Air Tanzania, Soko la Afrika Kusini, Abiria ni wengi ajabu!

Air Tanzania, Soko la Afrika Kusini, Abiria ni wengi ajabu!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Air Tanzania changamkieni Soko la Afrika Kusini (Johannesburg na Cape Town) abiria Ni wa kuchota. Maana SAA imesitisha safari za kimataifa hivyo ni fursa kwa ATCL kwenda huko kama majirani zetu Kenya Airways, Ethiopian airlines na Rwandair.

air-tanzania-a220.jpg
images - 2022-06-01T112132.302.jpeg
 

Attachments

  • IMG20220522115113.jpg
    IMG20220522115113.jpg
    361.7 KB · Views: 74
  • IMG20220528183005.jpg
    IMG20220528183005.jpg
    635.1 KB · Views: 73
  • 284833856_561801588619204_7859528830166997043_n.jpg
    284833856_561801588619204_7859528830166997043_n.jpg
    82.8 KB · Views: 61
Internal routes zimewashida ku capitalize sembuse hizo za kimataifa ATCL hawawezi biashara ya ushindani,.......bora fast jet irudi tu angalau ilikua na ushindani mzuri
Route zetu za kusubiria waheshimiwa wacheleweshaji ndege, kimataifa wataweza!?!
Wabakie Tu na route ya Dodoma Mwanza Kilimanjaro Mbeya, na kule Mpanda sijui bado wanaenda!?
 
Hizo ni(domestic flights) local route siyo rahisi kwa international operator kupewa leseni kufanya biashara hiyo.
Mbona fast jet alipewa hizo domestic flight na ilizimudu viziru, lijama limoja likajitokeza alikajifanya lizalendo likuua shirka zima la fast jet kwa figisifigisu na wivu wakati ili boost sana internal trade kwa kulahisisha usafiri wa ndani
 
Business Model ya ATCL ni ya ajabu kidogo.

Naona tayari wana route ya kwenda Lusaka (Zambia ) na pia Harare (Zimbabwe).

Na route ya Dar kwenda Nairobi Kenya. Hii wamefanikiwa maana wana route mbili za ndege kutoka Dar kwenda Nairobi (nne kwa siku kati ya Dar na Nairobi)

Hizi ndio route pekee wanazoweza kuzimudu kibiashara.

Kwa route ya Dar kwenda Capetown huko tayari kuna Kenya Airways na Ethopian Airlines ; hao hatuwezi kupambana nao, hivyo tusahau kuhusu hiyo route.

Tena hapo Ethopian Airlines ina route ya kibabe sana kama umewahi kusafiri kutoka Bole kwenda Capetown kisha inatoka Capetown inapita Dar; hii maana yake ni kwamba abiria aliyeko Tanzania anapotaka kwenda South Afrika inabidi abebwe na Ethiopian Airlines mpaka Addis Ababa kisha anapanda tena Ethiopian Airlines kwenda Capetown.
Hii route inawapa wateja wengi haswa watalii kutoka South wanaokuja Tanzania.

Utaniuliza vipi kuhusu route ya Dar kwenda Maputo Msumbiji?
Hii route nayo Ethiopian AIRLINES imekaba haswa maana ana ndege inayopita Dar kwenda Blantayre (Chieka) pale Malawi kisha inapita Maputo (Msumbiji) na kwenda Johanesburg (Afrika Kusini ).

Bado unaweza kuniuliza vipi kuhusu Dar - kwenda Kigali kwa Kagame;
Hii route tayari Rwanda Air na Kenya Airways wamejiimalisha vya kutosha; hivyo ni ngumu kwa ATCL na Twiga wa Tanzania kuweka mguu hapo.

Unaweza kusema vipi kuhusu Bujumbura kwa Warundi;
Hii route ni kugombania goli, najua ATCL ina route japo inaenda mara chache huko. Hii route yupo Kenya Airways na mara kadhaa nimeiona Precision pia kwenye uwanja wa ndege wa Bujumbura (BJB). Lakini pia Hahn Air pia wana route hapo. Kwa hiyo sioni kama kuna soko la uhakika kwa ATCL.

