Aikaeli Mbowe kaonesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa

Aikaeli Mbowe kaonesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa

Mbowe na CHADEMA yake sasa wanaonekana dhahiri kwamba wamepoteza dira na hawana lolote jipya wanachoweza ku-offer kwa Watanganyika.
Chama ambacho kinataka dola kila kukicha ni kulialia tu, sasa wananchi wanalia na CHADEMA nao wanalia sasa nani atamsaidia mwenzake..
Siasa za kutafuta huruma kutoka kwa wananchi zimepitwa na wakati. Kweli leo hii MBOWE bado natuletea siasa ambazo MREMA alikuwa nazo miaka 30 iliyopita?
Wizi wa KURA kwa CCM siyo jambo geni wala jipya kwetu,, kilichotakiwa ni yeye kutupa solution ya hilo na si kulia kulia..
Wanapofeli MBOWE na CHADEMA yao ni kupambana kwa style ya kutafuta huruma ambayo haitowaletea tija,, kama wanataka kuing`oa CCM inabidi wawashawishi wale watu ambao huwa hawapigi kura ambao asilimia kubwa ukiangalia ndo wamechoshwa na CCM.
Kama CHADEMA inaweza kutembelea mara kawa mara kila KATA ya nchi hii na kuwaelezea Watanganyika wa kata husika walipokwamishwa na CCM na nini CHADEMA itafanya kubadili maisha yao itaamsha watu..
Lakini huku kulialia kila siku haina msaada wowote na wataendelea kulia tu..
 
Friends, ladies and gentlemen.

Je ni kweli kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu?

Inaonekana kwenye siasa za Tanzania hasa upinzani, chuki binafsi, migawanyiko, uhasama na utengano miongoni mwa vyama vya siasa eti ndiyo huleta nguvu na ndiyo kipaumbele chao kwa sasa.

Kitendo cha Mwenyekiti wa wa chadema taifa, Freeman Aikaeli Mbowe kuonyesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa vya upinzani, na kujaribu kuvikaripia kwa ukali na pengine kuvielekeza kufikiri kama inavyofikiri chadema, kinaashiria udikteta wa wazi kabisaa.

Je,
huku sio kuingilia uhuru, haki, uelekeo na mipango mikakakati ya vyama vingine vya siasa kadiri wanavyoona inafaa?

huu ni wivu tu au ndiyo udikteta unajipambanua mapeeeemaaaa ili iwe rahisi kwa uma kuudhibiti vizuri kwenye sanduku la kura?

Ni dhahiri chadema haina ushawishi ndani ya chadema yenyewe, haina ushawishi katika upinzani kwa ujumla, na zaidi sana haiaminiki wala haina ushawishi kwa raia na wapiga kura tena. Imebaki na press conference, matamko na kushinikiza tu vyama vingine vya siasa vifanye nini.


Yaani vyama vya upinzani badala ya kushawishiana kwa hoja, kushauriana kama ndungu na kuhubiri umoja miongoni mwa upinzani, eti Freeman Aikaeli Mbowe anahubiri, anachochea na kuhamasisha chuki na utengano miongoni mwa vyama vya siasa. Kweli upinzani, hasa chadema una nia njema na taifa hili ndrugo zangu?

Ni wazi chadema katika ujumla wake, haina dhamira ya kufanya siasa safi, wala haina mipango ya kushinda uchaguzi, ima kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi wala kuwatumikia wananchi,

Bali chadema ina lenga kuchochea chuki, uhasama na kuligawa taifa katika misingi ya vyama miongoni mwa wananchi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini na kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya siasa hasa upinzani, visifanye kazi na majukumu yao kwa uhuru kadiri ya malengo na mitazamo yao, bali vifanye siasa kadiri chadema inavyotaka.

Migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya chadema, sasa inachochewa na chadema yenyewe hadi katika vyama vingine vya siasa vya upinzani nje ya chadema. Ni dhahiri kuna tatizo chadema.

