Air Tanzania, Soko la Afrika Kusini, Abiria ni wengi ajabu!

Air Tanzania, Soko la Afrika Kusini, Abiria ni wengi ajabu!

Air Tanzania changamkieni Soko la Afrika Kusini (Johannesburg na Cape Town) abiria Ni wa kuchota. Maana SAA imesitisha safari za kimataifa hivyo ni fursa kwa ATCL kwenda huko kama majirani zetu Kenya Airways, Ethiopian airlines na Rwandair.

View attachment 2246886View attachment 2246899
Naunga mkono hoja, tena it's about time ATC wa claim back our landing rights kutua London zilizokuwa zinashikiliwa na ATC, serikali ilipoingia ubia wa ATC na SAA kuanzisha Alliance Air, landing rights zetu za kutua London zilikabidhiwa kwa Alliance Air dege hilo likawa linatua London. Alliance Ilipokufa ilibidi tugawane fito, lakini kutokana na operating kwa hasara, SAA walitaifisha kila kitu including our landing rights za London.
P
 
Wakati Fatsjet inafungwa haikuwa na Airbus! Kuna Airbus walizoanza nazo kwa kuzikodi nadhani kutoka Afrika ya kusini, lakini wakati inafungwa haikuwa nazo.
Hebu kuwa muungwana basi , futa kauli yako kuwa sijui ninachosema pale juu .
Kumbe wewe ndo ulikuwa na la kunifunza kwangu
Fast jet ndege zake tatu za mwanzo zilikuwa ni Airbus A 321
 
Wakati Fatsjet inafungwa haikuwa na Airbus! Kuna Airbus walizoanza nazo kwa kuzikodi nadhani kutoka Afrika ya kusini, lakini wakati inafungwa haikuwa nazo.
Nilidhani issue ni walikuwa nazo au la bila ya kujalisha kama ilikuwa wakati wa kuanza au kufunga biashara. Nashukuru kwa taarifa
 
Nilidhani issue ni walikuwa nazo au la bila ya kujalisha kama ilikuwa wakati wa kuanza au kufunga biashara. Nashukuru kwa taarifa
Alikuwa anabisha ila kabadili gia angani
 
..kama South Africa wameshindwa biashara ya shirika la ndege kwanini mnafikiria Tanzania tutaweza?

..biashara ya shirika la ndege ni biashara kichaa, na pasua kichwa, ndio maana SAA, Rwanda Air, Kenya Airways, ...wanakula hasara mwaka hadi mwaka.
Hawa SAA nao imekufa pia, kwa kuchangiwa na kuingiliwa na wanasiasa wa ANC, kutaka kuendesha shirika kwa kulazimisha kuteua menejimenti na uongozi wa shirika badala kuweka watu wenye ujuzi wa biashara za ndege......na Tz wajifunze kuhusu haya ya SAA badala ya kuweka siasa katika kila kitu na mwisho wake ni kuendelea na hasara kila uchwao.....
 
Mbona ATCL iko vzr tu,
Nadhani idadi ya ndege ndo kikwazo kwao, ila service zao ziko vzr kwa ss,
The only problem ni lile la kuchekewesha safari
Serikali wamalizane na issue za ukamatwaji wa ndege. ATCL akigusa Joburg ndege hairudi
 
Hawa SAA nao imekufa pia, kwa kuchangiwa na kuingiliwa na wanasiasa wa ANC, kutaka kuendesha shirika kwa kulazimisha kuteua menejimenti na uongozi wa shirika badala kuweka watu wenye ujuzi wa biashara za ndege......na Tz wajifunze kuhusu haya ya SAA badala ya kuweka siasa katika kila kitu na mwisho wake ni kuendelea na hasara kila uchwao.....

..biashara yenyewe sio nzuri na ni ngumu sana.

..ni biashara inayozifaa nchi / serikali zenye fedha za kuchezea kama Qatar, UAE, na wengine wa aina hiyo.
 
Air Tanzania changamkieni Soko la Afrika Kusini (Johannesburg na Cape Town) abiria Ni wa kuchota. Maana SAA imesitisha safari za kimataifa hivyo ni fursa kwa ATCL kwenda huko kama majirani zetu Kenya Airways, Ethiopian airlines na Rwandair.

View attachment 2246886View attachment 2246899
Kuna shirika la South Africa linaitwa Airlink ndio linafanya route za Dar-South walianza soon baada ya SA kuacha kuja
 
Hawaji kila siku. Halafu timing zao mbovu usiku kwa usiku
Kuja kunategemea na idadi ya abiria na kumbuka bado wanagombania abiria na mashirika mengine (Kenya Airways,Ethiopian Airways),huwezi kufanya frequent route while umeanza operation hata mwaka hujafikisha.Kuja usiku sio shida Ethiopian Airways,Qatar Airways,KLM,Egypt Air & Turkish Air wote hawa wana flight za usiku
 
Air Tanzania changamkieni Soko la Afrika Kusini (Johannesburg na Cape Town) abiria Ni wa kuchota. Maana SAA imesitisha safari za kimataifa hivyo ni fursa kwa ATCL kwenda huko kama majirani zetu Kenya Airways, Ethiopian airlines na Rwandair.

View attachment 2246886View attachment 2246899
Yule mkulima anaidai Tanzania ataziteka tena safari hii ndo atazibeba kabisa
 
Internal routes zimewashida ku capitalize sembuse hizo za kimataifa ATCL hawawezi biashara ya ushindani,.......bora fast jet irudi tu angalau ilikua na ushindani mzuri
Ni shirika la kishamba sana.
Kuna kipindi wanaahirisha safari bila taarifa yoyote.
Wataishia kula hasara tu kwa tabia zao za kimasai wa porini
 
Serikali wamalizane na issue za ukamatwaji wa ndege. ATCL akigusa Joburg ndege hairudi
Its true,
Ila safari ya Johannesburg, Guangzhou, Brussels, na London ndio zitaaamsha zaidi biashara za regional I mean biashara za burundi, comoro, uganda, zambia, na congo zitachangamka sana kama hizo route zitakuwepo.
Otherwise atapiga marktime kwenye biashara ya regional atabaki na ndani tu ya TZ
 
Naunga mkono hoja, tena it's about time ATC wa claim back our landing rights kutua London zilizokuwa zinashikiliwa na ATC, serikali ilipoingia ubia wa ATC na SAA kuanzisha Alliance Air, landing rights zetu za kutua London zilikabidhiwa kwa Alliance Air dege hilo likawa linatua London. Alliance Ilipokufa ilibidi tugawane fito, lakini kutokana na operating kwa hasara, SAA walitaifisha kila kitu including our landing rights za London.
P
Paschal landing rights ni tunda la Bilateral Air Services Agreement (BASA). Kwa masna hiyo siyo mali ya airline bali nchi. Kama BASA ipo ATCL aombe tu kufanya safari London kwa mamlaka za huko. Landing rights zinakufa naturally ikaacha kuitumia.Kama Landing rights za Alliance zilipitia BASA ya Tanzania, then SAA hawezi kuzichukua maana sio designated airline katika BASA ya TZ/UK.
 
Back
Top Bottom