Ajabu: Wanawake wanapenda wanaume weusi lakini hawataki kuzaa watoto weusi

Ajabu: Wanawake wanapenda wanaume weusi lakini hawataki kuzaa watoto weusi

Weupe-Good for genes
Weusi- Good for other stuffs.

Nahisi hiyo ndo concept.
 
Wanaume weusi na roho zao nyeusi
Ungekua matawi ya akina Zari, Hamisa nk wanaume tungekoma na nyodo zako🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi ni mwanaume mweusi ndio...mweusi
 
Kule nyuma kuna dada kanyosha mkono hebu mpeni kipaza sauti tusikie maoni yake
 
kiukweli mkuu sisi wanawake huwezi kutuelewa,juzi hapa mama alikuwa analia baada ya watoto wawili kufa kwa kansa ya ngozi
Tiririka nami(ni siri lakini navujisha)
Mwanamke mrembo cheupe aliolewa na hb wake mweusi kama alivyomchagua (anasema mmewe alikuwa andisamu),basi Mungu kawapa uzao mtoto wa kwanza wa kike akatoka kopy baba mtupu (sura ya baba na rangi ya kijaruo)mama hakupenda kabisa akasema iweje mimi mrembo mweupe nizae mtoto mweusi?akasema labda akiendelea kukua atabadilika rangi na kuwa mrembo kama yeye, lakini mpaka anafikisha miaka mitatu bado ni kopy ya baba yake akamwanzishia mkorogo na pia akaanza kumpost insta wanamsifia akajaa bichwa.
Akabeba mimba ya pili akatoka wa kike kopy ya baba,sasa akawaza na kuwazua akaona suluhisho ni kumuwahi akiwa na miezi miwili tu akamuanzishia mkorogo kweli akawa amewini mtoto white white,baada ya kutimiza mwaka mtoto akaanza kuumwa ugonjwa haueleweki ndo kuchunguza zaidi madaktari wakasema kansa inshamla tyari basi hakukaa sana akafa baada ya huyo akaja mkubwa japo alichukua mda kuliko yule mdogo lakini naye akafa kwa ugonjwa huohuo(siri anayo mama na hajawahi kumwambia mtu maana mme akijua ataua mtu,amebaki nalo moyoni anasema labda ningekuwa hata na elimu ya form four watoto wangu nisingewafanyia haya kiukweli anajuta
 
Mimi kwa mtazamo wangu na tafiti nilizofanya, kiuhalisia wanawake wanapenda wanaume weupe na smart, ila wengi wao hujificha kwa kusema wanapenda wanaume weusi, ni inferiority complex.

Usimwamini mwanamke anachokizungumza , huwa mara nyingi hamaanishi hivyo....

Ukiwauliza utaona kuwa Wengine wanahofia kuwa mwanaume mweupe anatazamwa na kila mtu, au wanahofia kuzidiwa uzuri/ muonekano
hapana mkuu asilimia kubwa wanapenda wanaume weusi mi ni miongoni pia.sijawahi mwelewa mwanaume mweupe
 
Ipo hivi wanawake weupe hupenda wanaume weusi na wanaume weupe hupenda wanawake ambao sio weupe au weus yaan katkat.. me ni mweupe ila sipendag wanawake weupe na sijawai kumtongoza mwanamke mweupe na nina mpango wa kuoa wife sio mweupe
naweza nkakubaliana na wewe mkuu
 
binafsi mm ni mweupe, hapo zamani nikiwa kijana barobaro wanawake wengi walikua wananikataa sababu nilionekana mtoto wa mama(wanawaita hb) na kudai kuwa nitawasumbua ila kadiri siku zinavozidi kwenda nimebaini wanawake wengi wanatamani kuzaa na mm ili tu wapate rangi nzur ya mtoto
Huu ujinga ulimsababishia ndugu yangu mmoja awe na watoto 6 kwa wadada wanne kabla hajaamua kuoa. Na hakuoa yoyote kati ya aliozaa nao. Eti wanataka rangi!!!
 
Ngoja niende kwenye view ya Psychology.

Mwanamke mweusi anaweza akawa anakubali weupe lakini asiseme sababu ya asilimia ndogo sana ya inferiority complex ndani kabisa ya subconscious yake ambayo inamuaffect subliminally bila ya yeye kujua inayopelekea kukosa kujiamini na kumfanya yeye kutafuta sababu za kuchukia hicho kitu.
Kwamba akisema anakubali sana weupe basi atajiona (au kuonekana) kama anaisaliti asili yake au atajiona na kuonekana ana shobo, hajipendi au haipendi asili yake na cha mwisho ni kujihisi mdogo au inferior na kukosa kujiamini mbele yake mwenyewe na kwa jamii.

Na hata ukiangalia kiundani utagundua wanawake wengi au wote wanaosema wanakubali weusi mostly utakuta nao ni weusi, hata humu pia. nia ni kubalance na kuaccommodate ile hali na feeling wanayojisikia.
Lakini ni ngumu na mara chache sana karibu asilimia 0% ukisikia mwanamke mweupe au maji ya kunde akisema hivyo mostly utakuta anaponda weusi.

Yote haya ni sababu ya mitazamo ya jamii husika na ya kidunia juu ya hizi rangi. lakini mwanamke anayejitambua hawezi kuchagua rangi ya mtu ili afanye nae maisha vilevile kwa mwanaume.

Maji ya kunde huwa sijali kabisa hizi vitu napita kotekote popote, mwanamke mweupe sawa mweusi sawa sioni tofauti.
 
Wanaume weusi wanapendwa na wanawake sababu wanaamini "Wako So Wild in Bed", kwamba wanayajua mambo na wako so romantic.

Wanaume weupe wanaonwa na wanawake kama wako nyoronyoro sana kitandani, yani hawatoi ile mikazo ya kuvunja chaga.

Ila sasa wakishaolewa usishangae anachepuka na mwanaume mweupe ili tuu apate mtoto mweupe[emoji23]
Hawaeleweki
 
Mimi kwa mtazamo wangu na tafiti nilizofanya, kiuhalisia wanawake wanapenda wanaume weupe na smart, ila wengi wao hujificha kwa kusema wanapenda wanaume weusi, ni inferiority complex.

Usimwamini mwanamke anachokizungumza , huwa mara nyingi hamaanishi hivyo....

Ukiwauliza utaona kuwa Wengine wanahofia kuwa mwanaume mweupe anatazamwa na kila mtu, au wanahofia kuzidiwa uzuri/ muonekano
Hivi ndivyo wanaume weupe mnavyojifariji. Muulize hata dada yako anapenda mwanaume wa aina gani? Majibu utapata
 
Back
Top Bottom