Unadhani Chadema ina feli wapi hata kufikia hatua ya kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya upinzani nchini, na asasi za kiraia zenye mipango, malengo na maono yao?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Tanzania Cham cha upinzani ni moja tu CHADEMA. Hivo vyama vingine vyote ni mamluki wa wa Chama tawala na lengo la hivyo vyama ni kupambana na CHADEMA. Siyo vya vya upoinzani kwa CCM bali kwa CHADEMA.
 
Friends, ladies and gentlemen.

Je ni kweli kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu?

Inaonekana kwenye siasa za Tanzania hasa upinzani, chuki binafsi, migawanyiko, uhasama na utengano miongoni mwa vyama vya siasa eti ndiyo huleta nguvu na ndiyo kipaumbele chao kwa sasa.

Kitendo cha Mwenyekiti wa wa chadema taifa, Freeman Aikaeli Mbowe kuonyesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa vya upinzani, na kujaribu kuvikaripia kwa ukali na pengine kuvielekeza kufikiri kama inavyofikiri chadema, kinaashiria udikteta wa wazi kabisaa.

Je,
huku sio kuingilia uhuru, haki, uelekeo na mipango mikakakati ya vyama vingine vya siasa kadiri wanavyoona inafaa?

huu ni wivu tu au ndiyo udikteta unajipambanua mapeeeemaaaa ili iwe rahisi kwa uma kuudhibiti vizuri kwenye sanduku la kura?

Ni dhahiri chadema haina ushawishi ndani ya chadema yenyewe, haina ushawishi katika upinzani kwa ujumla, na zaidi sana haiaminiki wala haina ushawishi kwa raia na wapiga kura tena. Imebaki na press conference, matamko na kushinikiza tu vyama vingine vya siasa vifanye nini.


Yaani vyama vya upinzani badala ya kushawishiana kwa hoja, kushauriana kama ndungu na kuhubiri umoja miongoni mwa upinzani, eti Freeman Aikaeli Mbowe anahubiri, anachochea na kuhamasisha chuki na utengano miongoni mwa vyama vya siasa. Kweli upinzani, hasa chadema una nia njema na taifa hili ndrugo zangu?

Ni wazi chadema katika ujumla wake, haina dhamira ya kufanya siasa safi, wala haina mipango ya kushinda uchaguzi, ima kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi wala kuwatumikia wananchi,

Bali chadema ina lenga kuchochea chuki, uhasama na kuligawa taifa katika misingi ya vyama miongoni mwa wananchi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini na kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya siasa hasa upinzani, visifanye kazi na majukumu yao kwa uhuru kadiri ya malengo na mitazamo yao, bali vifanye siasa kadiri chadema inavyotaka.

Migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya chadema, sasa inachochewa na chadema yenyewe hadi katika vyama vingine vya siasa vya upinzani nje ya chadema. Ni dhahiri kuna tatizo chadema.

Unadhani Chadema ina feli wapi hata kufikia hatua ya kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya upinzani nchini, na asasi za kiraia zenye mipango, malengo na maono yao?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Vyama vingine siyo vya upinzani bali ni Jumuiya za CCM!
 
Tanzania Cham cha upinzani ni moja tu CHADEMA. Hivo vyama vingine vyote ni mamluki wa wa Chama tawala na lengo la hivyo vyama ni kupambana na CHADEMA. Siyo vya vya upoinzani kwa CCM bali kwa CHADEMA.
kwahiyo kinapambana na upinzani au chama Tawala 🤣


na hiyo chadema haina sera hata ipambane kwa chuki na uhasama na migawanyiko? sasa watamshinda nani kindezi hivyo gentleman 🐒
 
Zingatia tu hoja mahususi na press conference ya mwenyekiti wa chadema Taifa jana gentleman.

Utaona dhahiri chadema inachochea chuki na migawanyiko ndani yake yenyewe lakini pia, sasa inakwenda mbali zaidi kuchochea chuki na kuhamasisha uhasama, huku ikidictate uhuru na haki za vyama vingine vya siasa vya upinzani.

