Anaweza asikuteke ila wewe ndio ukapata kesi ya kuteka mtoto, haya yamewatokea watu wengi. Wanafunzi ni hatari sana. Unaweza kupakia mtoto aliyetoroka kwao na shule hakufika halaf ukaonekana naye......mpaka ukweli ujulikane ushateseka sanamtoto wa la tatu akuteke
Wamiliki Baiskeli Tena Phoenix tujuane hapa
Hivi ile impreza uliitoaga bandarini kweli?[emoji3][emoji3]
Niliwai kupakiza watu wanne kwenye gari, baadae nafika home naona siti imechorwa chorwa na wamechukua triangle na matunda niliyoyanunua. Siku nyingine nimepakiza wanafunzi njian mmoja kapandisha shetani Kisha kafungua mlango na kujitupa nnje na kuumia mikono na miguu, niliwekwa ndani siku 2 maana wananchi walijua niliwateka na wazazi hawakuelewa kabisa mwisho baada ya kutoka ugomvi ukahamia kwa mke maana alijua yule dentist wa fom four Ni mchepuko. Tangu siku hiyo kupakia mtu Kwa gari labda niwe namjua au mtu mzima/mzee na matrafiki, wengine wanisamehe bure
Nilipambana mkuu niliitoa[emoji38][emoji38]Hivi ile impreza uliitoaga bandarini kweli?
Alafuu ukimilikii unajisemeaa siwez kufanyaa upuuzii kama huo[emoji23][emoji23][emoji23]My wish nikimiliki gari ni lazima nimmegee mtu humo kwanza. Baharini, kichochoroni, vichakani tayari bado kwenye gari.
Nakupinga mzee. Wengi ni roho mbaya tu. Believe me!
Mtoto wa primary darasa la tatu umpakize abadilike kuwa jini??? Waafrika Waafrika
Hongera kwa kupona covid 19 mkuuHivi humu jf kila mtu anamiliki usafiri wake, ispokua mimi tu...[emoji848][emoji848]
We si una ile chura niparamie[emoji28][emoji28][emoji1787]Hivi humu jf kila mtu anamiliki usafiri wake, ispokua mimi tu...[emoji848][emoji848]
We muache aendeleze shobo zake kwa raiaHuo ni mfano sio lazima iwe hivyo,hujawahi kusikia watu wametekwa magari kwa vitu kama hivyo...?
Kudadeki na lockup juu!Niliwai kupakiza watu wanne kwenye gari, baadae nafika home naona siti imechorwa chorwa na wamechukua triangle na matunda niliyoyanunua. Siku nyingine nimepakiza wanafunzi njian mmoja kapandisha shetani Kisha kafungua mlango na kujitupa nnje na kuumia mikono na miguu, niliwekwa ndani siku 2 maana wananchi walijua niliwateka na wazazi hawakuelewa kabisa mwisho baada ya kutoka ugomvi ukahamia kwa mke maana alijua yule dentist wa fom four Ni mchepuko. Tangu siku hiyo kupakia mtu Kwa gari labda niwe namjua au mtu mzima/mzee na matrafiki, wengine wanisamehe bure
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]dogo una wenge sanaSipiti tena, nilikuja mara moja tu. Halafu kayimukaa amenitisha hapo juu aliposema alifungwa jela kisa kutoa lift.
Sitoi tena lift hadi kufa kwangu