Tumebakisha wapi; oooh Dar - kwenda Kinshasa (FIH)
Huku napo Ethiopian Airlines imetawala soko, kama ni Mtanzania na upo Kinshasa basi itakubidi upande Ethiopian Airlines; hawa jamaa wana route kutoka Bole (Addis Ababa) kisha inapita Dar na kwenda Kinshasa, hivyo hapo napo ni pagumu.

Ni kweli kuna abiria wengi huko Capetown na Johannesburg lakini ukweli ni kwamba soko lina wenyewe tayari. Tena waliopo sio wadogo ni wabobevu, wana uwezo mkubwa wa kibiashara na wanatoa nafasi ya kuunganisha route za ndege kuliko Air Tanzania.

Kwa mfano kama upo Capetown na unaenda Dubai, ni rahisi kushawishiwa kupanda Ethiopian Airline ambayo itapita Dar na kisha kwenda kukuacha Bore na ukaunga na Ethiopian nyingine inayokwenda Dubai kuliko kupanda Air Tanzania itakayokuacha Dar au KIA usijue pa kwenda.

Kwa wenye uzoefu na masuala haya ya biashara na route za ndege watakubaliana nami kuwa, inawezekana kabisa kuwa hatuwaza vizuri wakati tunanunua ndege kwa soko la kimataifa.

ATCL ina nafasi kubwa kwa soko la ndani; iwapo wataamua kuweka bei rafiki, wanaweza wasifike urahis wa bei za Fast Jet lakini wakishusha kidogo watakuwa na biashara nzuri sana. Ukiacha changamoto ndogondogo hapa wanajitahidi.

Kuna baadhi ya route ndege mara kadhaa huwa zinarudi zikiwa na nafasi za wazi sana , nina uzoefu na route ya Mbeya kuja Dar na ile Kigoma - Dar. Nadhani wakiangalia gharama inaweza kuwasaidia kupata abiria na route zaidi.

Soko la biashara kwa upande huu wa kusini Wahabeshi (Ethiopian Airline) wamelishika haswa.
 
Business Model ya ATCL ni ya ajabu kidogo.

Naona tayari wana route ya kwenda Lusaka (Zambia ) na pia Harare (Zimbabwe).

Na route ya Dar kwenda Nairobi Kenya. Hii wamefanikiwa maana wana route mbili za ndege kutoka Dar kwenda Nairobi (nne kwa siku kati ya Dar na Nairobi)

Hizi ndio route pekee wanazoweza kuzimudu kibiashara.

Kwa route ya Dar kwenda Capetown huko tayari kuna Kenya Airways na Ethopian Airlines ; hao hatuwezi kupambana nao, hivyo tusahau kuhusu hiyo route.

Tena hapo Ethopian Airlines ina route ya kibabe sana kama umewahi kusafiri kutoka Bole kwenda Capetown kisha inatoka Capetown inapita Dar; hii maana yake ni kwamba abiria aliyeko Tanzania anapotaka kwenda South Afrika inabidi abebwe na Ethiopian Airlines mpaka Addis Ababa kisha anapanda tena Ethiopian Airlines kwenda Capetown.
Hii route inawapa wateja wengi haswa watalii kutoka South wanaokuja Tanzania.

Utaniuliza vipi kuhusu route ya Dar kwenda Maputo Msumbiji?
Hii route nayo Ethiopian AIRLINES imekaba haswa maana ana ndege inayopita Dar kwenda Blantayre (Chieka) pale Malawi kisha inapita Maputo (Msumbiji) na kwenda Johanesburg (Afrika Kusini ).

Bado unaweza kuniuliza vipi kuhusu Dar - kwenda Kigali kwa Kagame;
Hii route tayari Rwanda Air na Kenya Airways wamejiimalisha vya kutosha; hivyo ni ngumu kwa ATCL na Twiga wa Tanzania kuweka mguu hapo.

Unaweza kusema vipi kuhusu Bujumbura kwa Warundi;
Hii route ni kugombania goli, najua ATCL ina route japo inaenda mara chache huko. Hii route yupo Kenya Airways na mara kadhaa nimeiona Precision pia kwenye uwanja wa ndege wa Bujumbura (BJB). Lakini pia Hahn Air pia wana route hapo. Kwa hiyo sioni kama kuna soko la uhakika kwa ATCL.

