Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

kwa mujib wa mtoto manusuru amesema gari ilifail break mwanzo wa mteremko...walim na wanafunzi wakaanza kupoga kelele....
mind you..watoto wengi sana wa hizi shuke huwa wanapenda kusimama hawaki kwenye viti..full kuchungulia nje..naamink hawa wengi wamekufa kwa kujigonga kwenye roof ya gari baada ya gari kukita kule chini.....
Hili ni tatizo kubwa sana kungekuwa ni lazima kila bus la shule ni seat belt na sheria ziwe kali maana inaweza hata kutokea town tu watoto wakiwa wanaenda au kurudi hili la belt ni live saving kwa asilimia 90
 
Anaeweza kuelezea uchungu halisi wa hili tukio ni mtu aitwae mzazi... Wengine wanaeza tu kuwa wafuata upepo.. Nikiwa mzazi ambae pia nasomesha nimeumia kupita maelezo nipo namuangalia mwanangu hapa huku fikra zikinipeleka kwa wazazi waliopoteza watoto... Inauma sana, poleni wazazi wenzangu.. Watoto wamepumzika tutaonana nao tena mbinguni... Amina..!!
 
R.I.P naona Kuna Sir name Zinafanana huenda Ndugu pia wamekufa.

Justine Alex
Anold Alex

Aisha Said
Subrina Said
Kuna mdau humu alisema kaka yake kapoteza wawili.

Huenda wakawa ndio btn hao...
MAY THEIR BEUTIFUL SOUL RESTBIN PEACE
 
Iliwahi kutokea huku Zanzibar kuna shule moja wanafunzi walienda pwani wanavyosema kwa masuali ya kusoma. Sijui ilikuwaje wakaawacha wtt wakapanda kidau tena wala haikuwa maji ya mbali sana. Kidau kikapinduka wanafunzi 11 walikufa alibaki mmoja tu ambae alisaidiwa na urefu wake. She is a big girl now.
Ohh! That is so sweet, napata goosebumps walahi!
 
Ni kweli hii ni kazi ya Mungu? Na ipi hasa nikazi ya shetani kama Mungu naye anajihusisha na ukatili kama huu?
Pale unapo amua kuwa mzembe....Mungu atashuka kukufundisha..... Eneo lenyewe tu ukiliona hata bila kusoma alama unajiongeza mwenyewe kuwa makini. Hali ya hewa na mteremko mkali ulitosha kumuongoza dereva....sema tu maji yaki mwagika hayawezi kuzoleka tena.

Rip watoto wetu.
 
Mungu awalaze marehemu mahali pema peponi,awape uimara familia za wafiwa,imeniuma kweli,so sad.
 
R.i.p ila utashangaa kesho mwenye shule biashara inakubali ananunua mabus 10 na shule inapanuka gafraàa!!

Nilijua hizi Post za hivi lazima ziwepo leo.


Kwa hiyo unataka kusema mwenye shule ametoa Sadaka?

Acheni upuuzi wenu.
 
Mwenyezi Mungu azilaze mahali peponi roho za marehemu. Poleni sana wazazi mliopoteza wapendwa wenu!
 
Back
Top Bottom