Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
Hayo ni maono yako pia mkuu😉Halafu wengine waishi maisha ya kishetani au sio???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni maono yako pia mkuu😉Halafu wengine waishi maisha ya kishetani au sio???
Ukifa utakuja elewa kuwa hukuwa na Mwili tu mkuuMungu anaishije? Maana Mungu ni roho hana mwili.
Ana visa huyu 😂😂Itakuwa ni padre wa fesibuku 😂
Muongo muongoAna visa huyu 😂😂
We jibu swali kama lilivyoulizwa, kama hujui unakaa kimya.Kasome sheria ya ndoa kwanza kabla ya kuja hapa kuuliza maswali ya kitoto mkuu.
Kama uliambiwa utoe pesa ya mafuta ukatoka kwenye game . BasiNjoo basi haniwangu tafrani...😋
Sasa hapo kuna maajabu gani?! Au, wewe bado upo miaka, ya, 1990?!Ukistaajabu ya Musa hujaona ya Firauni. Hivi majuzi nilikuwa mitaa fulani nikapita karibu na maskani ya padre mmoja wa kanisa katoliki. Kwa mbali nikamuona mwanamke wa makamo anafanya usafi na kulisha mifugo. Haujapita muda mrefu nikakutana na kijana na kumuuliza kama padre yupo akanijibu padre katoka ila mke wake yupo. Nikamuuliza je, mke wake ni yule niliyemuona anafanya usafi pale nyumbani? Akajibu: NDIYO! Nilihisi kushikwa ganzi na kushindwa kusimama wima. Nikajifanya sijisikii vizuri nikawa nimechuchumaa chini nimeinamisha kichwa. Yule kijana kaniuliza: Vipi unaumwa? Nikamjibu najisikia vibaya.
Kwa mshtuko wangu nilihisi kabisa yule kijana ameunganisha hali yangu na tukio la mke wa padre kwa kuwa alikuwa akiniangalia kwa hofu iliyochanganyikana na wasiwasi. Kijana alionesha hofu ya kutoa siri za watu. Nikaanza kujilaumu kimoyomoyo kwanini nilishindwa kujikaza hadi kijana wa watu akahisi labda nitaenda kuvujisha hizi taarifa kwa viongozi wa kanisa. Nami wala sina nia hiyo na sijamwambia mtu yeyote hadi leo ninapoandika kuhusu jambo hili hapa JF.
Siku za nyuma kidogo (takribani miaka 3 iliyopita) niliwahi kumshuhudia padre mwingine wa kanisa katoliki akivuta sigara kali. Nikashangaa sana. Wavutaji wa sigra kali wanafahamu aina hii ya sigara. Hii sio sigara ya kawaida ndio maana ikapewa hili jina la kipekee. Tangu siku hiyo nikagundua kwamba kumbe upadre wakati mwingine ni kazi tu kama kazi nyingine wala haina koneksheni na utakatifu au matendo mema. Kuna mapadre genuine ambao kweli wamejitoa kumtumikia Mungu kwa hali na mali na wengine ni wachumiatumbo tu.
MAONI YANGU
Ifike wakati sasa kanisa litambue umuhimu wa matamanio ya mwili kwa wanadamu na kusitisha mpango wake wa muda mrefu wa kuwazuia mapadri kuoa na kutumia vilevi vingine kama watu wa kawaida ilmradi hawavunji amri 10 za Mungu. Kitendo cha kulazimisha mapadri wasioe na kushiriki matendo mengine mema ya dunia sio jambo zuri.
ANGALIZO
Hii sio mada ya kidini bali ni habari mchanganyiko inayohusu maisha ya binadamu bila kujali imani, dini, rangi, jinsia, kabila au ukanda. Mods msiingie mkenge kuhamisha hii mada kwenda jukwaa la dini tafadhali.
Nawasilisha.
Aweeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Hili sibishi maana kuna padri mmoja tulishea katoto flani hivi
Sema Mkuu tuyajue.....Kuna hiyo mmoja padre nakula naye smart gin safiii kbs mengine yake siyasemi
Kesi ipo Mahakamani, kasimamishwa kuhudumu.hawajamchinja tu?