Hii ni kumaanisha chadema imepoteza uelekeo na inakusudia kuvuruga umoja wa kitaifa 🐒
Hakuna umoja wa Kitaifa hapa, Zanzibar wako kivyao na Tanganyika inazidi kukandamizwa chini. Hivi umeshawahi kuwalalamika kwanini Wazanzibari wana bendera yao na rais wao? Huko si ndiyo kuchochea mgawanyiko?
 
Hakuna umoja wa Kitaifa hapa, Zanzibar wako kivyao na Tanganyika inazidi kukandamizwa chini. Hivi umeshawahi kuwalalamika kwanini Wazanzibari wana bendera yao na rais wao? Huko si ndiyo kuchochea mgawanyiko?
migawanyiko ndani ya chadema sio suala la kitaifa gentleman, hayo ni mambo yao binafsi wayataftie ufumbuzi binafsi..

Kama Taifa tupo imara na hakuna mawenge wala mbambamba, tunasonga mbele pamoja kama Taifa moja Tanzania 🐒
 
Vyama vingine siyo vya upinzani bali ni Jumuiya za CCM!
kuna ubaya gani hata wakiunda UKAWA tena gentleman,

si ni uhuru na haki yao kikatiba? kwani kuna mtu wa chama kingine aliwafokea kama anavyofanya chairman Mbowe?

kugakamia konyagi kazini sio kitu kizuri ujue gentleman 🤣
 
Friends, ladies and gentlemen.

Je ni kweli kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu?

Inaonekana kwenye siasa za Tanzania hasa upinzani, chuki binafsi, migawanyiko, uhasama na utengano miongoni mwa vyama vya siasa eti ndiyo huleta nguvu na ndiyo kipaumbele chao kwa sasa.

Kitendo cha Mwenyekiti wa wa chadema taifa, Freeman Aikaeli Mbowe kuonyesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa vya upinzani, na kujaribu kuvikaripia kwa ukali na pengine kuvielekeza kufikiri kama inavyofikiri chadema, kinaashiria udikteta wa wazi kabisaa.

Je,
huku sio kuingilia uhuru, haki, uelekeo na mipango mikakakati ya vyama vingine vya siasa kadiri wanavyoona inafaa?

huu ni wivu tu au ndiyo udikteta unajipambanua mapeeeemaaaa ili iwe rahisi kwa uma kuudhibiti vizuri kwenye sanduku la kura?

Ni dhahiri chadema haina ushawishi ndani ya chadema yenyewe, haina ushawishi katika upinzani kwa ujumla, na zaidi sana haiaminiki wala haina ushawishi kwa raia na wapiga kura tena. Imebaki na press conference, matamko na kushinikiza tu vyama vingine vya siasa vifanye nini.


Yaani vyama vya upinzani badala ya kushawishiana kwa hoja, kushauriana kama ndungu na kuhubiri umoja miongoni mwa upinzani, eti Freeman Aikaeli Mbowe anahubiri, anachochea na kuhamasisha chuki na utengano miongoni mwa vyama vya siasa. Kweli upinzani, hasa chadema una nia njema na taifa hili ndrugo zangu?

Ni wazi chadema katika ujumla wake, haina dhamira ya kufanya siasa safi, wala haina mipango ya kushinda uchaguzi, ima kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi wala kuwatumikia wananchi,

Bali chadema ina lenga kuchochea chuki, uhasama na kuligawa taifa katika misingi ya vyama miongoni mwa wananchi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini na kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya siasa hasa upinzani, visifanye kazi na majukumu yao kwa uhuru kadiri ya malengo na mitazamo yao, bali vifanye siasa kadiri chadema inavyotaka.

Migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya chadema, sasa inachochewa na chadema yenyewe hadi katika vyama vingine vya siasa vya upinzani nje ya chadema. Ni dhahiri kuna tatizo chadema.