Tumebakisha wapi; oooh Dar - kwenda Kinshasa (FIH)
Huku napo Ethiopian Airlines imetawala soko, kama ni Mtanzania na upo Kinshasa basi itakubidi upande Ethiopian Airlines; hawa jamaa wana route kutoka Bole (Addis Ababa) kisha inapita Dar na kwenda Kinshasa, hivyo hapo napo ni pagumu.

Ni kweli kuna abiria wengi huko Capetown na Johannesburg lakini ukweli ni kwamba soko lina wenyewe tayari. Tena waliopo sio wadogo ni wabobevu, wana uwezo mkubwa wa kibiashara na wanatoa nafasi ya kuunganisha route za ndege kuliko Air Tanzania.

Kwa mfano kama upo Capetown na unaenda Dubai, ni rahisi kushawishiwa kupanda Ethiopian Airline ambayo itapita Dar na kisha kwenda kukuacha Bore na ukaunga na Ethiopian nyingine inayokwenda Dubai kuliko kupanda Air Tanzania itakayokuacha Dar au KIA usijue pa kwenda.

Kwa wenye uzoefu na masuala haya ya biashara na route za ndege watakubaliana nami kuwa, inawezekana kabisa kuwa hatuwaza vizuri wakati tunanunua ndege kwa soko la kimataifa.

ATCL ina nafasi kubwa kwa soko la ndani; iwapo wataamua kuweka bei rafiki, wanaweza wasifike urahis wa bei za Fast Jet lakini wakishusha kidogo watakuwa na biashara nzuri sana. Ukiacha changamoto ndogondogo hapa wanajitahidi.

Kuna baadhi ya route ndege mara kadhaa huwa zinarudi zikiwa na nafasi za wazi sana , nina uzoefu na route ya Mbeya kuja Dar na ile Kigoma - Dar. Nadhani wakiangalia gharama inaweza kuwasaidia kupata abiria na route zaidi.

Soko la biashara kwa upande huu wa kusini Wahabeshi (Ethiopian Airline) wamelishika haswa.
ATCL wana malzia kulipa madeni ili waweze fanya biashara vyema...

pia kuna mikataba ktk baadhi ya njia huwa wana ingia, kwa mfano KQ na hao wa sauzi... hata ATCL wapo na wana taka kuweka alliance ktk baadhi ya njia...

Biashara si vile unavyo iona kwa nje na kuifikiria, pia ni namna ya kupata faida kwa kushirikiana na mshindani au kwa kwenda mwenyewe...

KQ, Ethiopian... wana mashirikiano na ndege za ulaya kwa kuwa pelekea wateja na wao wana waletea wateja ktk baadhi ya njia...

hivyo msikilize Ndg Matindi atakwambia jinsi walivyo jipanga kuona wapi wanapo elekea...

nenda youtube kaangalie mahojiano yake ya mwaka huu na azam tv itakusaidia mkuu...

===================================================================================================

Hayo yamezungumzwa jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Uchukuzi), Dkt. Ally Possi, wakati akizungumza na menejimenti ya ATCL, na kusisisitiza kwamba pamoja na maboresho yanayofanyika kwa sasa Shirika linakamilisha mpango biashara wa muda mrefu ili kuhakikisha ATCL inajiendesha kwa faida pamoja na kulipa madeni yaliyopo.

“Serikali imeendelea kuwekeza kwenye Shirika hili na niwahakikishie maboresho ya viwanja vya ndege nchini yatachochea kwa kiasi kikubwa ongezeko la mapato na hatimaye madeni yanayoripotiwa yatalipwa", amesisitiza Dkt. Possi.

Aidha, Dkt Possi ameipongeza Menejimenti ya ATCL kwa kazi kubwa wanayoifanya na kuwataka kuhakikisha changamoto mbalimbali zinazokabili Shirika hilo ikiwemo mabadiliko ya ratiba yanaripotiwa mapema kwa abiria ili kuwafanya abiria kuendelea kuliamini na kutumia Shirika hiyo.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, Eng. Ladislaus Matindi, amemuhakikishia Naibu Katibu Mkuu huyo kuwa Shirika linaendelea kuboresha utendaji na huduma ili likue na kuendelea kuaminika kwa utoaji huduma bora kwa zaidi ya vituo 15 vya ndani ya nchi na zaidi ya vituo sita vya nje ya nchi inavyovihudumia.

