Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani uchunguzi unachukua wiki ngapi mdau?Unajuaje kama uchunguzi wa miili ulifanyika kabla ya maziko je?Tuache kuwa negative kwa kila linalofanywa na na wengine. Mathalani kabda miili imeharibika vibaya inamwagika ubongo we uiweke tuuu unasubiri uchunguzi kweli!??Bila uchunguzi? Kama walipigwa nyundo za vichwa, halafu gari ikasukumizwa huko?
Isije ikawa ilichomoka on impactWasamaria wema wametoa na tairi kabisa kwenye gari
Dah... Mzee Kigogo hebu pitia kidogo performance za haya magari...ukubwa wa injini.....ulaji wa mafuta...na uchafuzi wa hewa....Kisha pitia kipimo cha zamani cha magari jamii yake.... Paris - Dakar....Kisha uje kukana maneno yako 🤣🤣🤣🤭Hizo pajero ni class moja na akina LC na Nissan Patrol lakini pajero haina ubavu wa kupambana nazo.Hata bei yake sokoni Iko chini
Kwenye ajali kama hii kuhoji kwa nini hakuna tairi ni ukorofi tu.Wasamaria wema wamesaidia kutoa tairi lisiungue
Dah....bahati mbaya hakuta kuwa na Pajero tena.....kiwanda kinafungwa....RIP Pajero 🤭Ushawahi kuendesha au kukutana na ile Pajero ya CC3500 V6 Petrol? Zile ambazo TRA walikuwa nazo 2005? Ukigusa ile utaheshimu Pajero.
Hebu fafanua!Dah....bahati mbaya hakuta kuwa na Pajero tena.....kiwanda kinafungwa....RIP Pajero 🤭
Mi mwenye LC200 nawasikiliza tu!Dah... Sasa mkuu unalinganishaje gari ya Vitani (4500cc) na gari ya mbugani(2400cc)? 🤣🤣🤣🤣🤭
Aisee!Bado haina uwezo wa kupambana na LC 100 ama Y61. Ni Big SUV ya kawaida sana tena hizi latest ndio nyanya kabisa
Hakuna kitu hapo. Labda useme Y62 ile V8.Y61 inapiga makelele lakini shughuli imo huwezi kulinganisha na Pajero
😄😄😄 Kwny Dakar rally kale ka short chasis ka Pajero kameshinda Sana mzee.Hapo sina ubishiDah.... Labda aliposema performance Kali ndiyo kajichanganya...hakuelezea...lakini M/Pajero naikubali sana....na... imekuwa na best performance kwa kundi lake mara nyingi zaidi kuliko gari lolote. 🤣🤣🤣🤣🤭
😄😄😄 nimeliendesha Sana Hilo Gari,halina maajabu kabisa kwny performance Ila lilikua tamu kwny kunesa nesa mzee.Mwenyewe nimeshangaa sababu hata kale kaji Opa kangu on full speed kanakamua horses zaidi ya hizo! Pajero toka lini ikawa performance car?
Hio ni gari ya Towing zaidi sababu torque yake ni kali ila sio speed!
Lina air suspension nini🤩😄😄😄 nimeliendesha Sana Hilo Gari,halina maajabu kabisa kwny performance Ila lilikua tamu kwny kunesa nesa mzee.
Kweli mkuu,Pajero ndio cheapest SUV.Hizo pajero ni class moja na akina LC na Nissan Patrol lakini pajero haina ubavu wa kupambana nazo.Hata bei yake sokoni Iko chini
Utakuta wengi ni wa familia moja.Walikuwa wanaenda harusini Tanga wanatokea Zanzibar,marehemu watatu wamezikwa usiku huu, wawili wamesafirishwa dar ni vijana wadogo tu
Uko sahihi sana. Mara nyingi watu wanatumia usemi "Aa, mungu yupo tutafika salama!" Mungu Mwenyewe anasema:"Hapendi kujaribiwa!" Siku zote Huwa hamsaidii mtu mzembe.
Uko sahihi juzi naelekea sehemu gari imezingua wakajifanya mafundi wakafunga kamba sijui nini...kila tukisogea gari inasumbua mbona hatukufika....yaani madereva wanachukuliaga poa sana but mwisho wa siku mambo yanaharibika!
Uko sahihi sana. Ila bado unaweza kufanya hayo yote na bado ukapata ajali tu.Uko barabarani anatokea mlevi mmoja na bodaboda yake unamkwepa hamad uko mtoni ajali tayari. Haya mambo ni kuomba Mungu tuYaani unakuta dereva hajaangalia upepo wa matairi wiki kadhaa au shock ups zote zimeisha au unakuta katika mtikisiko wa gari kila kukicha bolts zinalegea
Ni uzembe na ushamba wa wengine kuwa na gari ingali hajui hata service inahitajika lini
Na Mabasi hivyo hivyo yaani vyombo vya usafiri vyote
Uko sahihi sana. Ila bado unaweza kufanya hayo yote na bado ukapata ajali tu.Uko barabarani anatokea mlevi mmoja na bodaboda yake unamkwepa hamad uko mtoni ajali tayari. Haya mambo ni kuomba Mungu tu