Unadhani Chadema ina feli wapi hata kufikia hatua ya kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya upinzani nchini, na asasi za kiraia zenye mipango, malengo na maono yao?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
mwalimu mkuu wa chuki binafsi ni ccm katika siasa za tanzania
 
Mbowe na CHADEMA yake sasa wanaonekana dhahiri kwamba wamepoteza dira na hawana lolote jipya wanachoweza ku-offer kwa Watanganyika.
Chama ambacho kinataka dola kila kukicha ni kulialia tu, sasa wananchi wanalia na CHADEMA nao wanalia sasa nani atamsaidia mwenzake..
Siasa za kutafuta huruma kutoka kwa wananchi zimepitwa na wakati. Kweli leo hii MBOWE bado natuletea siasa ambazo MREMA alikuwa nazo miaka 30 iliyopita?
Wizi wa KURA kwa CCM siyo jambo geni wala jipya kwetu,, kilichotakiwa ni yeye kutupa solution ya hilo na si kulia kulia..
Wanapofeli MBOWE na CHADEMA yao ni kupambana kwa style ya kutafuta huruma ambayo haitowaletea tija,, kama wanataka kuing`oa CCM inabidi wawashawishi wale watu ambao huwa hawapigi kura ambao asilimia kubwa ukiangalia ndo wamechoshwa na CCM.
Kama CHADEMA inaweza kutembelea mara kawa mara kila KATA ya nchi hii na kuwaelezea Watanganyika wa kata husika walipokwamishwa na CCM na nini CHADEMA itafanya kubadili maisha yao itaamsha watu..
Lakini huku kulialia kila siku haina msaada wowote na wataendelea kulia tu..
Bila ya kuwa na tume ya uchaguzi independent hayo yote ni porojo tu. Kwa utaratibu huu na namna hii ya tume labda kwa coup d'etat ndiyo watatoka.
 
mwalimu mkuu wa chuki binafsi ni ccm katika siasa za tanzania
Gentleman,
Senior Lecture wa kuchochea migawanyiko, uhasama na chuki ndani ya chadema na miongoni mwa vyama vya siasa vya upinzani nchini ni chairman wa Chadema Taifa Freeman Aikaeli Mbowe, kweli si kweli?🐒
 
Bila ya kuwa na tume ya uchaguzi independent hayo yote ni porojo tu. Kwa utaratibu huu na namna hii ya tume labda kwa coup d'etat ndiyo watatoka.
kwamba chairman Mbowe afanye coup d'etat 🤣

uchaguzi mkuu wa Oct 2025 ni wa kikatiba na utafanyika kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi na sio kwa kelele za walevi fulani sijui kutoka chama gani huko 🐒
 
Kila siku CHADEMA CHADEMA CHADEMA hamna kingine cha kufanya ???
Yes,
ni waongo, walevi na wana chuki mno gentleman,

kwahiyo lazma kusema ukweli ili ukweli uwaweke huru 🐒
 
Friends, ladies and gentlemen.

Je ni kweli kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu?

Inaonekana kwenye siasa za Tanzania hasa upinzani, chuki binafsi, migawanyiko, uhasama na utengano miongoni mwa vyama vya siasa eti ndiyo huleta nguvu na ndiyo kipaumbele chao kwa sasa.

Kitendo cha Mwenyekiti wa wa chadema taifa, Freeman Aikaeli Mbowe kuonyesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa vya upinzani, na kujaribu kuvikaripia kwa ukali na pengine kuvielekeza kufikiri kama inavyofikiri chadema, kinaashiria udikteta wa wazi kabisaa.

Je,
huku sio kuingilia uhuru, haki, uelekeo na mipango mikakakati ya vyama vingine vya siasa kadiri wanavyoona inafaa?

huu ni wivu tu au ndiyo udikteta unajipambanua mapeeeemaaaa ili iwe rahisi kwa uma kuudhibiti vizuri kwenye sanduku la kura?

Ni dhahiri chadema haina ushawishi ndani ya chadema yenyewe, haina ushawishi katika upinzani kwa ujumla, na zaidi sana haiaminiki wala haina ushawishi kwa raia na wapiga kura tena. Imebaki na press conference, matamko na kushinikiza tu vyama vingine vya siasa vifanye nini.


