Tetesi: Air Tanzania kukamatwa. Ndege ya Rais haikamatwi kwa sheria za IATA

Tetesi: Air Tanzania kukamatwa. Ndege ya Rais haikamatwi kwa sheria za IATA

Kweli mkuu upendo wa Mungu ni wa ajabu,angalia MATAGA walivyofurahia Lissu alivyopigwa risasi.
Aliyefurahia swala la Risu, si muungwana hata kidogo, na wa kufurahia Jambo kama Hilo ana roho si ya kibinadamu hata kidogo, Mungu alionya mno ktk vitu ambavyo alitilia mkazo, ni mtu kujaribu kutoa uhai wa mtu,
 
jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, Mishe za Rwanda kuja chukua samaki Mwanza zimeanza hata kabla ya Mkulima kukamata ndege SA, yani hata kabla ya ujenze wa runway mpya ya Mwanza airport kukamilika. Na kilichochelewesha kwa muda mrefu ni ujenzi wa mahala pa kutunzia mizigo ya fillet kabla haijapakiwa kwenye ndege.
 
Sasa wangeomba vipi vibali bila kuwa na ndege? Kwanza unanunua ndege kisha una omba vibali. Na pia hivyo vibali ni gharama unalipia...sasa huwezi kulipia tu vibali bila kujua uhakika wa soko huko unakolipia. Je kuna abiria na mizigo ya kutosha hadi uombe vibali vya hiyo route?
Kwani ATC walianza biashara jana? toka ndege zinunuliwe umepita muda gani? Wamenunua ndege bila kujua soko??? So hawakua na business wala marketing strategies zozote? Hlf wakaamua tu kununua ndege? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]najua unaelewa sena umeamua tu kujibu inayoyajibu [emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuibadili ndege ya abiria kuwa ya mizigo ni process, kuna mambo kibao ya usalama wa ndege na vibali ambayo yote gharama ya fedha na muda.

Unapozumnguzia mizigo unaongelea biashara inayo jumuisha connection, network, time, offer, acceptance, contract, cost na profit. Sio kitu cha kukurupuka ikiwa Rwandaair na Kenya air ways wanameet hayo waendelee tu.

Ila wabongo kwa taarifa za kupika mko Mars.
Kuzi kati hapa si nimeona moja inapakiza mizigo kwenda comoros???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kupotosha uma bas. Sio kwamba air Tanzania haiwez kwenda ulaya kwa ajiri ya mkulima. Sio kumiliki ndege ndo kuwa na uwezo wa kutua popote utakapo, kila kitu kina taratibu zake.

Leseni ya Rwandair sio sawa naya air Tanzania, Rwanda leseni yao inawaruhusu kutua viwanja vya ulaya sisi hiyo bado hatuna, na usizanie kupata leseni ya kutua ama kupita kwenye anga la ulaya ni kitu rahisi, inachukua mda.

Ata bus uwezi ipeleka tu unapo taka kwakuwa umepata abiria wa huko pasipo kuwa nakibari cha hiyo route

Hizo ndege zilinunuliwa kwa hoja ya kuleta watalii. Kumbe mlijui kwamba kibali cha Europe hamna.

Tuna kibali India. Hao watalii wangetoka wapi, India????

Au, toka mwanzo mlijua hakuna mpango wa kwenda Europe, na kwamba hiyo hoja ilikuwa ni ya uongo ????
 
Hapa ndo huwa naushangaaga upendo wa Mungu, Taifa moja nao ni ndugu, lakini kunammoja atafurahia mabaya ya ndugu/nchi yake mwenyewe,

Mbali na Hayo huwa naaminigi kuwa Mungu lazima awe upande wa mazuri yatakayokuwa manufaa Kwa wengi!!

Hakuna mradi utakaoferi Tanzania, sema labda hautamalizika labda Kukiwepo na adha na majanga ya kidunia kama tuyaonayo leo, zaidi Sana hata atakaye kuja miaka mingi ijayo itaendelea kujengwa na hatimaye ushindi itapatikana

Mungu Ibariki Tanzania
Tatizo hapo sio Mungu, ila watu waliowekwa na Mungu kusimamia kusudi lake.
 
Huyu mkulima si atuache kwanza tupumue looh
 
Hivi unanunuaje friji la milioni 5 halafu kumbe hata wiring hujafanya... au unanunua v8 halafu wese linakushinda... ni ujanja au ujinga??

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga ni wewe unayewaza maendeleo ya nchi kama ya nyumbani kwako, ambako naamini yamekushinda ndiyo maana huna hoja ya kujenga nchi yako. Kama huna ajira, hata kulima mchicha kunalipa.
 
Kwani ATC walianza biashara jana? toka ndege zinunuliwe umepita muda gani? Wamenunua ndege bila kujua soko??? So hawakua na business wala marketing strategies zozote? Hlf wakaamua tu kununua ndege? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]najua unaelewa sena umeamua tu kujibu inayoyajibu [emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama uko chuo, jitahidi kusoma uelewe siyo kufaulu mitihani
 
Kama hukujua, mkulima wa South Afroika bado anadai bilioni 40 zake na riba kubwa tu, katika hali isiyo kawaida, ametoa waranty nchi nyingi isipokuwa India ndio walisema hawata kamata hizi ndege.

Lakini pia, Air Tanzania zimepakiwa tu viwanjani isipokuwa bomberdier tatu zinafanya safari za ndani kwa shida sana kwakuwa hakuna abiria, [matajiei waishi kama mashetani].

Jumatano iliyopita MAGUFULI alituma ndege yake[ya Rais] kwenda madagaska kuchukua mitishamba, haikuwa bahati mbaya na si kwamba hakuna Bomberdier zaidi ya 8 zilizopaki, hapana ila zitakamatwa ndio maana akatoa ndege ambayo ina IMMUNITY kutokamatwa.

