Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Dunia inajua na Chadema wanajua huwezi Kutenganisha Ufisadi na Lowassa.
Huna akili ww mpumbavu,watu wapo kwenye issue seriouz unaleta ujinga wako,mpumbavu ww mpk mzazi wako aliekuzaa,kazaa mpumbavu.sio kila sehemu unaleta chuki zako za kisiasa.mjingaaa
 
juz nilikuwa na wife tunatpka job..tukaposha na gari moja omebeba watoto wa shule..imejaza hasa watoto wameshonana sana hapo karibu na mt meri hotel..nikamwambia wife ipo siku utatokea msiba mkubwa wa hiz gari zinazobeba watoto..gar zinajaza sana na nyingo ni mbovu..hata wiki haijaisha ona maafa haya...unakwwnda rut ndefu na watoto wa watu bila kufanya service za maana..hilo gar ni bovu na ndio maana limefail break ....
baada ya hii ajali serikali ndio iraamka saa na tutegemee maamumz na makaripio mfululizo...
 
Uwe muungwana na kichwa cha habari. Wakati huu wa msiba tunatakiwa tuwe na MSHIKAMANO na siyo kumkashifu mwenzako
 
Mkuu unafeli sana ku'report habari za watoto waliofariki kama hivi, ingekua upo jela watu kama nyie dawa yenu ni kuliwa tu. Kuwa na adabu.
 
Mods mtarekebisha baada ya Vilio vingi heading ya Mwananchi ni hii hapa chini


"Lowassa awalilia wanafunzi, maiti 32 zapelekwa mochwari''
Angekuwepo mwanao hapo usingepata muda wa umbea. Kilicho kufanya usipost kama ilivyo nini. Hovyoo.

Rip watoto.
 
hivi kweli unaripoti habari ya vifo halafu unaweka ushabiki wa kisiasa mbele namna hiyo..
Kwa nini asifurahie wakati hayo ndio makafara ya ccm? Huu ndio muda wao kuuza sura, Bashite anatamani hao wanafunzi wangepata hiyo ajali Dar ili avimbishe bichwa lake kwenye runinga.
 
Back
Top Bottom