Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Hilo gari imekuwaje hadi wa nyuma wamekufa wakati linaonesha nyuma pako vizuri sana?
Unaweza husiumie popote ila ukafa kwa mshituko na BP .
Pole kwa wafiwa na Mungu awatie nguvu katika kipindi kigumu mnachopitia, sisi sote ni wapitaji katika dunia hii yatupasa kutengeneza maidha yetu.
 
Mwenyezi Mugu awapumzishe kwa amani na azipe familia zao ustahimilivu kwenye wakati huu mgumu wanaoupitia [emoji120]
 
Hakika nimehuzunika sana, hususani nikiwafikiria hao wototo.
 
HIVI MAANA YA KUTOA MAPICHAPICHA YA MAREHEMU NI NINI??? HAKUNA HAJA YA KUTOA HAYO MAPICHA, TUMESHAJUA KUNA AJALI YA WATOTO WA SHULE FULANI, TUMESHAJUA IDADI INATOSHA.
Ungeamini bila picha?muombe kuwa tumeshaona mkuu sasa tunakuomba uzitoe!
 
Habari mbaya sana, poleni wazazi mm ni mmoja wa wazazi ambaye sipendi kabisa vi trip vya pamoja iwe ni kwa watu wazima au watoto i prefer private transport
nakubaliana na wewe, pia ni muhimu kuacha safari zisizo za lazima kipindi kama hiki cha mvua nyingi!!
 
Nadhani wengi wamefariki kwa mshtuko na sio majeraha yanayoweza kuonekana kama ajali zingine
 
580111b2c90daef549b2154500e1c94a.jpg
 
This is very sad. Mungu awatie nguvu wafiwa. Ndoto zao zimezimwa ghafla, ni jambo ambalo huwezi ku-imagine.
 
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa gari aina ya coaster limeua watoto karibu wote waliokuwa wanaelekea mjini Karatu kwa ziara ya kimasomo including(joint examinations), taarifa zinasema wamebaki watoto(3) tu wengine wamefariki,

shule inaitwa Lucky Vincent Nursery & Primary School ipo Arusha ni medium schools,kwa wenye updates tunaomba mtupe
.............
UPDATES:Ajali imetokea mlima marera kijiji cha rhotia,km chache sana kutoka Karatu mjini,mlima huo una mteremko mkali na daraja na pia kulikuwa na ukungu

Picha: Soon nitaziapload ni ajali ya muda huu
Mungu awalaze mahali pema peponi
----------------------

UPDATE: Coaster inasadikiwa kuwa na zaidi ya abiria 30 na wote wanasadikiwa wamefariki,maiti zimepelekwa hospitalini na watu wameondoka eneo la tukio,mvua inanyesha

UPDATE: Picha zinakuja soon ripota yuko eneo la tukio..

19a4fcd1c935e4c031670cd880a46bc5.jpg

.........................
UPDATES:Magari ya polisi yametanda kila kona na maiti zimebebwa na magari ya polisi
Tayari kuhifadhiwa
...................
UPDATES:Ni watoto watatu (3) wanasadikiwa wako hai ila wako mahututi kabisa na kuna wasiwasi vifo vikaongezeka
UPDATES:Lucky vincent nursery school bus
62d62ef75dec257e496254f5cfb2808e.jpg

UPDATES:Shughuli za uokozi
a198eaa3cab45eec73b51943888b0a63.jpg

UPDATES:Gari lilikuwa na zaidi ya abiria 30 wanafunzi 25,waalimu (4) wote wa kiume na dereva 1
................
UPDATES:Kati ya majeruhi watoto watatu(3) wawili wako mahututi kabisa na mmoja amepasuka kichwa
................
UPDATES:Maajabu ya ajali hakuna damu zozote zilizotapakaa licha ya watu wengi sana kufa!
..................
UPDATES:Majeruhi mmoja kati ya( 3) amefariki kabla ya kufikishwa hospitali,kwa hiyo taarifa zinasema wamebaki majeruhi wawili walioko ICU
...............
UPDATES:Kuna mkanganyiko mwingi kuhusu chanzo cha ajali ila nature ya eneo la ajali ni mteremko mkali na kuna daraja,ni eneo ambalo dereva anatakiwa kuwa makini kabisa,kwa dareva asiyemwangalifu inaweza tokea lolote,hebu angalia hapo gari lilipotumbukia na haikuwa ina over take ,u can diagnose the nature of an accident
efc42e9814d84a123b6aa5a8a92fed7c.jpg

UPDATES:Mwonekano wa gari kwa mbele baada ya kupata ajali
1b9b2ef92a5648b20c71d3e04a5e5f65.jpg

UPDATES:RPC Wa arusha amethibitisha jumla ya vifo 31 vya waalimu na wanafunzi


R.I.P all

Client:Jf member
Mkuu VIP kuhusu miili kuletwa mount meru mortuary Manake Tuko hapa na hatujaambiwa chochote
 
Back
Top Bottom