Aisee, wanawake mtatunyoosha, hii clip imenifikirisha sana, naenda kupima DNA watoto wangu wote

Mwanamke akifungua madai kuwe Mume sio baba Wa mtoto anasikilizwa lakini Mwanaume inakua ishu ngumu sana mana ikifanyika hivyo ndo nyingi zitakua na migogoro.
Mkuu sijakuelewa vizuri sababu kwa asili mwanamke hana sababu ya DNA Test kwa mtoto wake hadi itokee kuwe na wasi wasi kuwa huwenda alibadilishiwa au kupewa mtoto asiye wake.

Kama mazingira yapo hivi hii ya kwako ya kuwa kwa mwanaume inakuwa ngumu umeitoa wapi Mkuu?. Kumbuka hakuna upendeleo au maswla ya hisia za kuoneana huruma kwenye hili swala la DNA Test.

Ni sharti ukweli ubainike na kila mtu awajibike kwa matendo yake. Na mara nyingi ndoa nyingi hadi zinafikia hapo huwa kuna migogoro tayari
 
Watu wengi wanaishi kwa stori za vijiweni, wanadhani haya mambo yanaenda kwa hewala hewala kumbe ni mambo serious sana na lazima ukweli uwekwe wazi
 
System irudi hii, na iendelee hadi cha mwisho! 😁
 
Naona Duniani kote Iko hivyo.

Hawawezi kukupa majibu ya kweli

Tumia njia za asili kutambua hao watoto kama ni wako.

DNA za maabara labda ucheze na afisa husika.

Otherwise watakuambua ni wako tu utake usitake hata kama sio wako.
Huwa inawezekana kucheza na afisa husika?[emoji15][emoji15] mbona wanajibrag sana wako vizuri
 
Mkuu naomba nisaidie kwa Hilo tafadhal
 
Juzi kati hapa nimekuta daftari la mtoto limefutwa jina langu limeandikwa la mwamba mwengine hayo yametokea baada ya ziara ya ghafla kwenda kumcheki dogo namuuliza mama mtu ananipa maneno yasioeleweka kichwani mwangu ... Hawa wanawake tuwaangalien tu aisee
 
achana na hayo mambo sisi baba wa kiafrica mostly ni social father's not biological father's , tunaamini watoto ni wetu , Tena mshukuru mke wako anaweza kukuchanganyia ka mbegu ka urais wakati kwenye ukoo wenu hakuna hata mwenyekiti , unashangaa dogo Rais na baba ni wewe and vice versa is true .
 
Haya mambo haya yanaumiza sana, usikie tu yametokea kwa mtu yasikutokee wewe!
Ndugu yangu wa damu alikutana na hii kadhia alilea mimba, mtoto kasomesha mpaka binti kakua mwisho wa siku Mama mtoto anamwambia binti kuwa huyu sio baba yako, imagine ndugu yangu kalea mtoto kwa miaka 23.

Mungu amlaze palipo pema mwanamke yule japo alitufanyia ubaya.
 
Clip ipowapi mkuu
 
Siku ukipatiwa majibu yako...
Nipe order nikuandalie Ambulance mapema, in case ukapata shida basi first aid upate mapema
 
DNA tests zikichukuliwa serious ndoa nyingi lazima Zitavunjika.
 

Huyo wakili ikitokea mama anajua ukweli na kifwedha yuko vizuri hawazi mtangazia fungu flan kukwepesha ukweli make tayari mke atakuwa keshamjua wakili ndo anasimamia hilo jambo?
 

Sema wanaume huwa hawana ubaguzi kama wanawake
 
Huyo wakili ikitokea mama anajua ukweli na kifwedha yuko vizuri hawazi mtangazia fungu flan kukwepesha ukweli make tayari mke atakuwa keshamjua wakili ndo anasimamia hilo jambo?
Sio jambo jepesi hivyo Mkuu, katika kazi mtihani na risk kwa wakili moja wapo ni hizi za DNA sheria zipo serious sana, jambo dogo leseni inaweza futwa na ndani ukaenda.
 
Dna yenyewe mpaka south ndo zipo fresh huku bongo eti hawataki kuvunja ndoa za watu 🤣🤣🤣🤣 ama kweli ngoja nikue tu yaani 👿
Serikali yenyewe inasema haitaki watoto wa mitaani.So unapima DNA ili iweje?Km mtoto si wako nani amlee.Acheni kupoteza muda na pesa bure,pambana upambanavyo mwisho wa siku serikali itakurudishia hilo toto hata km si lako as long as ulitomba bila kinga. Ndo maana wazee wa kichanga wana DNA zao za kimila ambazo mama km si mkweli anaweza kupoteza mwanae,na wazee walishaujua uongo wa serikali ktk hili kuwa inapunguza watoto wa mitaani.Mama akikutunuku mtoto wewe beba tu iwe damu yako isiwe damu yako beba. Tofauti na hapo utapoteza pesa na muda bure plus aibu kwako na fedheha aidha itakayotokea kwa mama na ndugu zake na kwa mtoto kuwa umewadhalilisha hasa mke kuonekana Malaya.
Mambo ya kitanda hakizai haramu ndo hii.Na ukishahisi una mtoto unaemtilia shaka huyo ndo umpe hata vipawambele vyote ,wanakuwaga wazuri sana kimaisha hapa dawa ni kufungua moyo na kutowabagua watoto kwani mwisho wa siku ajuaye watoto halali na haramu yako ni mke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…