hovyo hizi kwanini iwaadhiri upi zani tu, ccm wameiba Sana uchaguzi huu jiwe anataka USHINDI wa kishindoUkweli watu wengi hawajajitokeza kupiga kura alafu wanalalamika ccm kushinda jamani kura moja ina impact
Sio gundu ni yule shetani mkuu hamtaki kwa ajiki ya kutetea korosho.Hawa Ghasia naye ana gundu kushindwa mwaka huu hakukuwa na uchaguzi aisee. But I'm happy hao wamama wawili wameenda bungeni Ila sioni impact yao
Acha ujinga wewe, acha na yeye akale pesa. Unataka kina mbowe tu ndio wafaidiHii geresha haiwezekani Tanzania nzima ashinde mbunge mmoja CHADEMA, shtukeni huu ni mtego utawanasa wote, humo bungeni atanyanyaswa mpaka ajute na hatakuwa na support, wajenga hoja wote wametolewa, kama vipi warudishieni kajimbo hako.
Sent using Jamii Forums mobile app
...kwishney...Ila wazee niwaambieni kitu,safari hii kuna suprise ambayo itashtua dunia...mambo hayajaisha!
AhahahEti Kessy kadondoshwa[emoji15]!
Yaani yule Kessy aliyekuwa anapiga kelele bungeni meko aongezewe muda!?
Hayo ni maigizo na maagizo kutoka remote centre!
Hilo ni chenga la macho ili ionekane zoezi limekuwa fair! Utasikia meko anavuojua kunanga atasema "kama uchaguzi haukuwa huru na haki mbona huyu mpinzani alitangazwa?"
Huu ni mchezo umechezwa na tiaises kwa maelekezo maalum, then hakutakuwa na kitu cha kushangaza huyo Kessy akija akiteuliwa kuwa mbunge!
Anaweza kuunga juhudi pia.Namuombea huyu dada apewe usirikiano na CHADEMA, laa sivyo atakuwa na wakati mgumu sana bungeni. Kutimiza majukumu yake ya kibunge na kufuata matakwa/masharti ya Chama.
Kwahiyo atakuwa anachangia ile 500k kwa chama kila mwezi?Ongera sana Chadema kwakupata mbunge mmoja, japokuwa hata maliza miakayake mitano akiwa bado ni mbunge wa Chadema.
Mkuu siasa zisikufanye ukawaona watu mashetani na kuhisi laana juu yao, nafikiri endelea kupambania familia yako, kuna vitu huwa vinafanyika far worse than this.Mkiwa na kiongozi mkuu mnafiki na zao la shetani, waongozwa wote mtajuta. Sahizi kuna watu wanafurahia lakini waja wakati ambao wanaofurahia watajuta kuliko wanaoumia leo.
Nchi ipo katika laana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiona wanamgasi sana aunge tu juhudiNamhurumia huyo dada kahela kake ka viposho kina Msigwa watakagombania kwa kupiga mizinga
...karibu ukataKwaheri ruzuku!
Haaaa haaaa Excel ilipoteza fomulaEti Kessy kadondoshwa[emoji15]!
Yaani yule Kessy aliyekuwa anapiga kelele bungeni meko aongezewe muda!?...