Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Yule ni kwenye uzinduzi tuu.. kwenye shida na huzuni hata saut yake huisikii..Hivi yule mwingine ndo hana time
Asante mkuu.Pole mkuu
Shida sidhani kama ni ubora wa gari....uzoefu wa dereva na eneo husika ndo tatizo. Lile eneo alitaki mwendo kasi....pamoja na ule mteremko kua mkali pia kulikua na mvua.... kama sio mzoefu na idadi kuzidi shida ndo ipo hapo.Pole kwa wafiwa, ni msiba mzito kwa taifa, changamoto kwa kamanda Mpinga, kamanda elewa kuwa vijana wako wanaruhusu magari mabovu kutembea. Kama Mh rais ametumbua watumishi wasio na sifa, wewe unashindwa nini kuzuia magari yasiyo na sifa?
Sanasana akienda ataishia kusimanga tu na kusema ajali haijaletwa na serikal ya ccmYule ni kwenye uzinduzi tuu.. kwenye shida na huzuni hata saut yake huisikii..
Kwa kweli!Dunia inajua na Chadema wanajua huwezi Kutenganisha Ufisadi na Lowassa.
Ww kijana ni mpumbavu sana,hata kama ni uvyama huu unaofanya ni upumbavu,acha kua mpumbavu kiasi hiki kweny mambo yasiyohitaji siasa,jielewe,mjinga sana wwMods mtarekebisha baada ya Vilio vingi heading ya Mwananchi ni hii hapa chini
"Lowassa awalilia wanafunzi, maiti 32 zapelekwa mochwari''
We mngese nn heading gani hii?Waziri Mkuu Mstaafu, Edward
Lowassa ametuma salamu za rambi
rambi kutokana na tukio la watu 32
kufariki dunia katika ajali ya basi.
Waliofariki katika ajali hiyo iliyotokea leo asubuhi Karatu, ni wanafunzi 29, walimu wawili, pamoja na dereva wa gari hilo.
“Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya ajali hiyo, ni ajali mbaya ambayo inaifanya siku hii kuwa mbaya katika
historia ya nchi yetu,”alisema Miongoni mwa wanafunzi waliofariki ni pamoja na wanaume 11 na wasichana 18.
Kadhalika maiti 32 zikiwamo za walimu wawili, dereva mmoja na wanafunzi 29 zimepokelewa sasa hivi katika Hospitali ya Lutheran Karatu.
Chanzo: Mwananchi.
Yale ni maoni yake binafsi.wwe sio mzima jitafakari mbna wabongo hamkosagi maneno lakini hata kama hupendi vitrip basi wangekufa tu hao watoto ndo mungu alipanga hivo
Security is a first priority.Hapa ningejua zitakua nyingi sana. Mungu mwenyewe anajua kwanini ameruhusu hali hiyo itokee. Funzo huja baada ya.....Rip watoto
Hiyo heading imenifanya nicheke! Ingawa nilikuwa nawalilia ndugu zangu! Haki ya Mola!Dunia inajua na Chadema wanajua huwezi Kutenganisha Ufisadi na Lowassa.
UsitukaneWe mngese nn heading gani hii?