Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Vipi una taarifa zozote Mkuu?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji2960][emoji850][emoji850][emoji850]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi una taarifa zozote Mkuu?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji2960][emoji850][emoji850][emoji850]
Kama ile walotaka kumfanyia LissuMbinu iliyotumika kuficha mauaji ni ya kifala Sana hata mtoto wa darasa la pili hawezi kukubali kifo hiki
JPM amewakosea nini waja? Mbona huyu alipelekwa kuwa RAS Mtwara? Tumuache mwamba apumzike kwa amani. Hakuwa wa kispotspot.Notable reason? Kwani alikuwa timu mwendazake?
Kaka kubaka wakati ni balozi sio suala dogo. Usifanye masihala na haya mambo. Nchi ya ugenini, balozi ana immunity. hawezi kukamatwaWanaficha aibu ipi. Kama kubaka kabaka yeye sio nchi imebaka
Tumesomea shule aliyesoma Agnes Suleiman. Qatar nalo ni bara kama Marekani na KinondoniUmeambiwa Austria we unakuja na Australia yako hapa, Wabongo kazi kweli kweli🤣
Mtu mfu amekufa. Serikali haina mpango na wafu ujue..hawalipi kodiHalafu kitu sijaelewa kwanini mwili wa marehemu ufatwe na ndugu kutoka Dar, kwenda kuuchukua handeni,
si kwamba serikali ilitakiwa kufanya utaratibu wa mtumishi wao? Wamemkataa jamaa yao.
Inawezekana mtu akajifanya amekufa? Kifo kinaweza kuwa faked?Sasa huko juu nimesoma alibaka, sasa ndio kajifanya kafa au ndo nini?
Ngoja nimuite ndugu yake @namtombemushi
Mkandamizaji kanisa lake ni free style..Free style ina maana kupigiana nayo imo.Kwaiyo mnafananisha na ya Katibu wa kanisa la Mkandamizaji?
Sawa.Si kweli!
Danganya toto hiyo!
Mambo ya R Kelly au Bill Cosby nany anataka!
Je wewe sexless tuambia kama wanabaka hata ambao ni sexless?CCM wamekithiri kwa maovu. Wanabaka hadi nje ya nchi?
CCM hawachagui. Wannaongozwa n roho wa uovu tu.Je wewe sexless tuambia kama wanabaka hata ambao ni sexless?
ndio mashaka yanapokuja hapo, imetengenezwa hiyo ajaliMkuu gari ile ilivyopata ajali hatukuweza kujua bu gari gani, kwa moto ule na usiku ule
Hata ndani hatukuweza kujua kulikua na watu wangapi, kwa kifupi nin kuwa ajali ilikua mbaya, ule mwili kama sio ndugu kumtafuta hakuna mtu angejua ni nani
Daudi Balali gavana wa benki yupo hai au amekufa??Inawezekana mtu akajifanya amekufa? Kifo kinaweza kuwa faked?
ExactlyTehteh,wakati hizo crown zinatoka dar to Zambia mpaka Congo
Na zinafika
Ova
kuna mdau ana mawazo haya[emoji116][emoji116][emoji116]mimi nakubaliana na hoja yake..imeshajulikana kwamba ilikuwa ni AJALI ya gari ndogo na lori kugongana.
Austria Nchi iliyoko Europe yenye Mji Mkuu uitwao Viena , siyo Australia Bars/ Nchi yenye Melbourne, Queensland etc.Kwani alikuwa declared kama persona non grata
huko Australia!?
Mnajifanya kunisahihisha kama vile nyie ni permanent waalimu soma comment zangu za juu msiwe mnakurupukaAustria Nchi iliyoko Europe yenye Mji Mkuu uitwao Viena , siyo Australia Bars/ Nchi yenye Melbourne, Queensland etc.
kuna mdau ana mawazo haya[emoji116][emoji116][emoji116]mimi nakubaliana na hoja yakeView attachment 2449122