Eng. Matindi ameongeza kuwa kwa mwaka huu Shirika linakamilisha mazungumzo na mashirika makubwa ya ndege kama KLM na Emirates ili kuboresha huduma pale itakapoanza safari zake kwa vituo vya Uingereza na maeneo mengine kimataifa.

“Tayari tunashirikiano na mashirika makubwa ya ndege kama Air India ambao wanachukua abiria wetu tunaowapeleka Mumbai kuwapeleka kwenye maeneo mengine, lakini kwa sasa tunakamilisha mazungumzo na KLM na Emirate ili kuboresha huduma pale tutakapoanza safari za Uingereza na maeneo mengine", amefafanua Eng. Matindi.

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) kwa sasa ina ndege 11 ambazo ni Boeing 787 ndege mbili, A220-330 ndege nne, Dash 8-Q400 ndege tano na tayari Serikali inaendelea na manunuzi ya ndege nyingine tano ambazo zinatajiwa kuanza kuwasili nchini mwaka 2023
 
Air Tanzania changamkieni Soko la Afrika Kusini (Johannesburg na Cape Town) abiria Ni wa kuchota. Maana SAA imesitisha safari za kimataifa hivyo ni fursa kwa ATCL kwenda huko kama majirani zetu Kenya Airways, Ethiopian airlines na Rwandair.
Kwani Chato hakuna soko la Abiria?
 
Business Model ya ATCL ni ya ajabu kidogo.

Naona tayari wana route ya kwenda Lusaka (Zambia ) na pia Harare (Zimbabwe).

Na route ya Dar kwenda Nairobi Kenya. Hii wamefanikiwa maana wana route mbili za ndege kutoka Dar kwenda Nairobi (nne kwa siku kati ya Dar na Nairobi)

Hizi ndio route pekee wanazoweza kuzimudu kibiashara.

Kwa route ya Dar kwenda Capetown huko tayari kuna Kenya Airways na Ethopian Airlines ; hao hatuwezi kupambana nao, hivyo tusahau kuhusu hiyo route.

Tena hapo Ethopian Airlines ina route ya kibabe sana kama umewahi kusafiri kutoka Bole kwenda Capetown kisha inatoka Capetown inapita Dar; hii maana yake ni kwamba abiria aliyeko Tanzania anapotaka kwenda South Afrika inabidi abebwe na Ethiopian Airlines mpaka Addis Ababa kisha anapanda tena Ethiopian Airlines kwenda Capetown.
Hii route inawapa wateja wengi haswa watalii kutoka South wanaokuja Tanzania.

Utaniuliza vipi kuhusu route ya Dar kwenda Maputo Msumbiji?
Hii route nayo Ethiopian AIRLINES imekaba haswa maana ana ndege inayopita Dar kwenda Blantayre (Chieka) pale Malawi kisha inapita Maputo (Msumbiji) na kwenda Johanesburg (Afrika Kusini ).

Bado unaweza kuniuliza vipi kuhusu Dar - kwenda Kigali kwa Kagame;
Hii route tayari Rwanda Air na Kenya Airways wamejiimalisha vya kutosha; hivyo ni ngumu kwa ATCL na Twiga wa Tanzania kuweka mguu hapo.

Unaweza kusema vipi kuhusu Bujumbura kwa Warundi;
Hii route ni kugombania goli, najua ATCL ina route japo inaenda mara chache huko. Hii route yupo Kenya Airways na mara kadhaa nimeiona Precision pia kwenye uwanja wa ndege wa Bujumbura (BJB). Lakini pia Hahn Air pia wana route hapo. Kwa hiyo sioni kama kuna soko la uhakika kwa ATCL.

Tumebakisha wapi; oooh Dar - kwenda Kinshasa (FIH)
Huku napo Ethiopian Airlines imetawala soko, kama ni Mtanzania na upo Kinshasa basi itakubidi upande Ethiopian Airlines; hawa jamaa wana route kutoka Bole (Addis Ababa) kisha inapita Dar na kwenda Kinshasa, hivyo hapo napo ni pagumu.

Ni kweli kuna abiria wengi huko Capetown na Johannesburg lakini ukweli ni kwamba soko lina wenyewe tayari. Tena waliopo sio wadogo ni wabobevu, wana uwezo mkubwa wa kibiashara na wanatoa nafasi ya kuunganisha route za ndege kuliko Air Tanzania.

