Air Tanzania yapigwa Marufuku kufanya safari zake Katika nchi 28 za Umoja wa Ulaya kwasababu za Kiusalama

Majitu mapumbavu kama wewe ndiyo yanasimamia uchaguzi wa serikali za mitaa, hivyo inataka hata Ulaya wachakachue. Ndege zingekuwa zinarushwa hovyo hovyo kama unavyotaka unadhani kungekuwa na usalama?
Wewe mbw wa mabeberu endelea kuosha mav ya hao waume zako mabeberu. Shithole mkubwa.
 
Majitu mapumbavu kama wewe ndiyo yanasimamia uchaguzi wa serikali za mitaa, hivyo inataka hata Ulaya wachakachue. Ndege zingekuwa zinarushwa hovyo hovyo kama unavyotaka unadhani kungekuwa na usalama?
Hii nchi ina wajinga wengi halafu wanahisi labda tumefanikiwa sana kiasi kwamba tunaonewa wivu.
Sisi kwa kweli kuendesha mashirika tunashindwa. Nadhani wenzetu ndiyo maana huwa wanaajri watu wenye uzoefu. Mfano Emirates president in Tim Clark, huku uwanja wa ndege wa dubai CEO ni Paul Griffiths.
Sasa njoo kwetu unasikia mtu kapewa aendeshe SGR mara ghafla ashawaza kuifunga engine za diesel.
 
Wahuni hawa,wanaogopa kisiwatokee kilichofanywa na Emirates,Qatar air na Ethiopian airlines kumiliki soko na ndege zao kuonekana hazina mpango au kudoda kwenye biashara....
Kwa udogo wa ubongo wako ulitakiwa kuhurumiwa lakini wengi watakucheka. Air Tanzania inaweza kuwa tishio kwa nani? Hii ambayo nina uhakika miaka 10 ijayo haitakuwepo au itakuwa imekabidhiwa kwa mwarabu?
 
Akili za kitumwa ndio hizi. Slavery mentality.
 
Kagame hana ndege yule shirika ni la hao mabeberu hata uwanja wa ndege unaendeshwa na mabeberu. Uwanja wake unatumika kusafirisha madini yanayoibiwa huko DRC na Kongo. Siku DRC ikithibiti madini yake ndio kifo cha Rwanda mkuu.
Hii ya Kagame ni mfano tu ila kutua Heathrow sio utani
Sisi hata kuwa na ubia na wengine hatuwezi
Angalia Kenya Airways hata ticket zao ziko juu kutoka London to Nairobi
Kuna Ethiopian pia inatua Heathrow pia na hawajaanza leo napanda sana kipitia Addis to Dar
Hata sisi tunaweza ila ujanja ujanja mwingi tu
 
Kwa udogo wa ubongo wako ulitakiwa kuhurumiwa lakini wengi watakucheka. Air Tanzania inaweza kuwa tishio kwa nani? Hii ambayo nina uhakika miaka 10 ijayo haitakuwepo au itakuwa imekabidhiwa kwa mwarabu?
wambie mkuu... hata ndege 25 hazifiki wakati kuna mashirika kama emirates wanaweka oda za ndege 200. Watanzania ni watu ambao wanahisi tumefanikiwa sana, na ndiyo maana walikuwa wanaambiwa ubungo flyover imeifanya dar kama ulaya wanaamini kabisa.
Wanahisi labda ndege zinarushwa kama tiara.
 
Mimi naona ni sahihi,tufanye marekebisho tufikie vigezo badala ya kusubiria mpaka litokee tatizo.
 
Akili za kitumwa ndio hizi. Slavery mentality.
ni ujinga kupingana na ukweli kwa sababu kupinga hakufanya uongo kuwa kweli. Ndiyo maana kuna mashirika ya kusimamia usafiri wa anga. Timiza masharti iweze kuingia kama huwezi kaa huko.
 
Huna hoja, huna akili huna exposure na pia huna elimu. Hili linakufanya unadhani ''mabeberu'' ndiyo adui yako
Huna akili nimeishi UK na Republic of Ireland zaidi ya miaka 10 nimefanyakazi na mabeberu nikiwa Admistrator wao. Nina exposure zaidi yako wewe unayefanyakazi kwenye kambi za wazee wakizungu. Endelea kuosha mav ya vizee vya kizungu. Shithole.
 
Huu utawala kila kitu kinaenda Mlama
Stiglers
Sgr
Atcl
Uchaguzi
Wasiojulikana

Ni kama hakuna Mkono wa Bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…