britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
-
- #81
ndo maana waha wakichinja ng'ombe zinakuwa na mafuta meupe meupe nyumaKwa mama ntilie ni vile tu wanakuwa wanashindana wao kuvutia wateja... Ila uchafu tunatafunaaa hasa.
Kuna mseng mmoja mfanyabiashara wa nyama ya ngombe... Kabla ya kuichinja anaiingilia...anakojoaa humohumo...
Ikifika buchani saa sita hamna kitu mamaee...
ndiyooo hasaaaHahahah
Maswala ya limbwata ni uzushi tu! Kama ingekuwa ni sahihi mbona wanaonyonya k wanachepuka kwa wengine? Basi wa galikuwa mazezetaMwanaume aliyewekewa lipwata anapooza sana. Akitoka kazini anawahi nyumbani anajaa sitting room
hapana mi nimefunuliwa na munguUtakua mganga wewe kujua njia zote hizi
Mimi ndo huwa namletea aniwekee
Mbona huku wanatumia Quran kufanya kisomoHilo namba 4 la kisomo, hujasema ni kisomo kipi.
Ole wako uihusishe Qur'an na huo uchawi wa kishenzi.
Mamaeee laaah silali home aisee hebu kwanza hivi Jana nilikula nyama au maharage
Ahhh mtu anakuwa kama Zezeta, kuna ambaye aliwahi kunifanyia ili kila akiniomba pesa kwa msisitozo eti nimpe halafu sasa anakuwa sio mke ni demu tu. kila akipiga yeye ni hela tu hana lingine nikasema hapa sio bure kuna kitu sikuwahi kumpa hadi leo, nikabaini kuwa huwa wanafanya vitu kwa kujiamini mganga atakuwa alimwaminisha kuwa tayari we nenda ukamwambie chochote unachotaka atakupa ahah, nikiwa kwangu napokea simu naambiwa mambo ya hela napuuzia tuMwanaume aliyewekewa lipwata anapooza sana. Akitoka kazini anawahi nyumbani anajaa sitting room
Shekhe Yahaya alikuwa mchawi mkubwa tu na bado anaongoza swala pale MagomeniKama uliwangiwa basi hao ni washenzi wenzio walio kuwangia. Muislam kujihusisha na mambo ya kichawi ni haram.
Kama uliwangiwa basi hao ni washenzi wenzio walio kuwangia. Muislam kujihusisha na mambo ya kichawi ni haram.
mungu wa kwapani na kiunoni ndiye anayehusudu nguvu za giza lkn si Mungu atupatiaye uhaihapana mi nimefunuliwa na mungu
Limbwata sio mauno, limbwata ni heshima kwa mme basiYote Tisa limbwata mauno yako tu.
Shekhe Yahaya alikuwa mchawi mkubwa tu na bado anaongoza swala pale Magomeni