Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahujumiwa sana. Mara kadhaa nimeambiwa imejaa kumbe wanatengeneza mazingira ya kupiga cha juu.ATC Hata route za ndani hapa imegeuka kuwa janga kila muda ndege wanasema zimejaa ukupanda ndege unashangaa iko na seat kibao ziko wazi.....
bei zao pia balaa mwanza one way 540000 Ni aghali sana...
Hstuna kawaida hiyo!Air Tanzania changamkieni Soko la Afrika Kusini (Johannesburg na Cape Town) abiria Ni wa kuchota. Maana SAA imesitisha safari za kimataifa hivyo ni fursa kwa ATCL kwenda huko kama majirani zetu Kenya Airways, Ethiopian airlines na Rwandair.
View attachment 2246886View attachment 2246899
Ndio. Usafiri wa anga ulorahishwa sana zama za fastjet. Ninaamini watarudi tenaMbona fast jet alipewa hizo domestic flight na ilizimudu viziru, lijama limoja likajitokeza alikajifanya lizalendo likuua shirka zima la fast jet kwa figisifigisu na wivu wakati ili boost sana internal trade kwa kulahisisha usafiri wa ndani
Book onlineInahujumiwa sana. Mara kadhaa nimeambiwa imejaa kumbe wanatengeneza mazingira ya kupiga cha juu.
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Kama una fahamu aeronautical knowledge kidogo huwezi kuwalaumu kwenye hili.ATC Hata route za ndani hapa imegeuka kuwa janga kila muda ndege wanasema zimejaa ukupanda ndege unashangaa iko na seat kibao ziko wazi.....
bei zao pia balaa mwanza one way 540000 Ni aghali sana...
Point Mkuu. Sikuwahi kujua hiliKama una fahamu aeronautical knowledge kidogo huwezi kuwalaumu kwenye hili.
Kuna somo linaitwa 'Mass and Balance Control'. Kupitia hili somo rubani na flight dispatchers wanaweza kubalance load yao kama mafuta, mizigo na abiria ili ndege ipate maximum take off weight kwenye kuondoka, na kwenye kutua ipate maximum required landing weight.
Kwa mfano, ATC anaenda songea na hamna huduma ya mafuta songea airport. So ataamua kubeba mafuta mengi, abiria kidogo na mizigo ili apate uzito utakaomuwezesha kutua songea lakini hapo hapo awe na mafuta ya kumuwezesha kurudi dar.
ATC Hata route za ndani hapa imegeuka kuwa janga kila muda ndege wanasema zimejaa ukupanda ndege unashangaa iko na seat kibao ziko wazi.....
bei zao pia balaa mwanza one way 540000 Ni aghali sana...
HahahahaKasome huko kuna jamaa kakujibu kitaalamu sijui ulijua ndege ni basi za champion kwamba hata mbele kwa dere utakaa, kajifunze huko
Fursa hii tayari. Ubalozi wetu huko wekeni mazingira vizuri. Tupige pesa.SA kimewaka tayari Comair (Kulula.com+BA) chali. Njia nyeupe kwa ATC kuomba fifth freedom rights...tutue OR Tambo then CPT kisha Dar...from Dar tuongeze Dubai, Beijing, New York,JFK na London, Heathrow.
Wana madeni chungu mzima hukoAir Tanzania changamkieni Soko la Afrika Kusini (Johannesburg na Cape Town) abiria Ni wa kuchota. Maana SAA imesitisha safari za kimataifa hivyo ni fursa kwa ATCL kwenda huko kama majirani zetu Kenya Airways, Ethiopian airlines na Rwandair.
View attachment 2246886View attachment 2246899
ATC wakitia mguu SA ndege imekwapuliwa! Hawathubutu!Wana madeni chungu mzima huko
Mbona wengine hatuoni hili? Kuna jibu limetooewa kuhusu mafuta lakini kuna urefu wa viwanja pia kama Mpanda, Tabora,Bukoba na Arusha. Huwezi kujaza. Niliambiwa pia issue ya kukata tiketi kisha husafiri yaani no show naambiwa zaidi ni watu ww serikali, maana hawana hasara na hiloATC Hata route za ndani hapa imegeuka kuwa janga kila muda ndege wanasema zimejaa ukupanda ndege unashangaa iko na seat kibao ziko wazi.....
bei zao pia balaa mwanza one way 540000 Ni aghali sana...