blackhermit
Member
- Aug 28, 2016
- 24
- 8
r.i.p
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majini yenu yanahitaji damu ni kwa nini msitowane makafara kwenye ule msafara mnaokimbiza moto nchi nzima kila mwaka?Dunia inajua na Chadema wanajua huwezi Kutenganisha Ufisadi na Lowassa.
Na fisadi wa terrible teens hajatoa salamu za rambi rambi bado..?[emoji12]
Kaka umesoma ulicho andika? Au imejipostTroll umewapata leo, aibu hii....umegonga kwenzi la utosi, kwa!!
Wanyarwanda wanataka kutuharibia taifa, hii ni tofauti sana na Rais wao kagame.. Mtu mpole, mwenye maamuzi makini, jasusi ninayemjua mwa-mwi, ila raia wake ni virusi mwa-mwi...Waziri Mkuu Mstaafu, Edward
Lowassa ametuma salamu za rambi
rambi kutokana na tukio la watu 32
kufariki dunia katika ajali ya basi.
Waliofariki katika ajali hiyo iliyotokea leo asubuhi Karatu, ni wanafunzi 29, walimu wawili, pamoja na dereva wa gari hilo.
“Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya ajali hiyo, ni ajali mbaya ambayo inaifanya siku hii kuwa mbaya katika
historia ya nchi yetu,”alisema Miongoni mwa wanafunzi waliofariki ni pamoja na wanaume 11 na wasichana 18.
Kadhalika maiti 32 zikiwamo za walimu wawili, dereva mmoja na wanafunzi 29 zimepokelewa sasa hivi katika Hospitali ya Lutheran Karatu.
Chanzo: Mwananchi.
ila bashite jamani amepotea!! yaani hata sura yake naanza kuisahau sasa. aisee shikamoo Vyombo vya habariKwa nini asifurahie wakati hayo ndio makafara ya ccm? Huu ndio muda wao kuuza sura, Bashite anatamani hao wanafunzi wangepata hiyo ajali Dar ili avimbishe bichwa lake kwenye runinga.
Bora angekufa huyu wale watoto wabaki kuliko kubaki na watu wasikua utu.Mkuu unafeli sana ku'report habari za watoto waliofariki kama hivi, ingekua upo jela watu kama nyie dawa yenu ni kuliwa tu. Kuwa na adabu.
Yaani yamekuwa makelele mtindo mmoja. Tuombolezeni.Troll umewapata leo, aibu hii....umegonga kwenzi la utosi, kwa!!
Unataka kutuambia gazeti la Mwananchi ndo limetoa kichwa cha namna hiyo.. Au watafuta kiki..Waziri Mkuu Mstaafu, Edward
Lowassa ametuma salamu za rambi
rambi kutokana na tukio la watu 32
kufariki dunia katika ajali ya basi.
Waliofariki katika ajali hiyo iliyotokea leo asubuhi Karatu, ni wanafunzi 29, walimu wawili, pamoja na dereva wa gari hilo.
“Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya ajali hiyo, ni ajali mbaya ambayo inaifanya siku hii kuwa mbaya katika
historia ya nchi yetu,”alisema Miongoni mwa wanafunzi waliofariki ni pamoja na wanaume 11 na wasichana 18.
Kadhalika maiti 32 zikiwamo za walimu wawili, dereva mmoja na wanafunzi 29 zimepokelewa sasa hivi katika Hospitali ya Lutheran Karatu.
Chanzo: Mwananchi.
Sis kwema. Umekuwa kimya kumbe ushabadilisha hata avatar yangu. Safari hii sikulalamikii lakini baada ya muda nitaanza kuipigania ile ya mwanzo. Nimesoma soma kidogo kumhusu huyu malkia. She was tough!Usitukane