Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipende kulaumu kila kitu. Pia ukiwa katka trip ya peke yako haikuhakikishii usalama kama unavyodhani,lolote laweza kumkuta yoyote mahali na wakati wowote kama una mungu muombe tu akunusuru na hayo mamboHabari mbaya sana, poleni wazazi mm ni mmoja wa wazazi ambaye sipendi kabisa vi trip vya pamoja iwe ni kwa watu wazima au watoto i prefer private transport
Kwa kweli! Duh maana machozi yana bubujika tu!Da! Mwenyezi mungu awapumzishe Ndugu zetu hao
Mkuu hata private transport siku ikifika kifo hakikwepekiHabari mbaya sana, poleni wazazi mm ni mmoja wa wazazi ambaye sipendi kabisa vi trip vya pamoja iwe ni kwa watu wazima au watoto i prefer private transport
Tupe elimu/ongeza finyango/fanya urekebu.Nakupinga .....
poleni sana Mungu awape faraja na subira katika kipindi hiki kigumu.Dah pole sana Mkuu inasikitisha sana jamani Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu
Pole Mkuu, Mungu na awafanyieni wepesi, na mkawe na safari njema.Niko njiani kuelekea Arusha. Nimefiwa na watoto wa kaka yangu wawili katika hiyo ajali. Mungu atupatie wepesi.
Duh! Poleni sana!Asante sana mkuu. Ndio maana nimesafiri mara tu nilipopata taarifa. Ndugu zangu wengine bado hawaamini na hawataki kuamini. Kaka alikuwa na watoto hao hao ndio walikuwa wanampa faraja baada ya mke wake kuitwa na Mungu mwezi wa pili mwaka huu.