Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

mleta taarifa tunaomba utvambie ni rhotia sehemu gani?
 
Nooooo jaman sitaki kuamini shule nnayoifaham na mwanang alisoma hapo kabla hajahama
Mtt wa mpangaj mwwnzang anasoma hapo ahaaa kwann lkn kifo watt wetu wapendwa mmeondoka mapema sana
 
Hawa madereva huwa wanaendesha ka hawana vichwa vile.
 
Nimechukua point hapa
 
Nimejulishwa kutoka Tanzania kuwa kuna ajali mbaya iliyouwa watoto wengi wa darasa la saba waliokuwa wanaenda kufanya mtihani wa kujipima Karatu, kutoka shule ya Lucky Vicent
 

Attachments

  • IMG_5320 (1).JPG
    75.7 KB · Views: 24
huzuni sana
 
Ajali haina kinga ila MWENDOKASI nao majanga
Tuwaombee wazazi wote wawe wavumilivu kipindi hili kigumu poleni sana Ameen
 
Updates za picha:
R.I.P
 

Attachments

  • IMG-20170506-WA0037.jpg
    161 KB · Views: 27
R.i.p watoto wetu, waalimu Na Dereva. Kwa kweli inasikitisha . Comment zingine najizui kuandika mpaka nipate kujua tatizo ni nini? Ajali Kama ajali au ilikuwa ni uzembe etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…