Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prado sio gari za kujiachia hata kidogo.. Kama unataka maisha marefuTena hizo center of gravity yake iko juu huwa zinawamwaga sana niliiona moja ile barabaraa ya Bulyankulu Kakola imewamaliza jamaa daah!.
Kwani hakuna prado zenye engine ya v8?Hio pichani ni Land Cruiser Prado, sio V8 kama ilivyoripotiwa na mtoa mada
Na kuna zile Toyota Hilux 4×4 zile za zamani nyingi zilikuwa ni Pick ups zile nazo ziliua sana.Prado sio gari za kujiachia hata kidogo.. Kama unataka maisha marefu
We nawewe ni walewale tu kwanini husisitizi camera za barabarani, mtakufa njaa nakuambia, fugeni kukuKama walikuwepo hawakutosha. Wangeongezwa.
Airbags zilikuwa off??!
Madereva wa mchongo, sio kila gari ya kukimbizaNa kuna zile Toyota Hilux 4×4 zile za zamani nyingi zilikuwa ni Pick up zile nazo ziliua sana.
Tulia ureport kikamilifu
Hakuna
Ni barabara ipi hawapo?Trafiki warudishwe barabarani. Hali inatisha.
Wangeizuia isipate ajaliTrafiki warudishwe barabarani. Hali inatisha.
Hii si ni ile sehemu ambayo makamu wa rais aliagiza polisi wawekwe ili kuangalia ubora wa breki za maroli?
Kwa hyo tirafiki angekuwepo angelizuia Hilo Lori?Umesoma habari kwamba lori lilikatika breki?
wewe ni trafic uchwara au unanufaika na tozo toka kwa madereva barabarani.Mimi siyo trafiki ila sitaki kuona watu wanapukutika barabarani.
Huwa inatokea ameaga anakwenda Dar halafu anachepuka juu kwa juu kwenda kwenye mishe zake, hii ilitokea kwa REO mmoja mwaka huu alichomoa gari bila RAS kujua, kufika Mikumi usiku ajali mbayaDED wa Igunga anatafuta nn Mbeya?
Hakuna na haijawahi tokea.
A cha wade, madereva wa serikali wanaendesha hovyo sana. Hawafuati sheria