Aikaeli Mbowe kaonesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa

Aikaeli Mbowe kaonesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa

my friend,
kwenye siasa ni kuheshimiana, kushindana na kushawishiana kwa hoja na sera..

mambo ya mapenzi ni binafsi 🐒
Unatumia ki laptop ulichohongwa na watawala kupiga propaganda mitandaoni basi unajiona umeyapatiiia maisha kwelkwel hahahhhaa
 
Walipokuja kutapika upuuzi wao wakiishutumu CHADEMA inataka kuharibu Amani uliwaambia wanaingilia Uhuru na mikakati ya CHADEMA au na wewe ni kundi na Ninga?
Zingatia tu hoja mahususi na press conference ya mwenyekiti wa chadema Taifa jana gentleman.

Utaona dhahiri chadema inachochea chuki na migawanyiko ndani yake yenyewe lakini pia, sasa inakwenda mbali zaidi kuchochea chuki na kuhamasisha uhasama, huku ikidictate uhuru na haki za vyama vingine vya siasa vya upinzani.

Hii ni kumaanisha chadema imepoteza uelekeo na inakusudia kuvuruga umoja wa kitaifa 🐒
 
Sijasomà mpaka mwisho. Unachitetea ni mgawanyiko uliopangwa na CCM. Walitaka vyama viwe vingi ili uwepo utengano. Wanatumia Ile ya wakoloni decide and rule.
We hujasikia vile vyama vidogo vinavyo ikandia CDM na kuunga mkono CCM. Wakati mwingine wanajipendekeza kwa CCM ili wapate kuteuliwa, rejea mkuu wa mkoa wa Manyara na mwingine alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha ( marehemu)
 
Unatumia ki laptop ulichohongwa na watawala kupiga propaganda mitandaoni basi unajiona umeyapatiiia maisha kwelkwel hahahhhaa
mimi ni mwananchi wa kawaida tu gentleman licha ya kua ni kiongozi wa wananchi,

natumia Infinix hot8 kuelezea na kusema ukweli mtupu katika masuala ya kisiasa kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa.

Siringi na wala sijivuni 🐒
 
Sijasomà mpaka mwisho. Unachitetea ni mgawanyiko uliopangwa na CCM. Walitaka vyama viwe vingi ili uwepo utengano. Wanatumia Ile ya wakoloni decide and rule.
We hujasikia vile vyama vidogo vinavyo ikandia CDM na kuunga mkono CCM. Wakati mwingine wanajipendekeza kwa CCM ili wapate kuteuliwa, rejea mkuu wa mkoa wa Manyara na mwingine alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha ( marehemu)
Gentleman,
kwahiyo unataka kusema chairman wa chadema, Freeman Aikaeli Mbowe ametumwa na CCM kwenda kuhubiri chuki na uhasama na kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya siasa vya upinzani, right?

Kwani chadema, cuf, nccr mageuzi, NLD n.k haijawahi kuungana?
Kwani ilikua dhambi, au ni uhuru na haki yao kuamua kuungana na nani ama kutokuungana na yeyote?

au unajisahaulisha gentleman?

kila mTanzania ana uhuru na haki ya kujiunga na cha cha siasa akipendacho wakati wowote. Lakini pia ni uhuru na haki ya chama chochote cha siasa kuamua kujiunga na kufanya kazi na chama kingine cha siasa.

Mawenge ya chairman Mbowe yanatoka wap kwa mfano, gentleman?🐒
 
Sijasomà mpaka mwisho. Unachitetea ni mgawanyiko uliopangwa na CCM. Walitaka vyama viwe vingi ili uwepo utengano. Wanatumia Ile ya wakoloni decide and rule.
We hujasikia vile vyama vidogo vinavyo ikandia CDM na kuunga mkono CCM. Wakati mwingine wanajipendekeza kwa CCM ili wapate kuteuliwa, rejea mkuu wa mkoa wa Manyara na mwingine alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha ( marehemu)
Hivi mkuu wa mkoa wa Manyara alitokea chama gani, na vipi bado kipo hicho chama?😆
 
Hivi mkuu wa mkoa wa Manyara alitokea chama gani, na vipi bado kipo hicho chama?😆
Gentleman,
andikia uzi maalumu hiyo wadau watiririke,

vinginevyo zingatia hoja mahususi mezani bila mawenge wala kubabaika 🐒
 
Rela
Kamuulize mamayenu kuwa kwanini chadema walienguliwa na Kwa taarifa yenu nyie mazwazwa mkiendelea na hizo akili ccm yenu itatumia polis kila uchaguzi tofauti na hapo mjiandae kukimbilia Burundi
Relax gentleman,
mihemko si lolote kwenye mambo haya.

wasiokua na sifa wala vigezo vya kisheria na kikatiba wataendelea kuenguliwa na kuzuiwa kugombea nafasi mbalimbali mpaka pale watakapokidhi vigezo mahususi vya kikatiba.

hakuna kupepesa macho kwenye mambo ya kikatiba gentleman 🐒
 
Friends, ladies and gentlemen.

