Aisee, wanawake mtatunyoosha, hii clip imenifikirisha sana, naenda kupima DNA watoto wangu wote

Aisee, wanawake mtatunyoosha, hii clip imenifikirisha sana, naenda kupima DNA watoto wangu wote

Mwanamke akifungua madai kuwe Mume sio baba Wa mtoto anasikilizwa lakini Mwanaume inakua ishu ngumu sana mana ikifanyika hivyo ndo nyingi zitakua na migogoro.
Mkuu sijakuelewa vizuri sababu kwa asili mwanamke hana sababu ya DNA Test kwa mtoto wake hadi itokee kuwe na wasi wasi kuwa huwenda alibadilishiwa au kupewa mtoto asiye wake.

Kama mazingira yapo hivi hii ya kwako ya kuwa kwa mwanaume inakuwa ngumu umeitoa wapi Mkuu?. Kumbuka hakuna upendeleo au maswla ya hisia za kuoneana huruma kwenye hili swala la DNA Test.

Ni sharti ukweli ubainike na kila mtu awajibike kwa matendo yake. Na mara nyingi ndoa nyingi hadi zinafikia hapo huwa kuna migogoro tayari
 
Hivi haya mawazo huwa mnayatoa wapi? Unajua sheria ya mtoto inasemaje? Mtoto ana haki ya kumjua biological parents wake! Tatizo mnapenda kuzungumzia vitu hamna experience navyo. Mimi Watoto wamepimwa na kuna Niliyepima jibu akawa si wangu.

Kwanza mtu anayepima ni tofauti na mtoa majibu.
Watu wengi wanaishi kwa stori za vijiweni, wanadhani haya mambo yanaenda kwa hewala hewala kumbe ni mambo serious sana na lazima ukweli uwekwe wazi
 
Ulichokiandika kama joke kiukweli kabila la wahaya wamekuwa wakifanya hivyo sema muingiliano na mabadiriko ya tabia nchi vimeharib.
Ili kujihakikishia firstborn ni wa ukoo hakika.
Mwali anakaa ndan bila kutoka nje mwaka mzima(kwalika).
Kutoka kwake chumban ni uani maalum wake tu (RUHUBA) ili aone jua au kufua na huduma ya choo.
Hafanyi kazi yoyote ya ndan zaid ya kukaa bila chupi kwa shughuli iliyomleta hadi mimba ya first born ya ukweli ipatikane, labda usafi binafs tu.
sasa Kuanzia mtoto wa pili haijarishi sana ni mbegu ya nani, ndo hayo ya kitanda hakizai haramu.
Nadhan kuokoteza wanyamahanga ndo leo tunajadiri mambo ya DNA.
System irudi hii, na iendelee hadi cha mwisho! 😁
 
Naona Duniani kote Iko hivyo.

Hawawezi kukupa majibu ya kweli

Tumia njia za asili kutambua hao watoto kama ni wako.

DNA za maabara labda ucheze na afisa husika.

Otherwise watakuambua ni wako tu utake usitake hata kama sio wako.
Huwa inawezekana kucheza na afisa husika?[emoji15][emoji15] mbona wanajibrag sana wako vizuri
 
Hivi haya mawazo huwa mnayatoa wapi? Unajua sheria ya mtoto inasemaje? Mtoto ana haki ya kumjua biological parents wake! Tatizo mnapenda kuzungumzia vitu hamna experience navyo. Mimi Watoto wamepimwa na kuna Niliyepima jibu akawa si wangu.

Kwanza mtu anayepima ni tofauti na mtoa majibu.
Mkuu naomba nisaidie kwa Hilo tafadhal
 
Juzi kati hapa nimekuta daftari la mtoto limefutwa jina langu limeandikwa la mwamba mwengine hayo yametokea baada ya ziara ya ghafla kwenda kumcheki dogo namuuliza mama mtu ananipa maneno yasioeleweka kichwani mwangu ... Hawa wanawake tuwaangalien tu aisee
 
Nisiseme mengi, kuna clip inazagaa mwanamke mmoja anajisifia kalea mtoto kwa kutumia baba watatu na hawajuani. Yaan anamaanisha mababa watatu wamelea na kuhudumia mtoto kila mmoja akijua huyo mtoto ni wake, mchezo mzima kacheza huyo mwanamke.

Najua hapo alikua anaigiza tu ila hio clip imenifikirisha sana sababu inaonekana inaakisi uhalisia. Hapa nikipata likizo ntafanya juu chini nipime DNA watoto wangu wote, wataalam toeni muongozo namna ya kupima DNA Tafadhari
achana na hayo mambo sisi baba wa kiafrica mostly ni social father's not biological father's , tunaamini watoto ni wetu , Tena mshukuru mke wako anaweza kukuchanganyia ka mbegu ka urais wakati kwenye ukoo wenu hakuna hata mwenyekiti , unashangaa dogo Rais na baba ni wewe and vice versa is true .
 
Haya mambo haya yanaumiza sana, usikie tu yametokea kwa mtu yasikutokee wewe!
Ndugu yangu wa damu alikutana na hii kadhia alilea mimba, mtoto kasomesha mpaka binti kakua mwisho wa siku Mama mtoto anamwambia binti kuwa huyu sio baba yako, imagine ndugu yangu kalea mtoto kwa miaka 23.

