Ajabu: Wanawake wanapenda wanaume weusi lakini hawataki kuzaa watoto weusi

Ajabu: Wanawake wanapenda wanaume weusi lakini hawataki kuzaa watoto weusi

Sasa baba mweusi...mama mweusi..kinazaliwa kicheche cheusii tii...natimua mbio..yaan ile katuni ya haki elimu ikasome..
Tena akiwa mweusi sana wanasema cheusi mangala wanawake hapa duniani hata hawaeleweki huwa wanataka nini
 
Mimi kwa mtazamo wangu na tafiti nilizofanya, kiuhalisia wanawake wanapenda wanaume weupe na smart, ila wengi wao hujificha kwa kusema wanapenda wanaume weusi, ni inferiority complex.

Usimwamini mwanamke anachokizungumza , huwa mara nyingi hamaanishi hivyo....

Ukiwauliza utaona kuwa Wengine wanahofia kuwa mwanaume mweupe anatazamwa na kila mtu, au wanahofia kuzidiwa uzuri/ muonekano
Umemaliza kila kitu mkuu.

Mwanamke akisema kitu mara nyingi huwa anamaanisha kitu tofauti kabisa na anachosema.
Wengi wao hupenda kujifariji kwa kusema hawavipendi vile vitu ambavyo wanaona hawana uwezo wa kuvipata.

Lakini pia wanawake ni watu wa mashindano sana,huwa wanaamini mwanaume akiwa mweupe ataangaliwa kuliko yeye.
 
binafsi mm ni mweupe, hapo zamani nikiwa kijana barobaro wanawake wengi walikua wananikataa sababu nilionekana mtoto wa mama(wanawaita hb) na kudai kuwa nitawasumbua ila kadiri siku zinavozidi kwenda nimebaini wanawake wengi wanatamani kuzaa na mm ili tu wapate rangi nzur ya mtoto

Pole Sana Mkuu
 
Mimi kwa mtazamo wangu na tafiti nilizofanya, kiuhalisia wanawake wanapenda wanaume weupe na smart, ila wengi wao hujificha kwa kusema wanapenda wanaume weusi, ni inferiority complex.

Usimwamini mwanamke anachokizungumza , huwa mara nyingi hamaanishi hivyo....

Ukiwauliza utaona kuwa Wengine wanahofia kuwa mwanaume mweupe anatazamwa na kila mtu, au wanahofia kuzidiwa uzuri/ muonekano
Wanawake wanapenda wanaume weusi Ila siyo weusi Kama ngolo Kante,uwe na tangu flan chokoleti...yaani watakaa genge kukujadili
 
Mimi kwa mtazamo wangu na tafiti nilizofanya, kiuhalisia wanawake wanapenda wanaume weupe na smart, ila wengi wao hujificha kwa kusema wanapenda wanaume weusi, ni inferiority complex.

Usimwamini mwanamke anachokizungumza , huwa mara nyingi hamaanishi hivyo....

Ukiwauliza utaona kuwa Wengine wanahofia kuwa mwanaume mweupe anatazamwa na kila mtu, au wanahofia kuzidiwa uzuri/ muonekano
Mwanaume mweupe anakua ni kama mwanamke mwenzie bana we nae, hawezi kumvutia hata kidogo...
 
Back
Top Bottom