Ajabu: Wanawake wanapenda wanaume weusi lakini hawataki kuzaa watoto weusi

Sasa baba mweusi...mama mweusi..kinazaliwa kicheche cheusii tii...natimua mbio..yaan ile katuni ya haki elimu ikasome..
Tena akiwa mweusi sana wanasema cheusi mangala wanawake hapa duniani hata hawaeleweki huwa wanataka nini
 
Umemaliza kila kitu mkuu.

Mwanamke akisema kitu mara nyingi huwa anamaanisha kitu tofauti kabisa na anachosema.
Wengi wao hupenda kujifariji kwa kusema hawavipendi vile vitu ambavyo wanaona hawana uwezo wa kuvipata.

Lakini pia wanawake ni watu wa mashindano sana,huwa wanaamini mwanaume akiwa mweupe ataangaliwa kuliko yeye.
 

Pole Sana Mkuu
 
Wanawake wanapenda wanaume weusi Ila siyo weusi Kama ngolo Kante,uwe na tangu flan chokoleti...yaani watakaa genge kukujadili
 
Mwanaume mweupe anakua ni kama mwanamke mwenzie bana we nae, hawezi kumvutia hata kidogo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…