Mungu amlaze palipo pema mwanamke yule japo alitufanyia ubaya.
 
Nisiseme mengi, kuna clip inazagaa mwanamke mmoja anajisifia kalea mtoto kwa kutumia baba watatu na hawajuani. Yaan anamaanisha mababa watatu wamelea na kuhudumia mtoto kila mmoja akijua huyo mtoto ni wake, mchezo mzima kacheza huyo mwanamke.

Najua hapo alikua anaigiza tu ila hio clip imenifikirisha sana sababu inaonekana inaakisi uhalisia. Hapa nikipata likizo ntafanya juu chini nipime DNA watoto wangu wote, wataalam toeni muongozo namna ya kupima DNA Tafadhari
Clip ipowapi mkuu
 
Siku ukipatiwa majibu yako...
Nipe order nikuandalie Ambulance mapema, in case ukapata shida basi first aid upate mapema
 
Screenshot_20230510-233754~2.png
 
DNA tests zikichukuliwa serious ndoa nyingi lazima Zitavunjika.
 
Utaratibu ni rahisi kabisa, tafuta wakili (unaweza nitafuta mimi pia) kisha mtaenda ofisi za mkemia kanda kama hamuishi Dar es salaam.

Kule kwa mkemia mtapewa semina fupijuu ya swala zima la DNA, kisha mtachukuliwa sampuli zitakazohifadhiwa na kwenda kupimwa.

Hii michakato inahusisha watu tofauti tofauti hapo kwa mkemia hivyo kuchakachua sio rahisi kiasi hicho. Majibu ya DNA atapewa Wakili na yeye wakili ndio atakayekuja kuwapatia ninyi majibu ila hatawapa muondoke nayo sababu yeye ndiye mwenye dhamana ya kuyahifadhi (sio mali yenu)

MUHIMU KUFAHAMU:
1. Hautaweza kupima na kupatiwa majibu bila ama amri ya Mahakama au Wakili, ukienda wewe binafsi hutofanikiwa

2. Majibu ya DNA Testatapatiwa wakili wenu na yeye ndiye atakayewasomea na kubaki nayo ili ayahifadhi

3. Malipo ya kwa mkemia ni 100,000/= kwa kila sampuli malipo ya wakili itategemea na wakili husika akizingatia heria ya malipo ya mawakili.

Kama kuna swali nitajibu kulingana na uzoefu na ufahamu wangu.

Huyo wakili ikitokea mama anajua ukweli na kifwedha yuko vizuri hawazi mtangazia fungu flan kukwepesha ukweli make tayari mke atakuwa keshamjua wakili ndo anasimamia hilo jambo?
 
Kwangu hapana aisee...

Priority inaanza kwa wa kwangu, hao wengine watapata kama wa kwangu damu damu akiridhika, na sio ubinafsi huo bali ndivyo mambo yalivyo. Yaan bao langu liteseke halafu nilee mtoto wa alionilia mke wangu? Huwezi lea mtoto wako wa damu sawa sawa na unaempa msaada.

Sema wanaume huwa hawana ubaguzi kama wanawake
 
Huyo wakili ikitokea mama anajua ukweli na kifwedha yuko vizuri hawazi mtangazia fungu flan kukwepesha ukweli make tayari mke atakuwa keshamjua wakili ndo anasimamia hilo jambo?
Sio jambo jepesi hivyo Mkuu, katika kazi mtihani na risk kwa wakili moja wapo ni hizi za DNA sheria zipo serious sana, jambo dogo leseni inaweza futwa na ndani ukaenda.
 
Dna yenyewe mpaka south ndo zipo fresh huku bongo eti hawataki kuvunja ndoa za watu 🤣🤣🤣🤣 ama kweli ngoja nikue tu yaani 👿
Serikali yenyewe inasema haitaki watoto wa mitaani.So unapima DNA ili iweje?Km mtoto si wako nani amlee.Acheni kupoteza muda na pesa bure,pambana upambanavyo mwisho wa siku serikali itakurudishia hilo toto hata km si lako as long as ulitomba bila kinga. Ndo maana wazee wa kichanga wana DNA zao za kimila ambazo mama km si mkweli anaweza kupoteza mwanae,na wazee walishaujua uongo wa serikali ktk hili kuwa inapunguza watoto wa mitaani.Mama akikutunuku mtoto wewe beba tu iwe damu yako isiwe damu yako beba. Tofauti na hapo utapoteza pesa na muda bure plus aibu kwako na fedheha aidha itakayotokea kwa mama na ndugu zake na kwa mtoto kuwa umewadhalilisha hasa mke kuonekana Malaya.
Mambo ya kitanda hakizai haramu ndo hii.Na ukishahisi una mtoto unaemtilia shaka huyo ndo umpe hata vipawambele vyote ,wanakuwaga wazuri sana kimaisha hapa dawa ni kufungua moyo na kutowabagua watoto kwani mwisho wa siku ajuaye watoto halali na haramu yako ni mke
 
Back
Top Bottom