Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #41
UnanisimangaAmepinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UnanisimangaAmepinda
PoaCheki juu hapo nimem quote Watu8
Bonge la mchongo, matajiri wananunua sana nyumba saa hizi kwa ajili ya Air BnBAirbnb inanipa pesa sana kwa wasio jua maeneo ya kufikia hapa mkoani tena wageni kutoka nje
Anatumia muda wake vizuri dunianidaa mzee buji wewe ni wale wazee wa mjini wakulungwa haswa wazee wa mbezi beach mnakula vitoto vibichi
Na meno yamesha ng'oka hivyo vibinti vibichi navitafuna kwa fizi zipi?daa mzee buji wewe ni wale wazee wa mjini wakulungwa haswa wazee wa mbezi beach mnakula vitoto vibichi
Kama unaweza kulipia Guest House 70,000 to 80,000 huwezi shindwa kulipia unyama kama huu ndani ya City centre ukala maisha mazuri na mtoto.Wataalam wa minyanduo, wale wanaopenda kunyandua spring chicken, tule tutoto tubichiiii, wale wanaochapa wake wa watu, na wale wote wanaoona usalama wao ni mdogo wakati wa majamboz, Airbnb ndio mpango mzima.
Ingia zako tu mtandaoni, tafuta nyumba ya uwezo wako nenda kale maisha.
Aisee bujii nilienda msibani vuta raha ni rafki yangu tokea 2003 tukiwa moshi...alikua na carwash na mm nikaanzisha kijiwe cha watoto wa mjini hapo moshi na kipo mpaka leo..juzi nilienda kumzika pale makaburi ya kinondoni...na hata diamond alikuwepoThis is festival season. Huu ni muda wa kujilisha fungu la kumi la vyote tulivyovuna mwaka mzima. Buriani rafiki yangu Vuta Raha.
View attachment 2448320
Unyama sana hapa nataka nikae siku kumi tu nile pisi tuKama unaweza kulipia Guest House 70,000 to 80,000 huwezi shindwa kulipia unyama kama huu ndani ya City centre ukala maisha mazuri na mtoto. View attachment 2448630
Naona na Kuna moja linatangazwa kwa spid ya 5g, 110,000 kwa siku niwewe na mazagaa Yako tu!Kuna chombo ambalo nalikubali sana, ni jengo la maofisi/ biashara ila juu kuna apartments. Ngumu sana kushtukiwa. Makumbusho hapo jirani kabisa na kituo cha daladala. $15 tu, chumba, jiko, sebule, WiFi, yaani makila kitu unapata.
Huwa naingia pale sokoni Makumbusho, nanunua mazaga, tukiingia hatutoki hadi kesho saa nne muda wa checking out
Kuna chombo ambalo nalikubali sana, ni jengo la maofisi/ biashara ila juu kuna apartments. Ngumu sana kushtukiwa. Makumbusho hapo jirani kabisa na kituo cha daladala. $15 tu, chumba, jiko, sebule, WiFi, yaani makila kitu unapata.
Huwa naingia pale sokoni Makumbusho, nanunua mazaga, tukiingia hatutoki hadi kesho saa nne muda wa checking out
mambo ya buji mnyama dume hayo!Hebu mwaga wino babu.... inaonekana kuna muhusika kakutwq na jambo pande hizi
Lazima dunia iwe ni Paradiso ndogo, shauri yao wanaoanza kuionja Jehanum hapahapa Duniani.Anatumia muda wake vizuri duniani
YesNishaujua huu mjengo, basement una parking na mbele una ofisi ya furniture...
Duh....kuna mtu aliingia akachagua location ya kwenye boat ili alie mbususu kwenye maji aliona samaki wanafaidi sana kilichotokea wakanusurika kufanywa keki na papa...yupo hapa.
Hapa inabidi uchukue mtoto wiki nzimaKama unaweza kulipia Guest House 70,000 to 80,000 huwezi shindwa kulipia unyama kama huu ndani ya City centre ukala maisha mazuri na mtoto. View attachment 2448630