Hiitaji utafiti
ha ha ha kweli hii ni "made in Tanzania"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiitaji utafiti
Kwani ni Ajali zote huwa zinasababishwa na mwendokasi?? Vipi kuhusu umakini wa dereva barabarani??
Ku-overtake kwenye kona au mlima, ku-overtake magari zaidi ya mawili kwa mpigo tena yote yakiwa kwenye mwendokasi, service za mabasi yenyewe lakini pia wakati mwingine ni uzembe tu wa madereva wengine kwa mfano ile ajali iliyosababishwa na Passo hivi majuzi..
Jawabu ni Smart phone
Huawei Ascend Y530,download application iitwayo "My tracks"- controller akae siti yoyote ya BASI,safari ianze.
Speed,umbali, vyoote vitaonyeshwa na muda uliotumika kituo hadi kituo!
Mahitaji:-
1)smartphone kama iliyotajwa hapo juu au iliyo bora zaidi.
2)mtu(operator) wa simu hiyo
3)power bank(chargers)
4)My track(application) haihitaji mtandao wa simu ila smartphone iwe na line ya sim(sim card)
Utaratibu
Smartphone ikaguliwe na RTO au wakala wake!
Dereva asini kuwa smartphone yenye IMME 12345678... Ndiyo itakayo record mwendo wa basi lake kwa siku hiyo!
Kama una mawazo bora zaidi changia
Ni pamoja na barabara zetu kutokuwa za kiwango cha Kimataifa, ubovu wa magari, madreva kutozijua sheria za barabarani.
Dereva asaini kuwa simu inatrack mwendo? Dereva gani akubali
fanya utafiti wa kutosha kujua vyanzo vikuu vya ajali then mikakati ndio ubuniwe jinsi ya kupunguza ajali
''Kutokana na ajali za barabarani ambazo watalawa kama vile wameshindwa kusimamia au kuchukua hatua za dharura kunusuru maisha ya watu ambayo yanapotea kila siku; Ningekuwa kiongozi ningesema haya yafuatayo:
''Sitaki kusikia ajali zinatokea, hivyo basi kamanda wa usalaama barabani wa eneo usika (eneo la ajali), mkuu wa wilaya wa eneo n.k , barua zao ziko tayari kufukuzwa kazi kama hayo yatatokea katika eneo lao ikiambatana na kutunga sheria ya kufungwa kwa miaka 3 jela kushindwa kuweka mikakati ya kuzuia ajali''
MATOKEO:Wakuu hao wataweka mitakati ya kudhibiti ajari, hutasikia ajari za hovyo ovyo.
2.Kama wauzaji wa madawa ya kuleya wamewekewa sheria kali,kwa nini madereva na wamiliki wa kampuni ya usafirishaji yasiwekewe sheria kali.
Mfano🙁a)ikithibitika ni uzembe wa dereva;Dereva akisababisha ajari atalipa fidia ya sh TZS 10 billion Na kifungo cha maisha jela
(b) Wamiliki wa mabasi hayo pia watalipa fidia ya TZS 10 billion na kufungiwa kufanya shughuli za usafirishaji kwa miaka isiopungua 5
3.Serikali kufuta vyuo vya mitaani ambavyo havina sifa za kufundisha udereva.
Je kama haya yakisimamiwa kutakuwa na ajari barabari
WADAU TUJADILI
''Kutokana na ajali za barabarani ambazo watalawa kama vile wameshindwa kusimamia au kuchukua hatua za dharura kunusuru maisha ya watu ambayo yanapotea kila siku; Ningekuwa kiongozi ningesema haya yafuatayo:
''Sitaki kusikia ajali zinatokea, hivyo basi kamanda wa usalaama barabani wa eneo usika (eneo la ajali), mkuu wa wilaya wa eneo n.k , barua zao ziko tayari kufukuzwa kazi kama hayo yatatokea katika eneo lao ikiambatana na kutunga sheria ya kufungwa kwa miaka 3 jela kushindwa kuweka mikakati ya kuzuia ajali''
MATOKEO:Wakuu hao wataweka mitakati ya kudhibiti ajari, hutasikia ajari za hovyo ovyo.
2.Kama wauzaji wa madawa ya kuleya wamewekewa sheria kali,kwa nini madereva na wamiliki wa kampuni ya usafirishaji yasiwekewe sheria kali.
Mfano🙁a)ikithibitika ni uzembe wa dereva;Dereva akisababisha ajari atalipa fidia ya sh TZS 10 billion Na kifungo cha maisha jela
(b) Wamiliki wa mabasi hayo pia watalipa fidia ya TZS 10 billion na kufungiwa kufanya shughuli za usafirishaji kwa miaka isiopungua 5
3.Serikali kufuta vyuo vya mitaani ambavyo havina sifa za kufundisha udereva.
Je kama haya yakisimamiwa kutakuwa na ajari barabari
WADAU TUJADILI
Kwani ni Ajali zote huwa zinasababishwa na mwendokasi?? Vipi kuhusu umakini wa dereva barabarani??
Ku-overtake kwenye kona au mlima, ku-overtake magari zaidi ya mawili kwa mpigo tena yote yakiwa kwenye mwendokasi, service za mabasi yenyewe lakini pia wakati mwingine ni uzembe tu wa madereva wengine kwa mfano ile ajali iliyosababishwa na Passo hivi majuzi..
Jawabu ni Smart phone
Huawei Ascend Y530,download application iitwayo "My tracks"- controller akae siti yoyote ya BASI,safari ianze.
Speed,umbali, vyoote vitaonyeshwa na muda uliotumika kituo hadi kituo!
Mahitaji:-
1)smartphone kama iliyotajwa hapo juu au iliyo bora zaidi.
2)mtu(operator) wa simu hiyo
3)power bank(chargers)
4)My track(application) haihitaji mtandao wa simu ila smartphone iwe na line ya sim(sim card)
Utaratibu
Smartphone ikaguliwe na RTO au wakala wake!
Dereva asini kuwa smartphone yenye IMME 12345678... Ndiyo itakayo record mwendo wa basi lake kwa siku hiyo!
Kama una mawazo bora zaidi changia
Kurecord ni kuzuia ajali kweli?
Hapo kwenye red umeongea mkuu......umesahau na hili la ufinyu wa barabara, na mwendo kasi kwenye kona...