Kwa mfano kama upo Capetown na unaenda Dubai, ni rahisi kushawishiwa kupanda Ethiopian Airline ambayo itapita Dar na kisha kwenda kukuacha Bore na ukaunga na Ethiopian nyingine inayokwenda Dubai kuliko kupanda Air Tanzania itakayokuacha Dar au KIA usijue pa kwenda.

Kwa wenye uzoefu na masuala haya ya biashara na route za ndege watakubaliana nami kuwa, inawezekana kabisa kuwa hatuwaza vizuri wakati tunanunua ndege kwa soko la kimataifa.

ATCL ina nafasi kubwa kwa soko la ndani; iwapo wataamua kuweka bei rafiki, wanaweza wasifike urahis wa bei za Fast Jet lakini wakishusha kidogo watakuwa na biashara nzuri sana. Ukiacha changamoto ndogondogo hapa wanajitahidi.

Kuna baadhi ya route ndege mara kadhaa huwa zinarudi zikiwa na nafasi za wazi sana , nina uzoefu na route ya Mbeya kuja Dar na ile Kigoma - Dar. Nadhani wakiangalia gharama inaweza kuwasaidia kupata abiria na route zaidi.

Soko la biashara kwa upande huu wa kusini Wahabeshi (Ethiopian Airline) wamelishika haswa.

Hebu tuthibitishie kuwa ethiopian airlines inatoka capetown kupitia dar kwenda addis., tuwekee hata dumb itinerary.
 
Hizo ni(domestic flights) local route siyo rahisi kwa international operator kupewa leseni kufanya biashara hiyo.
Acha uongo! ATCL ilikuwa na rights za kwenda SA lakini kwa kuogopa ndege kukamatwa sababu ya madeni ndio maana Hawaendi huko!! Halafu bungeni wanaongopa kuwa hawadaiwi; sasa kama hawadaiwi Mbona hawaendi?
 
Air Tanzania changamkieni Soko la Afrika Kusini (Johannesburg na Cape Town) abiria Ni wa kuchota. Maana SAA imesitisha safari za kimataifa hivyo ni fursa kwa ATCL kwenda huko kama majirani zetu Kenya Airways, Ethiopian airlines na Rwandair.
Mpaka waambiwe na Rais wao ni mazuzu tupu
 
ATCL wana malzia kulipa madeni ili waweze fanya biashara vyema...

pia kuna mikataba ktk baadhi ya njia huwa wana ingia, kwa mfano KQ na hao wa sauzi... hata ATCL wapo na wana taka kuweka alliance ktk baadhi ya njia...

Biashara si vile unavyo iona kwa nje na kuifikiria, pia ni namna ya kupata faida kwa kushirikiana na mshindani au kwa kwenda mwenyewe...

KQ, Ethiopian... wana mashirikiano na ndege za ulaya kwa kuwa pelekea wateja na wao wana waletea wateja ktk baadhi ya njia...

hivyo msikilize Ndg Matindi atakwambia jinsi walivyo jipanga kuona wapi wanapo elekea...

nenda youtube kaangalie mahojiano yake ya mwaka huu na azam tv itakusaidia mkuu...
Code sharing kwann ATC wamekatazwa?
 
Air Tanzania changamkieni Soko la Afrika Kusini (Johannesburg na Cape Town) abiria Ni wa kuchota. Maana SAA imesitisha safari za kimataifa hivyo ni fursa kwa ATCL kwenda huko kama majirani zetu Kenya Airways, Ethiopian airlines na Rwandair.
Hivi kwa akili yako unadhani safari za ndege huwa ukiona soko mahali unarusha tu ndege?
 
Air Tanzania changamkieni Soko la Afrika Kusini (Johannesburg na Cape Town) abiria Ni wa kuchota. Maana SAA imesitisha safari za kimataifa hivyo ni fursa kwa ATCL kwenda huko kama majirani zetu Kenya Airways, Ethiopian airlines na Rwandair.
ATCL linaongozw na ilani ya chama ndio maana wala hawana business plan
 
Business Model ya ATCL ni ya ajabu kidogo.

