Ndamwe
JF-Expert Member
- Jun 11, 2008
- 228
- 161
Sio uozo, ndio uhalisiaModerators habari kama hizi hazijengi na zinasababisha negative perception kwa jamii,futa huu uozo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio uozo, ndio uhalisiaModerators habari kama hizi hazijengi na zinasababisha negative perception kwa jamii,futa huu uozo
Na mm nasema hv kama vp ile ajali iludiwe haiwezekani ikatoka patupuView attachment 3172243
Mimi binafsi nilijizuia nisiseme neno lolote...
Lakini kimoyomoyo niliona na kufikiri kuwa kwa kuwa wameikataa njia ya haki ya kubadilishana uongozi na madaraka....
Basi, pengine njia inayofaa kuuondoa huu utawala wa uovu chini ya CCM, obvious ni hii ya kufagiliwa kwa mauti za namna hii, ajali, pressure, magonjwa ya ajabu nk nk...
Mpaka hapo tunaomba mapenzi ya Mungu yatimizwe....
View attachment 3172243
Mimi binafsi nilijizuia nisiseme neno lolote...
Lakini kimoyomoyo niliona na kufikiri kuwa kwa kuwa wameikataa njia ya haki ya kubadilishana uongozi na madaraka....
Basi, pengine njia inayofaa kuuondoa huu utawala wa uovu chini ya CCM, obvious ni hii ya kufagiliwa kwa mauti za namna hii, ajali, pressure, magonjwa ya ajabu nk nk...
Mpaka hapo tunaomba mapenzi ya Mungu yatimizwe....
Hao wenyewe waliopata ajali hiyo wala hawajawahi kuwajali wananchi na janga walilolipata, wao wanawafanyia wananchi zaidi ya hilo...Mh! hiyo ni sawa na dua la kuku!, ifike hatua kama mtu ama watu hamuwataki waonyesheni pale panapostahili kuwa hamuwataki. kuombeana majanga ama kifo si jambo la akili hata kidogo maana, majanga na kifo humpata yoyote haijalishi upo ktk nafasi gani!.
kama serikali hamuitaki ama watu fulani fulani hamuwataki zipo platform zakuwakabili huko, kumuombea mtu majanga ni uchawi kama uchawi mwengine tu!.
Usidanganyike na usidanganye wengine....!Imeandikwa,.....
"Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo, kufa ni faida".
Wafilipi 1:21
so,
my friends ladies and gentlemen,
kila nafasi itaonja umauti na kamwe kifo hakizoeleki.
Ni muhimu kumshukuru Mungu kwa kila Jambo, na muhimu zaidi tupendane na kuombeana kama taifa 🐒
Walivyo wajinga watasema, hao ni CHADEMA tu ndio wanawatakia viongozi vifo...Wanadhani wanapambana na CHADEMA kumbe wanapambana na wananchi wenye nchi yao
kuishi ni Kristo, kufa ni faida,Usidanganyike na usidanganye wengine....!
Si kila nafsi itakufa au kuonja mauti...
Waovu na wasioamini peke yao ndio watakaoonja mauti/watakaokufa milele...
Wenye haki wajapokufa kimwili, wataishi...
Yohana 11:25-26 SUV"....Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo...?"
Wezi wa kura, uchaguzi na haki ya wananchi ya kuchagua viongozi wao kupitia sanduku la kura ambao viongozi wa serikali chini ya CCM na chawa wao kama wewe Tlaatlaah ndio wataonja mauti/watakufa....
Wenye haki wote tuko salama...
CCM inachukiwa kwa nguvu zote na hayo ndio natokeo ya kura kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki.View attachment 3172243
Mimi binafsi nilijizuia nisiseme neno lolote...
Lakini kimoyomoyo niliona na kufikiri kuwa kwa kuwa wameikataa njia ya haki ya kubadilishana uongozi na madaraka....