Yaani vyama vya upinzani badala ya kushawishiana kwa hoja, kushauriana kama ndungu na kuhubiri umoja miongoni mwa upinzani, eti Freeman Aikaeli Mbowe anahubiri, anachochea na kuhamasisha chuki na utengano miongoni mwa vyama vya siasa. Kweli upinzani, hasa chadema una nia njema na taifa hili ndrugo zangu?

Ni wazi chadema katika ujumla wake, haina dhamira ya kufanya siasa safi, wala haina mipango ya kushinda uchaguzi, ima kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi wala kuwatumikia wananchi,

Bali chadema ina lenga kuchochea chuki, uhasama na kuligawa taifa katika misingi ya vyama miongoni mwa wananchi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini na kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya siasa hasa upinzani, visifanye kazi na majukumu yao kwa uhuru kadiri ya malengo na mitazamo yao, bali vifanye siasa kadiri chadema inavyotaka.

Migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya chadema, sasa inachochewa na chadema yenyewe hadi katika vyama vingine vya siasa vya upinzani nje ya chadema. Ni dhahiri kuna tatizo chadema.

Unadhani Chadema ina feli wapi hata kufikia hatua ya kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya upinzani nchini, na asasi za kiraia zenye mipango, malengo na maono yao?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Hivi inakuwaje mtu mzima unajipingda kuandika upumbav hivi
 
Friends, ladies and gentlemen.

Je ni kweli kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu?

Inaonekana kwenye siasa za Tanzania hasa upinzani, chuki binafsi, migawanyiko, uhasama na utengano miongoni mwa vyama vya siasa eti ndiyo huleta nguvu na ndiyo kipaumbele chao kwa sasa.

Kitendo cha Mwenyekiti wa wa chadema taifa, Freeman Aikaeli Mbowe kuonyesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa vya upinzani, na kujaribu kuvikaripia kwa ukali na pengine kuvielekeza kufikiri kama inavyofikiri chadema, kinaashiria udikteta wa wazi kabisaa.

Je,
huku sio kuingilia uhuru, haki, uelekeo na mipango mikakakati ya vyama vingine vya siasa kadiri wanavyoona inafaa?

huu ni wivu tu au ndiyo udikteta unajipambanua mapeeeemaaaa ili iwe rahisi kwa uma kuudhibiti vizuri kwenye sanduku la kura?

Ni dhahiri chadema haina ushawishi ndani ya chadema yenyewe, haina ushawishi katika upinzani kwa ujumla, na zaidi sana haiaminiki wala haina ushawishi kwa raia na wapiga kura tena. Imebaki na press conference, matamko na kushinikiza tu vyama vingine vya siasa vifanye nini.


Yaani vyama vya upinzani badala ya kushawishiana kwa hoja, kushauriana kama ndungu na kuhubiri umoja miongoni mwa upinzani, eti Freeman Aikaeli Mbowe anahubiri, anachochea na kuhamasisha chuki na utengano miongoni mwa vyama vya siasa. Kweli upinzani, hasa chadema una nia njema na taifa hili ndrugo zangu?

Ni wazi chadema katika ujumla wake, haina dhamira ya kufanya siasa safi, wala haina mipango ya kushinda uchaguzi, ima kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi wala kuwatumikia wananchi,

Bali chadema ina lenga kuchochea chuki, uhasama na kuligawa taifa katika misingi ya vyama miongoni mwa wananchi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini na kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya siasa hasa upinzani, visifanye kazi na majukumu yao kwa uhuru kadiri ya malengo na mitazamo yao, bali vifanye siasa kadiri chadema inavyotaka.

Migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya chadema, sasa inachochewa na chadema yenyewe hadi katika vyama vingine vya siasa vya upinzani nje ya chadema. Ni dhahiri kuna tatizo chadema.

Unadhani Chadema ina feli wapi hata kufikia hatua ya kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya upinzani nchini, na asasi za kiraia zenye mipango, malengo na maono yao?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Aikaeli Mbowe ni baba yake Freeman Mbowe na alishafariki miaka mingi iliyopita, unataka kusema nini?
 
Back
Top Bottom