Je ni kweli kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu?

Inaonekana kwenye siasa za Tanzania hasa upinzani, chuki binafsi, migawanyiko, uhasama na utengano miongoni mwa vyama vya siasa eti ndiyo huleta nguvu na ndiyo kipaumbele chao kwa sasa.

Kitendo cha Mwenyekiti wa wa chadema taifa, Freeman Aikaeli Mbowe kuonyesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa vya upinzani, na kujaribu kuvikaripia kwa ukali na pengine kuvielekeza kufikiri kama inavyofikiri chadema, kinaashiria udikteta wa wazi kabisaa.

Je,
huku sio kuingilia uhuru, haki, uelekeo na mipango mikakakati ya vyama vingine vya siasa kadiri wanavyoona inafaa?

huu ni wivu tu au ndiyo udikteta unajipambanua mapeeeemaaaa ili iwe rahisi kwa uma kuudhibiti vizuri kwenye sanduku la kura?

Ni dhahiri chadema haina ushawishi ndani ya chadema yenyewe, haina ushawishi katika upinzani kwa ujumla, na zaidi sana haiaminiki wala haina ushawishi kwa raia na wapiga kura tena. Imebaki na press conference, matamko na kushinikiza tu vyama vingine vya siasa vifanye nini.


Yaani vyama vya upinzani badala ya kushawishiana kwa hoja, kushauriana kama ndungu na kuhubiri umoja miongoni mwa upinzani, eti Freeman Aikaeli Mbowe anahubiri, anachochea na kuhamasisha chuki na utengano miongoni mwa vyama vya siasa. Kweli upinzani, hasa chadema una nia njema na taifa hili ndrugo zangu?

Ni wazi chadema katika ujumla wake, haina dhamira ya kufanya siasa safi, wala haina mipango ya kushinda uchaguzi, ima kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi wala kuwatumikia wananchi,

Bali chadema ina lenga kuchochea chuki, uhasama na kuligawa taifa katika misingi ya vyama miongoni mwa wananchi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini na kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya siasa hasa upinzani, visifanye kazi na majukumu yao kwa uhuru kadiri ya malengo na mitazamo yao, bali vifanye siasa kadiri chadema inavyotaka.

Migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya chadema, sasa inachochewa na chadema yenyewe hadi katika vyama vingine vya siasa vya upinzani nje ya chadema. Ni dhahiri kuna tatizo chadema.

Unadhani Chadema ina feli wapi hata kufikia hatua ya kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya upinzani nchini, na asasi za kiraia zenye mipango, malengo na maono yao?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Vile vyama 14 vilikuwa na wagombea wangapi?
 
Vile vyama 14 vilikuwa na wagombea wangapi?
Gentleman,
Ingependeza zaidi ungefuatilia taarifa ya jumla ya uchaguzi ule lakini pia hata taarifa za habari jana hili lilisemwa🐒
 
Gentleman,
Ingependeza zaidi ungefuatilia taarifa ya jumla ya uchaguzi ule lakini pia hata taarifa za habari jana hili lilisemwa🐒
Unaona sasa kumbe unaongea upepo hata ushahidi hauna, pole sana kwa UCHAWA uliokufunika hadi huoni ukweli na uongo.
 
Unaona sasa kumbe unaongea upepo hata ushahidi hauna, pole sana kwa UCHAWA uliokufunika hadi huoni ukweli na uongo.
gentleman,
acha uvivu, ushahidi wa nini hali ya kua ni wazi Freeman Aikaeli Mbowe anawachukia wapinzani wenzake na anachochea migawanyiko ndani ya upinzani nchini 🐒
 
CHADEMA kwa sasa imepoteza Dira na muelekeo na kubakia kujiendea tu kama kipofu gizani

Wale wanao ogopa demokrasia kwenye box la kula unawapa sifa gani??

Nina maana ya CCM kuibak kura hata za mjumbe wa kitongoji, hapo nani asiyekuwa na ushawishi anayeiba au anayeibiwa???
 
Ingawa wewe ni nzi wa kijani, Kuna wakati saa yako mbovu husema ukweli, Kwa sasa CDM, Kuna wapinzani wawili wa dhati, Tundu Lissu na John Heche, wengine wote ni hawajapata ti nafasi nzuri ya Kuchomoka kama Msigwa!

Mbowe ndo kabisa sio wa kumuamini, toka akiuze chama kwa the late ENL, ni wachaga wenzake na wanaonufaika na mfumo wake wanamkubali!
 
Back
Top Bottom