Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Maskini vitoto vizuri vidogo,vilivyokuwa vikipendeza,vimepotezwa maisha yao,na dereva asifuata sheria za barabarani.Mlale salama watoto wazuri.Poleni sana wafiwa wrote.Huu ni msiba wa wapenda watoto wote duniani.
Poleni sana wazazi na ndugu,taifa limepoteza nguvu kazi ya kesho. RIP watoto wetu.
 
Sometimes unakosa hata cha kusema.so sad,inawezekana hakukua na kosa lolote kutoka kwa dereva wala yeyote.vitu vingine hutokea tu,for his will,Almighty God.RiP watoto na wazazi garini...
 
Ajali imetokea eneo gani?
 
Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi marehemu hao,Awaswamehe madhambi yao makubwa kwa madogo,
 
walikuwa darasa la saba nasikia wanaenda kwa mitihani ya interschool
 
Hilo gari imekuwaje hadi wa nyuma wamekufa wakati linaonesha nyuma pako vizuri sana?
 
Innallillah wainaIllah Raji'un. Duh! speechless. Allah Awatie nguvu wazazi/walezi wa marehemu. Kipindi kigumu sana ktk maisha ya kiuzazi!!
 
Hilo gari imekuwaje hadi wa nyuma wamekufa wakati linaonesha nyuma pako vizuri sana?
Mkuu hayo ni madhara ya kutokufunga mikanda pia kama ajali ikitokea na ikacrush kwa impact kubwa hata siti za nyuma hungoka
 
Kwa muonekano wa hiyo gari, haikupaswa kuuwa watu wote hao..... maana nyuma ni nzima kabisa.

R.I.P wanafunzi......pole kwa wazazi ndugu Jamaa na marafiki na Taifa kwa ujumla.
Kwa hiyo inawezekana hawakufunga mikanda, gari ilipojibamiza kwa mbele, backbenchers woote wakarushwa kwenda mbele!!
Ila ndo yameshatokea
 
HIVI MAANA YA KUTOA MAPICHAPICHA YA MAREHEMU NI NINI??? HAKUNA HAJA YA KUTOA HAYO MAPICHA, TUMESHAJUA KUNA AJALI YA WATOTO WA SHULE FULANI, TUMESHAJUA IDADI INATOSHA.
 
Kazi ya shetani katika jina la Yesu Kristo ikashindwe kwa Majeruhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…