Air Tanzania, Soko la Afrika Kusini, Abiria ni wengi ajabu!

Air Tanzania, Soko la Afrika Kusini, Abiria ni wengi ajabu!

Ndo bussness plan ilipofeli hapo, Atcl ilitakiwa iwe declered bankrupt ,ili izaliwe new Atcl ambayo ingekuwa detached na madeni
Au wangem-support Precision (japo KQ kawekeza pesa humo) wakaacha ATCL ijifie taratiiibu
 
ET wanarusha ndege kubwa Boeing 787 mara 2/3 to Johannesburg (kwa siku)na Boeing 787 mara 1 to Cape Town (kwa siku). KQ anabwana pumzi huko ila bado kakomaa
Mziki wa ET ni mkubwa , wale wahabeshi wamejipanga sana bro , hapo hapo south kwenye low season wana bombadier zao zi akwenda south na abiria wa kuokota okota kuamzia bole malawi , zambia then johannesburg
 
Air Tanzania changamkieni Soko la Afrika Kusini (Johannesburg na Cape Town) abiria Ni wa kuchota. Maana SAA imesitisha safari za kimataifa hivyo ni fursa kwa ATCL kwenda huko kama majirani zetu Kenya Airways, Ethiopian airlines na Rwandair.

Mi naonaga watanzania hawana akili mtanisamehe…..
 
Au wangem-support Precision (japo KQ kawekeza pesa humo) wakaacha ATCL ijifie taratiiibu
Mi ningemuelewa magu kama angejikita kwenye ujenzi wa airports na kuiacha biashara kwa wenye kuijua , ila pia watu inaonekana wamenogewa na mfumo wa kununua ndege bila kupita kwenye kamati za bunge
Tumenunua brand new cargo planes , wakati kuna ma quad engine huko arizona yamekuwa retired kabla ya muda ,
 
Mziki wa ET ni mkubwa , wale wahabeshi wamejipanga sana bro , hapo hapo south kwenye low season wana bombadier zao zi akwenda south na abiria wa kuokota okota kuamzia bole malawi , zambia then johannesburg
Nawakubali Wahabeshi, Wamenunua pia Malawian Airlines (49%) kuteka soko la Southern Africa (DAR, HRE, LSK, LLZ) na West Africa wamenunua ASKY patamu hapo
 
Kuna mida mingine ukikuta mtu anayejiita mtanzania arafu anashabikia kukwama/kufa Kwa ATCL nakosa cha kuandika nabaki kusoma comments tu, nakuomba mungu kunipa ujasiri wa kukaa kimya🙏
 
ATCL ikiamua kwenda hizo routes hawezi kosa wateja.

Kwanini uzunguke mpaka Bole wakati unapata direct flight toka Dar kwenda Cape Town/J'burg/Dubai?

Binafsi sioni mantiki upoteze muda utoke S.A uende Bole ndo uje TZ wakati unaweza chukua direct flight mpaka Dar.

Soko lipo ila akiamua kuwa serious.

..kama South Africa wameshindwa biashara ya shirika la ndege kwanini mnafikiria Tanzania tutaweza?

..biashara ya shirika la ndege ni biashara kichaa, na pasua kichwa, ndio maana SAA, Rwanda Air, Kenya Airways, ...wanakula hasara mwaka hadi mwaka.
 
..kama South Africa wameshindwa biashara ya shirika la ndege kwanini mnafikiria Tanzania tutaweza?

..biashara ya shirika la ndege ni biashara kichaa, na pasua kichwa, ndio maana SAA, Rwanda Air, Kenya Airways, ...wanakula hasara mwaka hadi mwaka.
Hao Ethiopiam wanakula hasara ila ndo siri ya kambi. Kule CAG kada kindaki ndaki. Hata hesabu si kwajili ya matumizi ya umma
 
Inuka ATC simama u mshindi, tawala anga la Afrika, una kibali
 
Kuna mida mingine ukikuta mtu anayejiita mtanzania arafu anashabikia kukwama/kufa Kwa ATCL nakosa cha kuandika nabaki kusoma comments tu, nakuomba mungu kunipa ujasiri wa kukaa kimya🙏
Sidhani kama kuna mtu anaitabiria mabaya Atcl, ila unaelezwa ukweli halisi wa biashara hiyo ilivyo , kama Saa imefilisika sisi ni nani?

If you take wrong way , don't expect to get into the right destination.
 