Basi, pengine njia inayofaa kuuondoa huu utawala wa uovu chini ya CCM, obvious ni hii ya kufagiliwa kwa mauti za namna hii, ajali, pressure, magonjwa ya ajabu nk nk...
Mpaka hapo tunaomba mapenzi ya Mungu yatimizwe....
We huoni wanaiba kura au unaishi Rwanda hapo? Ambapo uchaguzi Huwa wa haki na usawa?Mh! hiyo ni sawa na dua la kuku!, ifike hatua kama mtu ama watu hamuwataki waonyesheni pale panapostahili kuwa hamuwataki. kuombeana majanga ama kifo si jambo la akili hata kidogo maana, majanga na kifo humpata yoyote haijalishi upo ktk nafasi gani!.
kama serikali hamuitaki ama watu fulani fulani hamuwataki zipo platform zakuwakabili huko, kumuombea mtu majanga ni uchawi kama uchawi mwengine tu!.
Kuna angalizo la kiroho wamejaribu kupewa ni juu yao kulitii ama kulipuuziaView attachment 3172243
Mimi binafsi nilijizuia nisiseme neno lolote...
Lakini kimoyomoyo niliona na kufikiri kuwa kwa kuwa wameikataa njia ya haki ya kubadilishana uongozi na madaraka....
Basi, pengine njia inayofaa kuuondoa huu utawala wa uovu chini ya CCM, obvious ni hii ya kufagiliwa kwa mauti za namna hii, ajali, pressure, magonjwa ya ajabu nk nk...
Mpaka hapo tunaomba mapenzi ya Mungu yatimizwe....
aingie gaidi na bomu awalipue[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mimi natamani siku moja wakiwa full house pale mjengoni litokee tetemeko la ardhi na jengo lote limezwe na ardhi.
Relax kiongozi! Hao ni nyumbu wa mbowe, wanasubiri tukio lolote baya kwa serikali Kisha wanatoka mbio (wengine kwa kuwezeshwa na mabwana zao) wanapanga foleni ktk mitandao yote na kutoa hizo comments zao ovu. Sehemu zote hizo ni watu walewale; nyumbu wa mbowe. Hata wasikuumize kichwa kwani hawani akili na ni wachache tu.....wananchi Huku mtaani wapo na mama Samia Hadi 2030Mh! hiyo ni sawa na dua la kuku!, ifike hatua kama mtu ama watu hamuwataki waonyesheni pale panapostahili kuwa hamuwataki. kuombeana majanga ama kifo si jambo la akili hata kidogo maana, majanga na kifo humpata yoyote haijalishi upo ktk nafasi gani!.
kama serikali hamuitaki ama watu fulani fulani hamuwataki zipo platform zakuwakabili huko, kumuombea mtu majanga ni uchawi kama uchawi mwengine tu!.
Mkuu call a spade a spade!!Relax kiongozi! Hao ni nyumbu wa mbowe, wanasubiri tukio lolote baya kwa serikali Kisha wanatoka mbio (wengine kwa kuwezeshwa na mabwana zao) wanapanga foleni ktk mitandao yote na kutoa hizo comments zao ovu. Sehemu zote hizo ni watu walewale; nyumbu wa mbowe. Hata wasikuumize kichwa kwani hawani akili na ni wachache tu.....wananchi Huku mtaani wapo na mama Samia Hadi 2030
Una kiburi cha ujinga kichwani mwako....Ukipiga hesabu hapo
Jumla ya waliowatakia mabaya= 506+77+151+68
Jumla ya watanzania mil 60
Tafuta aslimia utajigundua ww ujielewi
HabahaaDereva ilipaswa gari aisambaze yote kwenye mti,au aitumbukize mtoni waliwe na mamba
DuuhHawa takataka wawe vichaa watembee uchi mitaani na kuokota makombo majalalani
Takataka kabisa hawa
Hatuna wabunge bali tuna Lundo la takataka na uchafu kwenye jengo la bunge