Aisee, kumiliki gari raha sana. Leo nimewapa lift watu 6 kwenye babywoka yangu!

Haahaaa chizi we

Nimewaza masizi hapa mbavu sina[emoji15][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji1787]

Sawa mkuu, ngoja tuendeleze chai humu

By the way, pumbavu mwenyewe, jinga kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]

Haaahaaahaa

Amiliki wapi huyo, kaja kujaza server[emoji28][emoji28][emoji1787]

Matako Masizi!
 
Haaahaaa

Wenye magari ya kuazima huwa mna speed ya kufa mtu, na maneno mengi hayakauki mdomoni[emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahahah sasa si unajua ni fursa adimu, mara paap umepigwa buyu mzee show yote imeisha unaanza kugombana na mwenye gari sasa
 
Umesema kweli mkuu[emoji122]
 
Gari ni sawa na ile sifa ya "Usomi" regardless umeishia level gani as long as umekanyaga chuo kikuu! Wewe ni msomi 🀣🀣🀣

Unapokea heshima nyingi sana ukiwa na gari. Tofauti na ambaye hana vijana wengi huwa wanaomba namba zangu tu.
Mkuu ina maama jamaa amekuja kukusuta kuhusu baby walkers kuishiwa nguvu au niache kuwachonganisha πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi kuna binti aligongwa na gari akiwa amebebwa na pikpiki.
Nilisimama kumahuaha binti flani, ghafla ist ilingia kwa pupa road akamvaa bodaboda akiwa amempakia binti.
Waliburuzwa vibaya
Nililazimika lumbeba binti kwani dreva boda alikimbia.
Nikampelela polisi kupewa pf3.
Then nikamuwahisha hospital kwani alikuwa amezimia.
Hosp. Nililazimika kulioia ndipo apate tiba.
Nilijikuta nabeba dhamana yake yaani kila kitu ikawa mimi.
Hadi ndg wapate taarifa ilikuwa ni usiku wa manane.
 
Hahahahah sasa si unajua ni fursa adimu, mara paap umepigwa buyu mzee show yote imeisha unaanza kugombana na mwenye gari sasa
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji28]

Dudu ya yuyuuu linasinyaa ghafla usiombe yakukute[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji1787]
 
Afadhali yako we wema wako haukukuponza
 
Alivyopona ukalipwa fadhila pia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mbona humalizii story!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…