ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,412
- 3,043
Kuna clip zinatembea zikionesha vijana wa mkoa wa Arusha wakiwa mochwari kwaajili ya kuchukua mwili wa mwenzao aliyefariki kwa ajali ya pikipiki.
Namna ya maisha ya vijana wa Arusha wanavyoishi, kuvaa, kuongea, ku-behave nafikiri tunahitaji mjadala wa kitaifa. Yaani wanafanya mambo ya kizamani wenyewe wakiona ni ujanja.
Kama taifa tunakuwa na vijana wa namna gani? Wanaongea vibaya, wanavaa hovyo, heshima kwao sio kipaumbele yaani ni vurugu tupu.
Namna ya maisha ya vijana wa Arusha wanavyoishi, kuvaa, kuongea, ku-behave nafikiri tunahitaji mjadala wa kitaifa. Yaani wanafanya mambo ya kizamani wenyewe wakiona ni ujanja.
Kama taifa tunakuwa na vijana wa namna gani? Wanaongea vibaya, wanavaa hovyo, heshima kwao sio kipaumbele yaani ni vurugu tupu.