Jana ndege ya RWANDA, RWANDAIR imetua mwanza na imesaini kandarasi na kiwanda cha mwanza kubeba minofu na kuacha mapanki yaliwe na wanyonge, jiulize kwanini JIWE hana guts za kusema lazma samaki wabebwe na AIR TANZANIA kwa jinsi mnavyomjua alivyo ? ni kwasababu huko nje Ndege ikienda hairudi, na hii korona nakwambia mkulima atafugia hata MABATA huko ndani.

RWANDAIR YABEBA SAMAKI MWANZA KWENDA UBELGIJI

WAZIRI WA MAGUFULI AKAPELEKA NGENGA ZAKE PALE KUZINDUA UBEBAJI, watanzania hakuna wa kuhoji maana hofu kuu imejaa, Shirika la Ndege la Rwanda RwandAir, limezindua safari zake za ndege ya mizigo kutoka jijini Mwanza nchini Tanzania kwenda Brussels Ubelgiji kwa lengo la kusafirisha samaki kwenda katika soko barani Ulaya.

Image may contain: one or more peopleView attachment 1449006ya
AIR TANZANIA/Ndege ya Urais inatumika kubebea miti shamba, dawa ya kienyeji huku wenzetu wakibeba samaki kuuza ulaya​
AIR TANZANIA/Ndege ya Urais inatumika kubebea miti shamba, dawa ya kienyeji huku wenzetu wakibeba samaki kuuza ulaya.... [emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]

Jr[emoji769]
 
Ndege - Kimeo

Stieglers - bwawa limeshaingia luba

Bado SGR
SGR nayo ikibuma basi mzee wa chato atapiga marktime time bila kuacha legacy yoyote ya maana
Uongo hupanda lift bali ukweli hukwea ngazi... Wapi praise team... Tusifu na kuabudu hapa

Jr[emoji769]
 
Kwani ATC walianza biashara jana? toka ndege zinunuliwe umepita muda gani? Wamenunua ndege bila kujua soko??? So hawakua na business wala marketing strategies zozote? Hlf wakaamua tu kununua ndege? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]najua unaelewa sena umeamua tu kujibu inayoyajibu [emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app

Soko haliji overnight, ni mchakato.. ATCL ndio inatengeneza jina na uwezo baada ya kufufuliwa. Halafu nilisemea soko la Ulaya mkuu. Maana kuna route za India Uchina na maeneo kadhaa kwa hapa bara letu. Hivyo plan wanayo nzuri tu, na kama sio hii Covid ungekuta sasa wanatua na UK.
 
Acha kupotosha uma bas. Sio kwamba air Tanzania haiwez kwenda ulaya kwa ajiri ya mkulima. Sio kumiliki ndege ndo kuwa na uwezo wa kutua popote utakapo, kila kitu kina taratibu zake.

Leseni ya Rwandair sio sawa naya air Tanzania, Rwanda leseni yao inawaruhusu kutua viwanja vya ulaya sisi hiyo bado hatuna, na usizanie kupata leseni ya kutua ama kupita kwenye anga la ulaya ni kitu rahisi, inachukua mda.

Ata bus uwezi ipeleka tu unapo taka kwakuwa umepata abiria wa huko pasipo kuwa nakibari cha hiyo route
Hao wajinga wenu huko juu hawakujua hilo wakanunua madege na kupark sasa zaidi ya miaka mitatu? Wanaweza nini kama mambo ya kawaida kama hayo yanawashinda? ATCL ilikuwepo na EAA kabla take kwa nini hawakuweza kujifunza kutokana na mafanikio au failures za mashirika hayo mawili? Musukuma ana kampuni yake ya Mabasi yakifanya safari kati ya Geita na Chato na Mwanza si angefaa zaidi kuendesha ATCL kuliko hayo yaliyokabithiwa Shirika kwa Usukuma tu? ATCL ina ndege nyingi zaidi kuliko RwandAir lakini wanachukua biashara ya samaki tukiangalia. What good are we?
 
..Rwanda Air mnayemlalamikia amesalimu amri na kabla ya covid19 walikuwa ktk hatua za mwisho za kununuliwa na Qatar Air.

..Biashara ya usafiri wa anga ni kichaa. Tulipaswa kuwekeza kwenye viwanda ili vijana wapate ajira.
 
Watu wanashindwa kujiongeza kwa vitu vidogo tu. Hii ni kuendekeza siasa za uvyama kwenye kila kitu. Sometimes hadi unashangaa kwamba ni wanafanya kusudi tu kujifuirahisha au ndio uelewa wao umekwamia hapo!?
Akili zao ndogo hao tushawazoea siku hizi tunawapotezea
 
Kuibadili ndege ya abiria kuwa ya mizigo ni process, kuna mambo kibao ya usalama wa ndege na vibali ambayo yote gharama ya fedha na muda.

Unapozumnguzia mizigo unaongelea biashara inayo jumuisha connection, network, time, offer, acceptance, contract, cost na profit. Sio kitu cha kukurupuka ikiwa Rwandaair na Kenya air ways wanameet hayo waendelee tu.

Ila wabongo kwa taarifa za kupika mko Mars.
That's true...ila nadhani umekosea mlengwa wa ujumbe wako boss...hata nami nipo against mtoa mada.
 
Ujinga wake si kuidai serikali mkuu, Ujinga wake ni pale anaposhindwa kukamata ndege kipindi zinafanya Safari huko, leo kuna zuwio la Safar za ndege duniani ndio anakazana kuzisaka zilipo 😂 huo ndo Ujinga wake mkuu
Atakamata tu ndege muda sio mrefu.
 
Back
Top Bottom