Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,072
- 2,453
Pamoja na yote yaliyosemwa na yatakayosemwa lakini ukweli unabaki kuwa Nyerere aliishi maisha ya kawaida sana na hakuwapendelea hata watoto wake na wala hakujilimbikizia mali !! Japo alijitengenezea ufalme na kuwa na madaraka makubwa sana yasiyohojiwa na mtu yeyote lakini bado aliishi maisha ya kawaida sana na wala hakujilimbikizia mali wala hakufanya upendeleo wowote kwa ndugu zake wala kwa watoto wake!! Kwa ufupi ni kwamba pamoja na nguvu alizokuwanazo kimamlaka lakini hakuzitumia nguvu hizo kujilimbikizia mali wala kuishi maisha ya kifahari !!
KWa hiyo kama Nyerere aliishi maisha ya kawaida ndiyo tusijadili au tusahau mfumo mbovu alioujenga?