Mbona fast jet alipewa hizo domestic flight na ilizimudu viziru, lijama limoja likajitokeza alikajifanya lizalendo likuua shirka zima la fast jet kwa figisifigisu na wivu wakati ili boost sana internal trade kwa kulahisisha usafiri wa ndani
Fast Jet haikuzimudu hizo safari za ndani na wala haikusimamishwa kwa sababu ya wivu wa lijamaa limoja. Fastjet ilijikoseasha sifa za kuoperate kama airline kwa kutokuwa na ndege za uhakika (zenye airworthiness), na vile vile kushinbdwa kuhudumia watenja wake ipasavayo mara kwa mara. Binafsi walinikosesha connection flight yangu KLM kwa vile walifutia safari kutoka mwanza kwenda Dar ghafla tu na kukawa hamna alternative nyingine. Hawakulipa fidia za usumbufu huo na niliingia gharama kubwa zaidi kwani ilinibidi nikae Mwanza usiku mmoja tena, halafu kufika Dar nikakaa siku mbili zaidi kwa vile KLM ilikuwa iankuja mara tatu tu kwa wiki, bado nikalipia KLM no show fee ya $350 tena kwa kubembeleza sana, na mwishowe nikachelewa kazini kwangu. Fast Jet haikuwa airline ya kibishara labda safari za kubababisha ambazo hata wakifuta mtu unasubiri kesho yake. Walikuwa wanafuta safari hizo kwa vile ndege ilikuwa mbovu
 
Fast Jet haikuzimudu hizo safari za ndani na wala haikusimamishwa kwa sababu ya wivu wa lijamaa limoja. Fastjet ilijikoseasha sifa za kuoperate kama airline kwa kutokuwa na ndege za uhakika (zenye airworthiness), na vile vile kushinbdwa kuhudumia watenja wake ipasavayo mara kwa mara. Binafsi walinikosesha connection flight yangu KLM kwa vile walifutia safari kutoka mwanza kwenda Dar ghafla tu na kukawa hamna alternative nyingine. Hawakulipa fidia za usumbufu huo na niliingia gharama kubwa zaidi kwani ilinibidi nikae Mwanza usiku mmoja tena, halafu kufika Dar nikakaa siku mbili zaidi kwa vile KLM ilikuwa iankuja mara tatu tu kwa wiki, bado nikalipia KLM no show fee ya $350 tena kwa kubembeleza sana, na mwishowe nikachelewa kazini kwangu. Fast Jet haikuwa airline ya kibishara labda safari za kubababisha ambazo hata wakifuta mtu unasubiri kesho yake. Walikuwa wanafuta safari hizo kwa vile ndege ilikuwa mbovu
Hukusoma zile T&C kwenye tiketi ya budget airline (Fastjet)? Nafuu, ghali?
 
Fast Jet haikuzimudu hizo safari za ndani na wala haikusimamishwa kwa sababu ya wivu wa lijamaa limoja. Fastjet ilijikoseasha sifa za kuoperate kama airline kwa kutokuwa na ndege za uhakika (zenye airworthiness), na vile vile kushinbdwa kuhudumia watenja wake ipasavayo mara kwa mara. Binafsi walinikosesha connection flight yangu KLM kwa vile walifutia safari kutoka mwanza kwenda Dar ghafla tu na kukawa hamna alternative nyingine. Hawakulipa fidia za usumbufu huo na niliingia gharama kubwa zaidi kwani ilinibidi nikae Mwanza usiku mmoja tena, halafu kufika Dar nikakaa siku mbili zaidi kwa vile KLM ilikuwa iankuja mara tatu tu kwa wiki, bado nikalipia KLM no show fee ya $350 tena kwa kubembeleza sana, na mwishowe nikachelewa kazini kwangu. Fast Jet haikuwa airline ya kibishara labda safari za kubababisha ambazo hata wakifuta mtu unasubiri kesho yake. Walikuwa wanafuta safari hizo kwa vile ndege ilikuwa mbovu
Fast jet alikuwa anaoperate ndege mpya , zilikosaje airworthness? Nafikiri ndo alikuwa operator wa mwanzo kabisa ku operate airbus A321 wakati anaanza biashara Tanzania , wakati anafunga virago alikuwa anatumia embraer 190, ambayo nayp hadi leo ni hot sokoni.
Moja ya siri ya budget airline ni kupunguza gharama kwa kutumia ndege mpya , wanatumia jet engine ili wafanye safari nyingi kwa kutumia ndege chache na flight crew wachache
 
