Aikaeli Mbowe kaonesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa

Aikaeli Mbowe kaonesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa

CHADEMA kwa sasa imepoteza Dira na muelekeo na kubakia kujiendea tu kama kipofu gizani
Lini chadema imepoteza dira, Yani chadema imepoteza dira Kwa kuwa wewe mpumbavu umesema, Yani chadema imepoteza mvuto kisa wewe muandika ujinga hapa jf umesema, nenda kamuulize mama yenu kule lumumba kuwa anaijuaje chadema kama hajajamba na kukimbia au kamuulize yule mkwilima wenu mwenye kifua kipana anayelele na kumla mtoto wa mamayenu aka shemeji yenu.
 
Hakuna chama zaidi ya CCM, Chadema na ACT hata wewe unajua ndani ya roho yako, ila wale watu wengine wanapotumika kwa maslahi yako ndio unaibuka kuita vyama, anyway:Pepepains:
 
Lini chadema imepoteza dira, Yani chadema imepoteza dira Kwa kuwa wewe mpumbavu umesema, Yani chadema imepoteza mvuto kisa wewe muandika ujinga hapa jf umesema, nenda kamuulize mama yenu kule lumumba kuwa anaijuaje chadema kama hajajamba na kukimbia au kamuulize yule mkwilima wenu mwenye kifua kipana anayelele na kumla mtoto wa mamayenu aka shemeji yenu.
Gentleman,
chadema imepoteza dira na uelekeo jana kwenye press conference 🤣

asie ulevi mwingi mno umetangazwa jana kudhihirisha kupoteza dira kwa chadema 🤣
 
Gentleman,
Yaani ujenge upinzani imara kwa chuki tu ya kuchukia dola bila hoja, right?🤣

kwamba wewe na chama chako mnapita huko mtaani kwenye mikutano ya hadhara na kurecruit watu na kuwajaza chuki na migawanyiko dhidi ya dola, right? sasa si mtajikuta ni nyinyi wa4 tu miaka nenda miaka rudi?🤣

Mi nadhani ni muhimu kwa chama cha siasa makini, kua na ushawishi wa kisera na mipango dhidi ya wapiga kura na vyama vyao vya siasa, kuunganisha nguvu ya mawazo na nguvu ya wingi wao na hatimae kuyafikia malengo ya kushinda uchaguzi na hatimae kuongoza nchi...

Kuhubiri migawanyiko, chuki na uhasama ni kujidhofisha mwenyewe kwasabb huna numbers, huna ushawishi, huna financial muscles na huna sera za maana na kwahivyo huwezi kufanya chochote 🐒
Kamuulize mamayenu kuwa kwanini chadema walienguliwa na Kwa taarifa yenu nyie mazwazwa mkiendelea na hizo akili ccm yenu itatumia polis kila uchaguzi tofauti na hapo mjiandae kukimbilia Burundi
 
Gentleman,
chadema imepoteza dira na uelekeo jana kwenye press conference 🤣

asie ulevi mwingi mno umetangazwa jana kudhihirisha kupoteza dira kwa chadema 🤣
Inaonekana huna hata taarifa Yani chadema ipoteze mwelekeo wakati Jana Livestream ukilingamiaha uapisho wa mamayenu na mkutano wa chadema ni mbingu na ardhi.
 
Ccm imejaa wajinga ndio maana hamna mvuto Tena ukiondoa polis na tume fake mtapiga ukunga.
kwahiyo chadema mmejaa waerevu tupu 🤣

na mmebaki na mihemko na makasiriko tu dhidi ya uhuru na haki za vyama vingine vya upinzani, right?🤣
 
mawenge ni kitu kibaya sana aise, yaani chairman mbowe kafura huyo 🐒
Nyie wafuas wa engua engua kichwani hamnazo ndio maana mnadanganywa ccm imeshinda asilimia tisini na nyie Kwa upumbavu wenu mnashangilia.
 
kwahiyo chadema mmejaa waerevu tupu 🤣

na mmebaki na mihemko na makasiriko tu dhidi ya uhuru na haki za vyama vingine vya upinzani, right?🤣
Ccm na wafuas wake ni wapumbavu ndio maana mnaaminishwa mmeshindwa asilimia tisini.
 
Friends, ladies and gentlemen.

Je ni kweli kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu?

Inaonekana kwenye siasa za Tanzania hasa upinzani, chuki binafsi, migawanyiko, uhasama na utengano miongoni mwa vyama vya siasa eti ndiyo huleta nguvu na ndiyo kipaumbele chao kwa sasa.

Kitendo cha Mwenyekiti wa wa chadema taifa, Freeman Aikaeli Mbowe kuonyesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa vya upinzani, na kujaribu kuvikaripia kwa ukali na pengine kuvielekeza kufikiri kama inavyofikiri chadema, kinaashiria udikteta wa wazi kabisaa.

Je,
huku sio kuingilia uhuru, haki, uelekeo na mipango mikakakati ya vyama vingine vya siasa kadiri wanavyoona inafaa?

huu ni wivu tu au ndiyo udikteta unajipambanua mapeeeemaaaa ili iwe rahisi kwa uma kuudhibiti vizuri kwenye sanduku la kura?

Ni dhahiri chadema haina ushawishi ndani ya chadema yenyewe, haina ushawishi katika upinzani kwa ujumla, na zaidi sana haiaminiki wala haina ushawishi kwa raia na wapiga kura tena. Imebaki na press conference, matamko na kushinikiza tu vyama vingine vya siasa vifanye nini.


Yaani vyama vya upinzani badala ya kushawishiana kwa hoja, kushauriana kama ndungu na kuhubiri umoja miongoni mwa upinzani, eti Freeman Aikaeli Mbowe anahubiri, anachochea na kuhamasisha chuki na utengano miongoni mwa vyama vya siasa. Kweli upinzani, hasa chadema una nia njema na taifa hili ndrugo zangu?

Ni wazi chadema katika ujumla wake, haina dhamira ya kufanya siasa safi, wala haina mipango ya kushinda uchaguzi, ima kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi wala kuwatumikia wananchi,

Bali chadema ina lenga kuchochea chuki, uhasama na kuligawa taifa katika misingi ya vyama miongoni mwa wananchi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini na kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya siasa hasa upinzani, visifanye kazi na majukumu yao kwa uhuru kadiri ya malengo na mitazamo yao, bali vifanye siasa kadiri chadema inavyotaka.

Migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya chadema, sasa inachochewa na chadema yenyewe hadi katika vyama vingine vya siasa vya upinzani nje ya chadema. Ni dhahiri kuna tatizo chadema.

Unadhani Chadema ina feli wapi hata kufikia hatua ya kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya upinzani nchini, na asasi za kiraia zenye mipango, malengo na maono yao?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Walipokuja kutapika upuuzi wao wakiishutumu CHADEMA inataka kuharibu Amani uliwaambia wanaingilia Uhuru na mikakati ya CHADEMA au na wewe ni kundi na Ninga?
 
Inaonekana huna hata taarifa Yani chadema ipoteze mwelekeo wakati Jana Livestream ukilingamiaha uapisho wa mamayenu na mkutano wa chadema ni mbingu na ardhi.
Gentleman,
Taarifa gani tena unataka, na mambo yalikua yakisemwa hadharani, nchi na dunia nzima ikisikia na ikishuhudia chuki na uhasama dhidi ya uhuru na haki za vyama vya siasa vya upinzani ikihubiriwa na chairman Freeman Aikaeli Mbowe?🤣
 
Back
Top Bottom