Naona tayari wana route ya kwenda Lusaka (Zambia ) na pia Harare (Zimbabwe).

Na route ya Dar kwenda Nairobi Kenya. Hii wamefanikiwa maana wana route mbili za ndege kutoka Dar kwenda Nairobi (nne kwa siku kati ya Dar na Nairobi)

Hizi ndio route pekee wanazoweza kuzimudu kibiashara.

Kwa route ya Dar kwenda Capetown huko tayari kuna Kenya Airways na Ethopian Airlines ; hao hatuwezi kupambana nao, hivyo tusahau kuhusu hiyo route.

Tena hapo Ethopian Airlines ina route ya kibabe sana kama umewahi kusafiri kutoka Bole kwenda Capetown kisha inatoka Capetown inapita Dar; hii maana yake ni kwamba abiria aliyeko Tanzania anapotaka kwenda South Afrika inabidi abebwe na Ethiopian Airlines mpaka Addis Ababa kisha anapanda tena Ethiopian Airlines kwenda Capetown.
Hii route inawapa wateja wengi haswa watalii kutoka South wanaokuja Tanzania.

Utaniuliza vipi kuhusu route ya Dar kwenda Maputo Msumbiji?
Hii route nayo Ethiopian AIRLINES imekaba haswa maana ana ndege inayopita Dar kwenda Blantayre (Chieka) pale Malawi kisha inapita Maputo (Msumbiji) na kwenda Johanesburg (Afrika Kusini ).

Bado unaweza kuniuliza vipi kuhusu Dar - kwenda Kigali kwa Kagame;
Hii route tayari Rwanda Air na Kenya Airways wamejiimalisha vya kutosha; hivyo ni ngumu kwa ATCL na Twiga wa Tanzania kuweka mguu hapo.

Unaweza kusema vipi kuhusu Bujumbura kwa Warundi;
Hii route ni kugombania goli, najua ATCL ina route japo inaenda mara chache huko. Hii route yupo Kenya Airways na mara kadhaa nimeiona Precision pia kwenye uwanja wa ndege wa Bujumbura (BJB). Lakini pia Hahn Air pia wana route hapo. Kwa hiyo sioni kama kuna soko la uhakika kwa ATCL.

Tumebakisha wapi; oooh Dar - kwenda Kinshasa (FIH)
Huku napo Ethiopian Airlines imetawala soko, kama ni Mtanzania na upo Kinshasa basi itakubidi upande Ethiopian Airlines; hawa jamaa wana route kutoka Bole (Addis Ababa) kisha inapita Dar na kwenda Kinshasa, hivyo hapo napo ni pagumu.

Ni kweli kuna abiria wengi huko Capetown na Johannesburg lakini ukweli ni kwamba soko lina wenyewe tayari. Tena waliopo sio wadogo ni wabobevu, wana uwezo mkubwa wa kibiashara na wanatoa nafasi ya kuunganisha route za ndege kuliko Air Tanzania.

Kwa mfano kama upo Capetown na unaenda Dubai, ni rahisi kushawishiwa kupanda Ethiopian Airline ambayo itapita Dar na kisha kwenda kukuacha Bore na ukaunga na Ethiopian nyingine inayokwenda Dubai kuliko kupanda Air Tanzania itakayokuacha Dar au KIA usijue pa kwenda.

Kwa wenye uzoefu na masuala haya ya biashara na route za ndege watakubaliana nami kuwa, inawezekana kabisa kuwa hatuwaza vizuri wakati tunanunua ndege kwa soko la kimataifa.

ATCL ina nafasi kubwa kwa soko la ndani; iwapo wataamua kuweka bei rafiki, wanaweza wasifike urahis wa bei za Fast Jet lakini wakishusha kidogo watakuwa na biashara nzuri sana. Ukiacha changamoto ndogondogo hapa wanajitahidi.

Kuna baadhi ya route ndege mara kadhaa huwa zinarudi zikiwa na nafasi za wazi sana , nina uzoefu na route ya Mbeya kuja Dar na ile Kigoma - Dar. Nadhani wakiangalia gharama inaweza kuwasaidia kupata abiria na route zaidi.

