achana nao kabisa hawajielewi wanawaza visungura na bangi tu.Mimi nipo hapa Arusha lakini kijana wa unga ltd/Ngarenaro hatuelewani
Halafu wengi sio asili ya Arusha aliyegundua Bangi ni kuchoma na gesi kabisaachana nao kabisa hawajielewi wanawaza visungura na bangi tu.
Bangi sio tatizo mkuu tatizo la Watanzania ni Maisha magumu tu maana kila Mtu now days yupo highHalafu wengi sio asili ya Arusha aliyegundua Bangi ni kuchoma na gesi kabisa
Naomba kuelimishwa clip ni Nini?!Kuna clip zinatembea zikionesha vijana wa mkoa wa Arusha wakiwa mochwari kwaajili ya kuchukua mwili wa mwenzao aliyefariki kwa ajali ya pikipiki.
Namna ya maisha ya vijana wa Arusha wanavyoishi, kuvaa, kuongea, ku-behave nafikiri tunahitaji mjadala wa kitaifa. Yaani wanafanya mambo ya kizamani wenyewe wakiona ni ujanja. Kama taifa tunakuwa na vijana wa namna gani? Wanaongea vibaya, wanavaa hovyo, heshima kwao sio kipaumbele yaani ni vurugu tupu. View attachment 2680210View attachment 2680212View attachment 2680214
Bangi Haina tatizo mbona kwetu ni mboga na majani ya mbuzi lakini vijana wapo smartHalafu wengi sio asili ya Arusha aliyegundua Bangi ni kuchoma na gesi kabisa