Ajabu na kweli: Padri wa kanisa katoliki kaoa mke na anavuta sigara kali!

Jiandae na mashambulizi kutoka kwa wanafunzi na waumini wao.... ila ukweli mchungu, mapadre wanaishi maisha ya kidunia mnoooo.
Kwa hiyo na sisi wa kidunia tukigombana na wake zetu tukawe mapadri au?

PADRI akikosea mnasema akaoe na sisi tulioa tukikosea tukawe mapadri au ?

Kwani mapadri walishushwa toka mbinguni? au wamezaliwa kama wewe na mwanadamu na wamekulia kwenye mazingira kama yako
 
Padre ni mwanadamu kama wewe si malaika. Sidhani kama inapaswa kushangaza mtafute Mungu tuache kutafuta watu au makanisa. Maisha ya mtu muachie mwenyewe na Mungu wake.
 
Zambi za Padre zinamhusu Padre huyo kwa Mungu wake. Dhambi anayoichuma Padre haina tofauti na mtu mwenye ndoa yake anapo date na changu doa au kimada.

Achana na Kanisa Talatifu Katoliki la Mitume.
 
Sishangai...wana mambo........
 
Hadi Leo hii unawaamini hao RC? Hao ni matapeli kama wengine ila Wacha wajinga ndio waendelee kuliwa maana haiwezekani wote tukawa wajanja.
 
Ukristo ndio umeruhusu hata kanisani wanakunywa kabisa
 
Ungeelewa maana ya Upadri kwanza ndio mada husika, suala la ubinadam na blah blah zingine hazipo kwenye mafundisho ya Upadri,
Wametaka kuishi maisha ya utawa bila shuruti sasa tukiona wanakengeuka lazima tushtuke na kuhoji.
 
KWANI MAPADRE SIKU HIZI WANAISHI KWAO? UONGO MTUPU MAPADRE WANAISHIPAROKIANI AU KWENYE NYUMZA ZA MAPADRE JAPO WAPO WENYE WATOTO ILA HUWEZI KUWAKUTA ETI WANAISHI NAO PAROKIANI HUO NI UONGO WA MCHANA KWEUPEEEEEE
 
Mkuu mtiririko wako wote waweza kuwa sahihi, lakini hili la kuambiwa habari za mke wa padre kisha ukaishiwa nguvu na kuchutama "umebonyeza sana".
Jambo la maisha private ya mtu laweza kukuvunja nguvu kiasi hicho hadi uchutame?
Mavimada na watoto wa mapadre mitaani haujawahi kuona ama kusikia?
Basi pole.
 
Mpaka hapo wewe siyo mkatoliki. Unashauri waoe? Kuwa serious. Kwanini alikubali wito? Unajikanyaga. Eti wana matamanio. Alichagua utume. Hivyo kama anaishi maiaha hayo basi hana wito
Mbona silaa aliacha. Wako masista pia wameacha utawa wameolewa swma wengi huwa wanakuaga kama wamechanganyikiwa hivi.

Kuna huyo sista Regis alikua mrembo balaa na shepu lake. Kaolewaaa. Plus sista Leonidas. Just few to mention.
 
KWANI MAPADRE SIKU HIZI WANAISHI KWAO? UONGO MTUPU MAPADRE WANAISHIPAROKIANI AU KWENYE NYUMZA ZA MAPADRE JAPO WAPO WENYE WATOTO ILA HUWEZI KUWAKUTA ETI WANAISHI NAO PAROKIANI HUO NI UONGO WA MCHANA KWEUPEEEEEE
[emoji3581][emoji817] True !!
 
Mkuu kilichonivunja nguvu ni ukweli kuwa mapadre hawaruhusiwi kuoa lakini huyu hapa kaoa na wananchi wote wanafahamu kuwa ana mke lakini wamekaa kimya. Bahati mbaya sijawahi kuona mtoto wa padre wala kusikia tetesi kuwa mtoto fulani ni wa padre.

Kama kweli kuna mapdre wana watoto mtaani na wanajulikana, basi taasi ya kanisa katoliki imeingiliwa mno na mamluki. Ipo haja ya kufanya mageuzi makubwa ndani ya kanisa katoliki, hasa hili la kuwaruhusu mapdre kuoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…