Aisee, kumiliki gari raha sana. Leo nimewapa lift watu 6 kwenye babywoka yangu!


hao wanafunzi walishindwa kukutetea ?
 
My wish nikimiliki gari ni lazima nimmegee mtu humo kwanza. Baharini, kichochoroni, vichakani tayari bado kwenye gari.
Alafuu ukimilikii unajisemeaa siwez kufanyaa upuuzii kama huo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakupinga mzee. Wengi ni roho mbaya tu. Believe me!
Mtoto wa primary darasa la tatu umpakize abadilike kuwa jini??? Waafrika Waafrika

Imani za ajabu sana hizi, eti majini 😁
 
Kudadeki na lockup juu!

Bora uwe na roho mubaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…