Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Pole sana kwa wote ambao wameguswa na ajali hii.

Wale majeruhi nawaombea wapate nafuu haraka na waliofariki Mwenyezi Mungu awarehemu.
 
So sad kwa kweli..Mungu awalaze mahala panapostahili
 
dah ndio maana mimi watoto wakinambiaga maswala ya kwenda ziara nawakataliaga kwa sabab ya vitu kama hivi ila kwakuwa wao hawajui waniita mkoloni yan inafikia hatua wakiwa wananiulizia wanasema"mama,mzee mkuda yupo ndani au bado hajaludi"........dah maumiv ya kupoteza mtoto ni mazito jaman mi yashanikuta !

yan mimi watoto wakinambiaga haya mambo ya ziara nawauliza mchango ni tsh ngap wakishanambia nawapa hiyo pesa nawawambia nendeni mkatembee kuna siku mtoto alijibu jibu flan sitasahau,alinijibu"baba wewe sio mzee ila mbona una mambo ya kikoloni hivo,ungekuwa unatukataza bila kutupa hizi pesa ambazo zingekuwa ghalama ya trip tungehisi m'bahili"
Mkuu kifo hakikimbiwi

Hata uende wapi kama siku yako ya kufa imefika imefika tu

Kitendo cha kuwanyima fursa ya kwenda kutembelea sehemu mbalimbali kwa ajili ya mafunzo ni kuwanyima haki yao ya msingi .
 
Dah . Inarillah wainarillah rajun. RIP wote mliofikwa na umauti
 
Ajali ya kuua watu 50+ mbona itakuwa ya kutisha sana. Coaster inabebaje watu 50+? Nna mashaka na idadi inayoripotiwa... Ila all in all hata kama amekufa mmoja ni jambo la kusikitisha sana...

Mungu awarehemu watoto wetu na awape faraja wazazi wenzetu.

Wapumzike kwa amani. Amen.
Mkuu, inawezekana kabisa. Watoto hupenda sana kupakatana na kubanana kwenye usafiri. Nahisi hali hiyo kwao ni burudani, wagombane, wasukumane, wataniane, watukanane, watekenyenyane, n.k. Waweza wakajisunda kwenye hiace hadi usiamini.
Mungu awape wepesi wafiwa.
 
e4cfb0a2c60ad4d2f6679b8b82179f44.jpg
98c598fa4a0a2c5cda2de7bf7d4a8753.jpg
a485c54ec571fa2922b749556469dd07.jpg

ffca50c6762e68e78bb5b61ef3644786.jpg
Mungu wangu
 
Poleni sana ndugu na familia.... Msiba mkubwa sana...

R.I.P
 
Mungu awajalie huruma yake majeruhi wote na pole kwa wazazi waliopoteza watoto wapenzi wao
 
Wanafunzi na walimu zaidia ya 20 wa shule ya msingi Lake Vicenti ya jijini Arusha waliopoteza maisha kwa Ajali leo

a0f1935c38496c1f1dcc44cf0af45821.jpg
4bf40c2861819c625f74116073da055c.jpg
 
Aisee daah inauma sana Mungu zipokee roho za marehem wote na uzipumzishe mahal pema.
 
Usiweke picha mkuu..sio ustaarabu,dah kweli tumetoka mavumbini...na mavumbini tutarejea
 
Back
Top Bottom