Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Mwenyezi Mungu azilaze mahala Pema roho za wanafunzi na walimu waliopata ajali hiyo na awatie nguvu wazazi/walezi katika kipindi kigumu cha msiba.
Amin
 
Pole kwa wafiwa, ni msiba mzito kwa taifa, changamoto kwa kamanda Mpinga, kamanda elewa kuwa vijana wako wanaruhusu magari mabovu kutembea. Kama Mh rais ametumbua watumishi wasio na sifa, wewe unashindwa nini kuzuia magari yasiyo na sifa?
Shida sidhani kama ni ubora wa gari....uzoefu wa dereva na eneo husika ndo tatizo. Lile eneo alitaki mwendo kasi....pamoja na ule mteremko kua mkali pia kulikua na mvua.... kama sio mzoefu na idadi kuzidi shida ndo ipo hapo.
 
Aliyepost aache ukuda na upumbavu unaweka siasa kwene mambo ya misiba jinga kabisa kaa bashite akipima akili yako
 
Mods mtarekebisha baada ya Vilio vingi heading ya Mwananchi ni hii hapa chini


"Lowassa awalilia wanafunzi, maiti 32 zapelekwa mochwari''
Ww kijana ni mpumbavu sana,hata kama ni uvyama huu unaofanya ni upumbavu,acha kua mpumbavu kiasi hiki kweny mambo yasiyohitaji siasa,jielewe,mjinga sana ww
 
We mngese nn heading gani hii?
 
Asee ni mbaya sana hii, yawezekana hao ndio wengi wao walikua vichwa darasani asee Mungu awape pumziko la amani.
 
wwe sio mzima jitafakari mbna wabongo hamkosagi maneno lakini hata kama hupendi vitrip basi wangekufa tu hao watoto ndo mungu alipanga hivo
Yale ni maoni yake binafsi.
 
Dunia inajua na Chadema wanajua huwezi Kutenganisha Ufisadi na Lowassa.
Hiyo heading imenifanya nicheke! Ingawa nilikuwa nawalilia ndugu zangu! Haki ya Mola!
 
Yule bwana aliyejinywea uji wa wagonjwa hajawalilia hawa wanafunzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…