Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Mungu azilaze peponi roho za marehemu na awapatie nguvu wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu
 
Rip itakuwa mteremko mkali na uterezi gari ikavuta korongoni
 
38b893b39c71a98d9df207cdaad23b50.jpg

http://necta.go.tz/matokeo/2016/psle/results/shl_ps0102080.htm
Poleni sana Walimu,..

Poleni sana wazazi.
Poleni sana wafanyakazi wa Lucky Vicent.
 
Habari mbaya sana, poleni wazazi mm ni mmoja wa wazazi ambaye sipendi kabisa vi trip vya pamoja iwe ni kwa watu wazima au watoto i prefer private transport
Usipende kulaumu kila kitu. Pia ukiwa katka trip ya peke yako haikuhakikishii usalama kama unavyodhani,lolote laweza kumkuta yoyote mahali na wakati wowote kama una mungu muombe tu akunusuru na hayo mambo
 
Mungu wa huruma tumekukosea wapi? Poleni sana wazazi pamoja na wote waliopoteza wapendwa wao katika ajali hii! Pumziko la milele uwape Ee Bwana!
 
Mungu awatie Nguvu wanafamilia wote waliopata Msiba ni Huzuni
 
Asante sana mkuu. Ndio maana nimesafiri mara tu nilipopata taarifa. Ndugu zangu wengine bado hawaamini na hawataki kuamini. Kaka alikuwa na watoto hao hao ndio walikuwa wanampa faraja baada ya mke wake kuitwa na Mungu mwezi wa pili mwaka huu.
Duh! Poleni sana!
 
Back
Top Bottom