Aikaeli Mbowe kaonesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa

Hivyo vyama ofisi zao zimo ndani ya ofisi ya CCM Lumumba, huonekana tu wakati wa uchaguzi kwa kutumia vyombo vya habari.
Gentleman,
for your infomation,
ofisi za chadema maeneo mengi nchini zipo kwenye majengo ya ccm na ya wananchama wa ccm, wewe unasema nini eti?

na hata wapangaji wengi wa chadema huko mitaa wamepanga kwenye nyumba za wanaCCM na wengine wanaishi kwenye nyumba za serikali sikivu ya ccm.

hapo tusemaje sasa
 
huna hoja gentleman,
naona unambwelambwela na story za pata potea
 
apeleke chuki na wivu wake huko, serikali sikivu ya ccm iko kazini inachapa kazi za wananchi
 
Chuki alianzisha mwendakuzimu kwa kuanzisha uadui kati ya interhamwe (ccm) na watanzania wengne na malkia Jezebel nae amerithi chuki uadui na ukatili na ipo siku watanzania watashangilia kama wa Syria 🇸🇾
 
Chuki alianzisha mwendakuzimu kwa kuanzisha uadui kati ya interhamwe (ccm) na watanzania wengne na malkia Jezebel nae amerithi chuki uadui na ukatili na ipo siku watanzania watashangilia kama wa Syria 🇸🇾
chuki za wazi kabisa chadema aise,

chairman mbowe kafanya press confernce jana , halafu kesho vice chairman Lisu, anapiga press confernce nyingine kesho kuzima trending ya chairman mbowe
 
Hatujawahi kuwa na serikali ya CCM, serikali iliyopo ni ya wananchi wa Tanzania.
 
Sasaa unaruhusuje chawa wakunyonye damu kwa mfano,iwapo unashindwa kuchukia chawa uumchafu wa viwango vya juu zaidi.
 
chuki za wazi kabisa chadema aise,

chairman mbowe kafanya press confernce jana , halafu kesho vice chairman Lisu, anapiga press confernce nyingine kesho kuzima trending ya chairman mbowe
Lisu anatembea na risasi mwili na wauaji waliotumwa na ccm hadi leo wako huru unategemea lisu awasamehe wauaji wasio wajibishwa na wale wanaowalinda wauaji?
Day will come we will be happier than Syrians
 
tatizo waeruvu mjaa mihemko tupu ,

hakuna mawazo mapya wala fikra mbadala ni makasiriko tu
Mwerevu ana enda kwenye ujumbe mojakwamoja kanjanja analeta porojo ili kuwazubaisha mazuzu.
 
Lisu anatembea na risasi mwili na wauaji waliotumwa na ccm hadi leo wako huru unategemea lisu awasamehe wauaji wasio wajibishwa na wale wanaowalinda wauaji?
Day will come we will be happier than Syrians
kwahiyo hicho ndicho kigezo na sifa ya kiongozi bora chadema sio

kwamba atafanya nini sasa kwa niaba ya mabwenyenye ya magaharibi yanayombackup, hata hangekua na hiyo risasi?
 
Sasaa unaruhusuje chawa wakunyonye damu kwa mfano,iwapo unashindwa kuchukia chawa uumchafu wa viwango vya juu zaidi.
ili usiruhusu kunywanywa,

unakunywa konyagi tu ili ukurupuke kama nyumbu na maandamano ya samaia must go
 
trust my lips, werevu wakika kimya kenge huongezeka
eeh sawa waerevu wajitokeze na mawazo mapy na fikra mbadala zenye mashiko,

sasa mihemko, makasiriko na kuporomosha matusi itasaidia nini
 
MAJIZI FATENI YENU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…