Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Unafikiri wote humu ni wanachama wa hivyo vyama vyenu [emoji21], toa taarifa vizuri huo ni msiba mzito ndugu...watu tunaomboleza wewe unaleta utani,inaonesha ni jinsi gani umedumaa akili.
 
Ulieripoti hii habari kwa heading hii we ni pumbavu kabisa watu tunamaumivu hapa alafu unaleta siasa hapa pumbavu wewe
 
Ya kupika hii
 
Ukimkuta shoga hana bwana muda mrefu hata akili yake inakuwa ya aina hii.
 
Mods mtarekebisha baada ya Vilio vingi heading ya Mwananchi ni hii hapa chini


"Lowassa awalilia wanafunzi, maiti 32 zapelekwa mochwari''
Naona jotoridi limekuanda, sasa umeanza kutikisia wanaume kamsambwanda wako.
 
Hii taarifa sidhani kama chanzo cha habari ni mwananchi
 
Da inasikitisha sana watoto angali ni wadogo ndo wameshakwenda sisi sote ni wa Allah na kwake ni wenye Kurejea
 
Kila mtu anaitikadi yake inawezekana unaoloongea ni sawa. Ila kwa msiba mkubwa kama huu hukupaswa kuweka heading ya namna hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…