Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuudah ndio maana mimi watoto wakinambiaga maswala ya kwenda ziara nawakataliaga kwa sabab ya vitu kama hivi ila kwakuwa wao hawajui waniita mkoloni yan inafikia hatua wakiwa wananiulizia wanasema"mama,mzee mkuda yupo ndani au bado hajaludi"........dah maumiv ya kupoteza mtoto ni mazito jaman mi yashanikuta !
Mkuu ndo maisha wote twapitaStaki hata kuwazia hayo matukio sijui wazazi wanakuwa kwenye hali gani? Unamlipia mtoto aende study tour ajumuike na wenzake just to make them happy alafu unakuja pata taarifa mtoto amefariki.
Yeleuwiiiii, Mungu awape pumziko roho zote zilizotangulia.
We acha tu nipo na jamaa mmoja alikua eneo la tukio na kasaidia kuokoa anasema wamefariki wengi...jamani watoto .. unaweza kuta ni wa darasa moja jamani wazazi wao wapo kwenye hali gani....wapumzike kwa amani duh