Fast jet alikuwa anaoperate ndege mpya , zilikosaje airworthness? Nafikiri ndo alikuwa operator wa mwanzo kabisa ku operate airbus A321 wakati anaanza biashara Tanzania , wakati anafunga virago alikuwa anatumia embraer 190, ambayo nayp hadi leo ni hot sokoni.
Moja ya siri ya budget airline ni kupunguza gharama kwa kutumia ndege mpya , wanatumia jet engine ili wafanye safari nyingi kwa kutumia ndege chache na flight crew wachache
Basi hujui unachotetea. (a) Fastjet walikuwa na ndege mbili za Embraer E190. Hawakuwahi kumiliki Airbus! (b) Fastjet walikuwa wanashindwa kukidhi mahitaji ya usafiri wa anga kwa vile walikuwa wanaweza kufuta safari wakati wowote bila kujali madhara yake wa abiria wao.
 
Basi hujui unachotetea. (a) Fastjet walikuwa na ndege mbili za Embraer E190. Hawakuwahi kumiliki Airbus! (b) Fastjet walikuwa wanashindwa kukidhi mahitaji ya usafiri wa anga kwa vile walikuwa wanaweza kufuta safari wakati wowote bila kujali madhara yake wa abiria wao.
Inaonekana wewe ndo hujui kitu
Fast jet ametumia sana airbus , A321 wakati anaanza alikuja na ndege hizi mbili ,wet lease kutoka kwa kampuni za ulaya na kwa wakati ule zilikuwa ni kama mpya tu, baadaye akaongeza ya tatu, hizo embraer190 amekuja kutumia mwishoni kabisa wa game lake
Nina ushahidi wa picha wa moja ya ndege hizo,ilikuwa tar 12 12 mwaka 2012, nimeshindwa kuuweka kwa sababu kuna sura za wasafiri, itenerary pia ipo by then nililipa shilingi 38500 kwa ticket ya dar mwanza ,45min flight time by jet .
Hiyo ya kufuta safari ni kweli lakini muwe mnasoma terms and conditions kabla ya ku embark !
Budget airline hawezi kuondoa ndege tupu kama haijafika threshold ya faida anayo taka , hata ulaya ipo hivyo.na hili lipo kwenye those fine prints (T&C)ambazo huwa hatuoni umuhimu wa kuzisoma
 
Business Model ya ATCL ni ya ajabu kidogo.

Naona tayari wana route ya kwenda Lusaka (Zambia ) na pia Harare (Zimbabwe).

Na route ya Dar kwenda Nairobi Kenya. Hii wamefanikiwa maana wana route mbili za ndege kutoka Dar kwenda Nairobi (nne kwa siku kati ya Dar na Nairobi)

Hizi ndio route pekee wanazoweza kuzimudu kibiashara.

Kwa route ya Dar kwenda Capetown huko tayari kuna Kenya Airways na Ethopian Airlines ; hao hatuwezi kupambana nao, hivyo tusahau kuhusu hiyo route.

Tena hapo Ethopian Airlines ina route ya kibabe sana kama umewahi kusafiri kutoka Bole kwenda Capetown kisha inatoka Capetown inapita Dar; hii maana yake ni kwamba abiria aliyeko Tanzania anapotaka kwenda South Afrika inabidi abebwe na Ethiopian Airlines mpaka Addis Ababa kisha anapanda tena Ethiopian Airlines kwenda Capetown.
Hii route inawapa wateja wengi haswa watalii kutoka South wanaokuja Tanzania.

Utaniuliza vipi kuhusu route ya Dar kwenda Maputo Msumbiji?
Hii route nayo Ethiopian AIRLINES imekaba haswa maana ana ndege inayopita Dar kwenda Blantayre (Chieka) pale Malawi kisha inapita Maputo (Msumbiji) na kwenda Johanesburg (Afrika Kusini ).

Bado unaweza kuniuliza vipi kuhusu Dar - kwenda Kigali kwa Kagame;
Hii route tayari Rwanda Air na Kenya Airways wamejiimalisha vya kutosha; hivyo ni ngumu kwa ATCL na Twiga wa Tanzania kuweka mguu hapo.

Unaweza kusema vipi kuhusu Bujumbura kwa Warundi;
Hii route ni kugombania goli, najua ATCL ina route japo inaenda mara chache huko. Hii route yupo Kenya Airways na mara kadhaa nimeiona Precision pia kwenye uwanja wa ndege wa Bujumbura (BJB). Lakini pia Hahn Air pia wana route hapo. Kwa hiyo sioni kama kuna soko la uhakika kwa ATCL.

