Mugabonihela
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 306
- 1,784
Aisee nataka kitu kama hiki.Kuna chombo ambalo nalikubali sana, ni jengo la maofisi/ biashara ila juu kuna apartments. Ngumu sana kushtkiwa. Makumbusho hapo jirani kabisa na kituo cha daladala. $15 tu, chumba, jiko, sebule, WiFi, yaani makila kitu unapata.
Huwa naingia pale sokoni Makumbusho, nanunua mazaga, tukiingia hatutoki hadi kesho saa nne muda wa checking out
Bro hii Air bnb inapatikana katika wovuti gani make mi ndo mambo zangu.Duh....
www.Airbnb.comBro hii Air bnb inapatikana katika wovuti gani make mi ndo mambo zangu.
Ingia www.airbnb.com chagua nchi , kisha jiji, na nyumba unayotaka kwenda kufanyia zinaa. Chagua nyumba ya budget yakoAisee nataka kitu kama hiki.
Tatizo husemi procedures za kufanikisha , wengine ndo tumesikia leo hiyo Airbnb
Unamfaham huyu mzee kumbe,This is festival season. Huu ni muda wa kujilisha fungu la kumi la vyote tulivyovuna mwaka mzima. Buriani rafiki yangu Vuta Raha.
View attachment 2448320
Kifo cha Vuta Raha kimenisikitisha sana.Unamfaham huyu mzee kumbe,
Aisee,R.I.P mzee wetu.
Halafu nyumba za Airbnb kwa hapa Daslamu karibu 90% owner's wake ni wanawake.Ingia www.airbnb.com chagua nchi , kisha jiji, na nyumba unayotaka kwenda kufanyia zinaa. Chagua nyumba ya budget yako
Vidada vidogo dogo ndio vimechangamkia mchongoHalafu nyumba za Airbnb kwa hapa Daslamu karibu 90% owner's wake ni wanawake.
Hii kitu nimeikubali bro shukran sikuwahi kuijuwa na nipo townVidada vidogo dogo ndio vimechangamkia mchongo
Wazee wa mambinuWengine tunafanya hv,unakuwa na sehemu za kufugia wanyama kama nguruwe,ng'ombe au mbuzi,kuku wanakuwa wapo nje ya mji huko,unajenga kanyumba kenye vyumba vitatu yaan stoo,chumba kwa ajili ya anae watunza wanyama na kimoja cha kwako cha kulia vitoto vya shule au wake za watu au ndugu zako wa mbali,chumba kinakuwa full mpaka jiko ndani afu kizuri,mkiingia humo hakuna kutoka
Ishi na watu vizuri ukitaka kuufaidi mji na mambo yake mazuriHii kitu nimeikubali bro shukran sikuwahi kuijuwa na nipo town
Hiyo wife anakuwa haijuwi ama.Wengine tunafanya hv,unakuwa na sehemu za kufugia wanyama kama nguruwe,ng'ombe au mbuzi,kuku wanakuwa wapo nje ya mji huko,unajenga kanyumba kenye vyumba vitatu yaan stoo,chumba kwa ajili ya anae watunza wanyama na kimoja cha kwako cha kulia vitoto vya shule au wake za watu au ndugu zako wa mbali,chumba kinakuwa full mpaka jiko ndani afu kizuri,mkiingia humo hakuna kutoka
Hata kama anapajua,lakin hatakiw kujua kama kuna chumba cha maangamizi hapoHiyo wife anakuwa haijuwi ama.
Hata mimi nilikuwepo. Hawa jamaa tumeishi nao sana Upanga miaka ileAisee bujii nilienda msibani vuta raha ni rafki yangu tokea 2003 tukiwa moshi...alikua na carwash na mm nikaanzisha kijiwe cha watoto wa mjini hapo moshi na kipo mpaka leo..juzi nilienda kumzika pale makaburi ya kinondoni...na hata diamond alikuwepo
Ukimkuta wife wa hovyo naye maangamizi yake anakuja kufanyia hapohapoHiyo wife anakuwa haijuwi ama.
Halafu nyumba za Airbnb kwa hapa Daslamu karibu 90% owner's wake ni wanawake.
Kwa hiyo umeamuaje sasa?Sawa....