Mmmh vp kuna cha kuongezea hapo[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani nimecheka heading ya uzi kabla sijasoma uzi wenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilivyosoma ndio kabisa nacheka mpk machozi……!!! Countrywide njoo Hatimaye baba Padre kafikiwa huku
Hii hata nikiitwa mahakamani natoa ushahidi,Aweeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Wewe ustaz umeshaenda kula maulidi yenu keshoUkistaajabu ya Musa hujaona ya Firauni. Hivi majuzi nilikuwa mitaa fulani nikapita karibu na maskani ya padre mmoja wa kanisa katoliki. Kwa mbali nikamuona mwanamke wa makamo anafanya usafi na kulisha mifugo. Haujapita muda mrefu nikakutana na kijana na kumuuliza kama padre yupo akanijibu padre katoka ila mke wake yupo. Nikamuuliza je, mke wake ni yule niliyemuona anafanya usafi pale nyumbani? Akajibu: NDIYO! Nilihisi kushikwa ganzi na kushindwa kusimama wima. Nikajifanya sijisikii vizuri nikawa nimechuchumaa chini nimeinamisha kichwa. Yule kijana kaniuliza: Vipi unaumwa? Nikamjibu najisikia vibaya.
Kwa mshtuko wangu nilihisi kabisa yule kijana ameunganisha hali yangu na tukio la mke wa padre kwa kuwa alikuwa akiniangalia kwa hofu iliyochanganyikana na wasiwasi. Kijana alionesha hofu ya kutoa siri za watu. Nikaanza kujilaumu kimoyomoyo kwanini nilishindwa kujikaza hadi kijana wa watu akahisi labda nitaenda kuvujisha hizi taarifa kwa viongozi wa kanisa. Nami wala sina nia hiyo na sijamwambia mtu yeyote hadi leo ninapoandika kuhusu jambo hili hapa JF.
Siku za nyuma kidogo (takribani miaka 3 iliyopita) niliwahi kumshuhudia padre mwingine wa kanisa katoliki akivuta sigara kali. Nikashangaa sana. Wavutaji wa sigra kali wanafahamu aina hii ya sigara. Hii sio sigara ya kawaida ndio maana ikapewa hili jina la kipekee. Tangu siku hiyo nikagundua kwamba kumbe upadre wakati mwingine ni kazi tu kama kazi nyingine wala haina koneksheni na utakatifu au matendo mema. Kuna mapadre genuine ambao kweli wamejitoa kumtumikia Mungu kwa hali na mali na wengine ni wachumiatumbo tu.
MAONI YANGU
Ifike wakati sasa kanisa litambue umuhimu wa matamanio ya mwili kwa wanadamu na kusitisha mpango wake wa muda mrefu wa kuwazuia mapadri kuoa na kutumia vilevi vingine kama watu wa kawaida ilmradi hawavunji amri 10 za Mungu. Kitendo cha kulazimisha mapadri wasioe na kushiriki matendo mengine mema ya dunia sio jambo zuri.
ANGALIZO
Hii sio mada ya kidini bali ni habari mchanganyiko inayohusu maisha ya binadamu bila kujali imani, dini, rangi, jinsia, kabila au ukanda. Mods msiingie mkenge kuhamisha hii mada kwenda jukwaa la dini tafadhali.
Nawasilisha.
Kuna mtu alisema sheikh na padri walikutana kwenye ndege, padri akaagiza msosi una nyama ya kiti moto na kwakuwa walikaa siti zilizofatana padri akamkaribisha sheikh, sheikh akasema situmii kiti moto, padri akamjibu"unakosa utamu" ... baada yakushuka kwenye ndege wakawa wanaagana basi sheikh akamwambia padri msalimie mkeo nae padri akajibu sisi hatuoi, sheikh akasema "mnakosa utamu"Mkuu utamu wa papuchi hauna mfano [emoji39][emoji39][emoji39]
Na kama aliishiwa nguvu huko kwingine aliandikajeSijaisoma yote nimeishia hapo ulipo ishiwa nguvu. Yani kisa padre ameoa wewe ndo unaishiwa nguvu?
Tpaul hawezi kuwa ustaaz kamweWewe ustaz umeshaenda kula maulidi yenu kesho
Hili ni suala la kushangaza sana. Unajua mapadri wengine wachumiatumbo tu......wapo kwenye upadri kuganga njaa na wala hawana wito wowote wa kumtumikia Mungu.Kuna padri mmoja aliniacha hoi kwa mshangao. Baada ya kumaliza misa kigangoni akaelekea kunywa pombe iliyokuwepo jirani, pombe yenyewe ni ya kienyeji. Baada ya kutoka kwenye pombe akabukia kiko mdomoni kisha akawasha gari yake kurudi parokiani. Mshangao ni kwamba inakuaje mtu wa Mungu atoke kwenye ibada na kukimbilia kunywa pombe kisha aongeze kilevi kingine cha tumbaku kwenye kiko na avute? Mungu gani huyo wa hovyo kuruhusu watumishi wake wawe walevi?