Tumebakisha wapi; oooh Dar - kwenda Kinshasa (FIH)
Huku napo Ethiopian Airlines imetawala soko, kama ni Mtanzania na upo Kinshasa basi itakubidi upande Ethiopian Airlines; hawa jamaa wana route kutoka Bole (Addis Ababa) kisha inapita Dar na kwenda Kinshasa, hivyo hapo napo ni pagumu.

Ni kweli kuna abiria wengi huko Capetown na Johannesburg lakini ukweli ni kwamba soko lina wenyewe tayari. Tena waliopo sio wadogo ni wabobevu, wana uwezo mkubwa wa kibiashara na wanatoa nafasi ya kuunganisha route za ndege kuliko Air Tanzania.

Kwa mfano kama upo Capetown na unaenda Dubai, ni rahisi kushawishiwa kupanda Ethiopian Airline ambayo itapita Dar na kisha kwenda kukuacha Bore na ukaunga na Ethiopian nyingine inayokwenda Dubai kuliko kupanda Air Tanzania itakayokuacha Dar au KIA usijue pa kwenda.

Kwa wenye uzoefu na masuala haya ya biashara na route za ndege watakubaliana nami kuwa, inawezekana kabisa kuwa hatuwaza vizuri wakati tunanunua ndege kwa soko la kimataifa.

ATCL ina nafasi kubwa kwa soko la ndani; iwapo wataamua kuweka bei rafiki, wanaweza wasifike urahis wa bei za Fast Jet lakini wakishusha kidogo watakuwa na biashara nzuri sana. Ukiacha changamoto ndogondogo hapa wanajitahidi.

Kuna baadhi ya route ndege mara kadhaa huwa zinarudi zikiwa na nafasi za wazi sana , nina uzoefu na route ya Mbeya kuja Dar na ile Kigoma - Dar. Nadhani wakiangalia gharama inaweza kuwasaidia kupata abiria na route zaidi.

Soko la biashara kwa upande huu wa kusini Wahabeshi (Ethiopian Airline) wamelishika haswa.
Mbona Wahabeshi wenyewe wanakimbia kwao kama shirika lao la ndege wana miela na faida kubwa
 
Basi hujui unachotetea. (a) Fastjet walikuwa na ndege mbili za Embraer E190. Hawakuwahi kumiliki Airbus! (b) Fastjet walikuwa wanashindwa kukidhi mahitaji ya usafiri wa anga kwa vile walikuwa wanaweza kufuta safari wakati wowote bila kujali madhara yake wa abiria wao.
Mkuu kuwa serious, Fastjet walikuwa na Aibus tena mpya kama sio A320 basi ilikuwa ni A321. Si lazima uonekane unajua kila kitu na uwe tayari kujifunza
 
Inaonekana wewe ndo hujui kitu
Fast jet ametumia sana airbus , A321 wakati anaanza alikuja na ndege hizi mbili ,wet lease kutoka kwa kampuni za ulaya na kwa wakati ule zilikuwa ni kama mpya tu, baadaye akaongeza ya tatu, hizo embraer190 amekuja kutumia mwishoni kabisa wa game lake
Nina ushahidi wa picha wa moja ya ndege hizo,ilikuwa tar 12 12 mwaka 2012, nimeshindwa kuuweka kwa sababu picha za wasafiri, itenerary pia ipo by then nililipa shilingi 38500 kwa ticket ya dar mwanza ,45min flight time by jet .
Hiyo ya kufuta safari ni kweli lakini muwe mnasoma terms and conditions kabla ya ku embark !
Budget airline hawezi kuondoa ndege tupu kama haijafika threshold ya faida anayo taka , hata ulaya ipo hivyo.na hili lipo kwenye those fine prints (T&C)ambazo huwa hatuoni umuhimu wa kuzisoma

Mkuu kuwa serious, Fastjet walikuwa na Aibus tena mpya kama sio A320 basi ilikuwa ni A321. Si lazima uonekane unajua kila kitu na uwe tayari kujifunza
Wakati Fatsjet inafungwa haikuwa na Airbus! Kuna Airbus walizoanza nazo kwa kuzikodi nadhani kutoka Afrika ya kusini, lakini wakati inafungwa haikuwa nazo.
 
Back
Top Bottom