The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kila tukiiambia Serikali Kuhusu hii Barabara lakini haielewi..Ajali mbaya imetokea katika eneo la Inyala mkoani Mbeya baada ya lori la mafuta kufeli breki na kugonga basi la abiria na gari ndogo na kusababisha vifo vya watu kadhaa na majeruhi. Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Balaa jingine litakuja kwenye barabara ya Chunya ikifunguka maana nayo imejengwa bila kuzingatia hizo hatari.