Soko la biashara kwa upande huu wa kusini Wahabeshi (Ethiopian Airline) wamelishika haswa.
Hamna linaloshindikana ATCL wakiamua na wakipewa support na serikali. Kumbuka hao wote wanategemea kwa kiwango kikubwa abiria wanaotembelea Tanzania. Tanzania haina cha kupoteza kwa maamuzi yoyote itakayoamua katika hizo route.
 
Hamna linaloshindikana ATCL wakiamua na wakipewa support na serikali. Kumbuka hao wote wanategemea kwa kiwango kikubwa abiria wanaotembelea Tanzania. Tanzania haina cha kupoteza kwa maamuzi yoyote itakayoamua katika hizo route.
Point
 
ATCL wana malzia kulipa madeni ili waweze fanya biashara vyema...

pia kuna mikataba ktk baadhi ya njia huwa wana ingia, kwa mfano KQ na hao wa sauzi... hata ATCL wapo na wana taka kuweka alliance ktk baadhi ya njia...

Biashara si vile unavyo iona kwa nje na kuifikiria, pia ni namna ya kupata faida kwa kushirikiana na mshindani au kwa kwenda mwenyewe...

KQ, Ethiopian... wana mashirikiano na ndege za ulaya kwa kuwa pelekea wateja na wao wana waletea wateja ktk baadhi ya njia...

hivyo msikilize Ndg Matindi atakwambia jinsi walivyo jipanga kuona wapi wanapo elekea...

nenda youtube kaangalie mahojiano yake ya mwaka huu na azam tv itakusaidia mkuu...

Sijui kama unajua chochote kuhusu ATCL au hii sekta ya usafirisha wa anga.

Labda nikueleze

i. ATCL ina deni la TZS 45 billion (USD19.4 million)

ii. ATCL imepata hasara ya TZS150 billion Tanzanian shilling (USD64.6 million) ndani ya miaka mitano.

Hayo madeni wanamalizia kulipa wakati hata hawajaanza kuyalipa?

Umeelezwa vizuri hapo na mtu anayejua kuhusu hizo route, huna mkataba wa kuingia na mtu ambaye ana uwezo wa kumtoa abiria South Africa, Mozambique, Malawi, Shelisheli au DRC. Unaingia naye mkataba ili umsaidie wapi?
ATCL inachoweza kufanya ni kumtoa abiria Songwe ili imlete Dar apande ndege ya kwenda sehemu nyingine duniani.

Mashirika ambayo Ethiopian wana ushirka nayo ni zaidi ya 100 unaweza kupita hapa kwenye official website badala ya kuchukua taarifa youtube Interline and Partners Baggage Policy

Kuhusu Engineer Mantindi, ana uwezo mzuri wa management lakini hali ya soko kwa ATCL ni gumu sana. Anaongea kufurahisha wanasiasa tu.

Rudi nyuma angalia mipango ya ATCL tangu 2017 embu niambie wametimiza lipi?

Huwezi kujadili hoja kubwa kama hii kwa kusikiliza mahojiano.....

Mahojiano hayajawahi kubadili chochote katika nchi hii

Nikupe orodha ndogo kuhusu mahojiano yaliyojaa youtube ambayo yaliishia kuwa mahojiano tu.....
1. Professa Muhongo - alizungumza kuhusu Gas ya mtwara - Alisema ''baada ya uchumbaji kukamilika, bei ya umeme itashuka, umeme utakuwa wa kutosha na tutatuza nchi za jirani, akaendelea kusema '' gesi ya majumbani itasambazwa kwa kila nyumba''......
lipi limetimia hapo?

2. Mahojiano ya Kadogosa kuhusu SGR - watu wataanza kusafiri kwa treni ya mwendo kasi kwenda Morogoro mwishoni kwa 2021......vipi safari zimeshaanza ?

3. Mahojiano na kauli za Magu - ''Hii nchi tajiri sana, tembeeni vifua mbele''....vipi unatembea kifua mbele?

4. Mahojiano ya Mzee wa Msoga wakati wa kampeni mwaka 2000- Alisema katika miaka mitano ya utawala wake kila mtanzania atakuwa na maisha bora.....Unakumba ''Maisha bora kwa kila Mtanzania'' ,,,,,vipi una maisha bora?
 
Business Model ya ATCL ni ya ajabu kidogo.

Naona tayari wana route ya kwenda Lusaka (Zambia ) na pia Harare (Zimbabwe).

