Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
😳umekula wote yaan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳umekula wote yaan
Wanaume weusi watamu.Afu ungejua wanaume weusi Ndo wapo kwenye soko Kwa Sasa.wanawake wa kileo wanawapenda wanaume weusi
Ebu imagine 😂Cha ajabu wanawake wenyewe hawasemi humu ila wanaume ndio tunawasemea.
Nimemaanisha Kwa huku JF[emoji851][emoji851]Sio Kweli.
Vita dhidi ya wanaume ndio kubwa.
Ukitaka kuliona hilo angalia sheria za nchi au dunia
Ungekua matawi ya akina Zari, Hamisa nk wanaume tungekoma na nyodo zako🤣🤣🤣🤣🤣Wanaume weusi na roho zao nyeusi
Mrembo wangu hujambo?[emoji23][emoji23]
Usiniambie😂Wanaume weusi watamu.
Ebu imagine 😂
hapana mkuu asilimia kubwa wanapenda wanaume weusi mi ni miongoni pia.sijawahi mwelewa mwanaume mweupeMimi kwa mtazamo wangu na tafiti nilizofanya, kiuhalisia wanawake wanapenda wanaume weupe na smart, ila wengi wao hujificha kwa kusema wanapenda wanaume weusi, ni inferiority complex.
Usimwamini mwanamke anachokizungumza , huwa mara nyingi hamaanishi hivyo....
Ukiwauliza utaona kuwa Wengine wanahofia kuwa mwanaume mweupe anatazamwa na kila mtu, au wanahofia kuzidiwa uzuri/ muonekano
naweza nkakubaliana na wewe mkuuIpo hivi wanawake weupe hupenda wanaume weusi na wanaume weupe hupenda wanawake ambao sio weupe au weus yaan katkat.. me ni mweupe ila sipendag wanawake weupe na sijawai kumtongoza mwanamke mweupe na nina mpango wa kuoa wife sio mweupe
Huu ujinga ulimsababishia ndugu yangu mmoja awe na watoto 6 kwa wadada wanne kabla hajaamua kuoa. Na hakuoa yoyote kati ya aliozaa nao. Eti wanataka rangi!!!binafsi mm ni mweupe, hapo zamani nikiwa kijana barobaro wanawake wengi walikua wananikataa sababu nilionekana mtoto wa mama(wanawaita hb) na kudai kuwa nitawasumbua ila kadiri siku zinavozidi kwenda nimebaini wanawake wengi wanatamani kuzaa na mm ili tu wapate rangi nzur ya mtoto
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanaogopa mabomu
Not necessarily mimi na husband ni weusi lakini watoto wetu ni maji ya kunde. Bibi zao wote wawili walikuwa weupeHapo mzee wako alipigwa[emoji1787]
HawaelewekiWanaume weusi wanapendwa na wanawake sababu wanaamini "Wako So Wild in Bed", kwamba wanayajua mambo na wako so romantic.
Wanaume weupe wanaonwa na wanawake kama wako nyoronyoro sana kitandani, yani hawatoi ile mikazo ya kuvunja chaga.
Ila sasa wakishaolewa usishangae anachepuka na mwanaume mweupe ili tuu apate mtoto mweupe[emoji23]
Hivi ndivyo wanaume weupe mnavyojifariji. Muulize hata dada yako anapenda mwanaume wa aina gani? Majibu utapataMimi kwa mtazamo wangu na tafiti nilizofanya, kiuhalisia wanawake wanapenda wanaume weupe na smart, ila wengi wao hujificha kwa kusema wanapenda wanaume weusi, ni inferiority complex.
Usimwamini mwanamke anachokizungumza , huwa mara nyingi hamaanishi hivyo....
Ukiwauliza utaona kuwa Wengine wanahofia kuwa mwanaume mweupe anatazamwa na kila mtu, au wanahofia kuzidiwa uzuri/ muonekano
Mshua aliibiwa hamna kitu baba mweusi mama mweusi uzae watoto weupe[emoji23][emoji23] mimi wazazi wangu weusi ila dada yangu mkubwa mweupe. Tusikariri