Ajali iliyohusisha Magari Nane, maelezo ya Polisi yanatia shaka

Nikaanza Soma maelezo,ndani ya maelezo nikakuta maelezo,nikaendelea kuona maelezo yakisababisha maelezo mengine yaliyoelezwa na Mzee wa PGO
Nikatoka Kapa!
Anyway maelezo Hata hayaeleweki ila nikaja elewa picha,
Asante Kwa picha mkuu Sasa nimeelewa kumbe Wendawazimu wameingiza kichwa Kwenye kitanzi
Wamenyongwa!

Policcm Kwa kubambikiza kesi hawajambo!
 
Hahahah dadeeki huwezi kunifanya nicheke kijinga
 
Maelezo ya kijinga haya, na yamekosa weledi. Ukikagua magari eneo la tukio inaonyesha magari ya polisi yalikuwa yanashindana na ndio yamesababisha ajali.
 
yani km dereva wa howo ndie kaambiwa mwenye makosa,inathibitisha ni kias gan polisi uwa wanabambikia kesi watu hovyo bila hata aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…