Na route ya Dar kwenda Nairobi Kenya. Hii wamefanikiwa maana wana route mbili za ndege kutoka Dar kwenda Nairobi (nne kwa siku kati ya Dar na Nairobi)

Hizi ndio route pekee wanazoweza kuzimudu kibiashara.

Kwa route ya Dar kwenda Capetown huko tayari kuna Kenya Airways na Ethopian Airlines ; hao hatuwezi kupambana nao, hivyo tusahau kuhusu hiyo route.

Tena hapo Ethopian Airlines ina route ya kibabe sana kama umewahi kusafiri kutoka Bole kwenda Capetown kisha inatoka Capetown inapita Dar; hii maana yake ni kwamba abiria aliyeko Tanzania anapotaka kwenda South Afrika inabidi abebwe na Ethiopian Airlines mpaka Addis Ababa kisha anapanda tena Ethiopian Airlines kwenda Capetown.
Hii route inawapa wateja wengi haswa watalii kutoka South wanaokuja Tanzania.

Utaniuliza vipi kuhusu route ya Dar kwenda Maputo Msumbiji?
Hii route nayo Ethiopian AIRLINES imekaba haswa maana ana ndege inayopita Dar kwenda Blantayre (Chieka) pale Malawi kisha inapita Maputo (Msumbiji) na kwenda Johanesburg (Afrika Kusini ).

Bado unaweza kuniuliza vipi kuhusu Dar - kwenda Kigali kwa Kagame;
Hii route tayari Rwanda Air na Kenya Airways wamejiimalisha vya kutosha; hivyo ni ngumu kwa ATCL na Twiga wa Tanzania kuweka mguu hapo.

Unaweza kusema vipi kuhusu Bujumbura kwa Warundi;
Hii route ni kugombania goli, najua ATCL ina route japo inaenda mara chache huko. Hii route yupo Kenya Airways na mara kadhaa nimeiona Precision pia kwenye uwanja wa ndege wa Bujumbura (BJB). Lakini pia Hahn Air pia wana route hapo. Kwa hiyo sioni kama kuna soko la uhakika kwa ATCL.

Tumebakisha wapi; oooh Dar - kwenda Kinshasa (FIH)
Huku napo Ethiopian Airlines imetawala soko, kama ni Mtanzania na upo Kinshasa basi itakubidi upande Ethiopian Airlines; hawa jamaa wana route kutoka Bole (Addis Ababa) kisha inapita Dar na kwenda Kinshasa, hivyo hapo napo ni pagumu.

Ni kweli kuna abiria wengi huko Capetown na Johannesburg lakini ukweli ni kwamba soko lina wenyewe tayari. Tena waliopo sio wadogo ni wabobevu, wana uwezo mkubwa wa kibiashara na wanatoa nafasi ya kuunganisha route za ndege kuliko Air Tanzania.

Kwa mfano kama upo Capetown na unaenda Dubai, ni rahisi kushawishiwa kupanda Ethiopian Airline ambayo itapita Dar na kisha kwenda kukuacha Bore na ukaunga na Ethiopian nyingine inayokwenda Dubai kuliko kupanda Air Tanzania itakayokuacha Dar au KIA usijue pa kwenda.

Kwa wenye uzoefu na masuala haya ya biashara na route za ndege watakubaliana nami kuwa, inawezekana kabisa kuwa hatuwaza vizuri wakati tunanunua ndege kwa soko la kimataifa.

ATCL ina nafasi kubwa kwa soko la ndani; iwapo wataamua kuweka bei rafiki, wanaweza wasifike urahis wa bei za Fast Jet lakini wakishusha kidogo watakuwa na biashara nzuri sana. Ukiacha changamoto ndogondogo hapa wanajitahidi.

Kuna baadhi ya route ndege mara kadhaa huwa zinarudi zikiwa na nafasi za wazi sana , nina uzoefu na route ya Mbeya kuja Dar na ile Kigoma - Dar. Nadhani wakiangalia gharama inaweza kuwasaidia kupata abiria na route zaidi.

Soko la biashara kwa upande huu wa kusini Wahabeshi (Ethiopian Airline) wamelishika haswa.
Acha kuogopa ushindani, boresha huduma zako, huwezi fanya biashara peke yako
 
Back
Top Bottom