Ajabu: Wanawake wanapenda wanaume weusi lakini hawataki kuzaa watoto weusi

Ajabu: Wanawake wanapenda wanaume weusi lakini hawataki kuzaa watoto weusi

Moja ya mambo yanayowafanya wanawake wawe viumbe wa ajabu, labda tuite kuwa vivutio katika ulimwengu huu ni pamoja na hii tabia. Wanawake wengi duniani sio tuu Afrika bali hata uzunguni kila walipoulizwa wanapendelea wanaume wa dizaini ipi katika mahusiano ya mapenzi, majibu yao yalikuwa mwanaume mweusi kidogo, mrefu na mwembamba kiasi.
Mbona kuna mwanasiasa mashuhuri nchini ni mweupe peee na anapendwa sana na my wife wake
 
Chief tafuta pesa kisha pelekea moto..utaonekana mweupe na mrefu yani uhb wote utakuwa nao wewe.

#MaendeleoHayanaChama
Atachukua tu hela zako halafu anampelekea anayempenda ambaye Hana kitu. Wee fikiria unajituma kutafuta pesa halafu dume lengine halina kitu linapewa hela zako " hard earned money".
 
Kwema Wakuu?!

Moja ya mambo yanayowafanya wanawake wawe viumbe wa ajabu, labda tuite kuwa vivutio katika ulimwengu huu ni pamoja na hii tabia. Wanawake wengi duniani sio tuu Afrika bali hata uzunguni kila walipoulizwa wanapendelea wanaume wa dizaini ipi katika mahusiano ya mapenzi, majibu yao yalikuwa mwanaume mweusi kidogo, mrefu na mwembamba kiasi.

Lakini ajabu ni kuwa licha ya kupenda wanaume weusi wengi hawataki kuzaa watoto weusi, na wengi hujisikia vibaya kupata watoto weusi. Huku Wale waliopata watoto weupe wakijivunia na kujionea fahari kwa uzao huo.

Sisi wanaume weusi, wafupi na vibonge twende wapi?​
Hiyo ni kawaida sana, Kwasababu Kuna watu wanapenda waoe wake wengi, lakini hawapendi wake zao wazae watoto wa kike.( Sasa replacement itafanyikaje kama wanawake wote watazaa watoto wa kiume?. Kwahiyo, watoto wote ni BARAKA (me&ke).
Hatahivyo, mtazamo huo (kutaka watoto weupe) siyo wa wanawake wote ila baadhi yao.
 
[emoji4]
images-985.jpg
images-986.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwema Wakuu?!

Moja ya mambo yanayowafanya wanawake wawe viumbe wa ajabu, labda tuite kuwa vivutio katika ulimwengu huu ni pamoja na hii tabia. Wanawake wengi duniani sio tuu Afrika bali hata uzunguni kila walipoulizwa wanapendelea wanaume wa dizaini ipi katika mahusiano ya mapenzi, majibu yao yalikuwa mwanaume mweusi kidogo, mrefu na mwembamba kiasi.

Lakini ajabu ni kuwa licha ya kupenda wanaume weusi wengi hawataki kuzaa watoto weusi, na wengi hujisikia vibaya kupata watoto weusi. Huku Wale waliopata watoto weupe wakijivunia na kujionea fahari kwa uzao huo.

Sisi wanaume weusi, wafupi na vibonge twende wapi?​
Nendeni kwa Yesu🤣🤣🤣
 
binafsi mm ni mweupe, hapo zamani nikiwa kijana barobaro wanawake wengi walikua wananikataa sababu nilionekana mtoto wa mama(wanawaita hb) na kudai kuwa nitawasumbua ila kadiri siku zinavozidi kwenda nimebaini wanawake wengi wanatamani kuzaa na mm ili tu wapate rangi nzur ya mtoto
 
Mimi kwa mtazamo wangu na tafiti nilizofanya, kiuhalisia wanawake wanapenda wanaume weupe na smart, ila wengi wao hujificha kwa kusema wanapenda wanaume weusi, ni inferiority complex.

Usimwamini mwanamke anachokizungumza , huwa mara nyingi hamaanishi hivyo....

Ukiwauliza utaona kuwa Wengine wanahofia kuwa mwanaume mweupe anatazamwa na kila mtu, au wanahofia kuzidiwa uzuri/ muonekano
Kuna kaukweli hapa, mahb hukataliwa si kwasababu hapendwi ila kamzidi uzur dem anaemtongoza. Dem anaogopa ushindani anajikuta anakua na mtu anaemmudu.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vita dhidi ya wanawake n kubwa mno
 
Kwa hiyo Sisi Rangi ya Maji ya kunde Tupo upande Upi?
 
Sasa baba mweusi...mama mweusi..kinazaliwa kicheche cheusii tii...natimua mbio..yaan ile katuni ya haki elimu ikasome..
[emoji23][emoji23] mimi wazazi wangu weusi ila dada yangu mkubwa mweupe. Tusikariri
 
Back
Top Bottom