Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

We acha tu nipo na jamaa mmoja alikua eneo la tukio na kasaidia kuokoa anasema wamefariki wengi...
Jamani poleni wote kwani msiba huu ni wetu sote.Mtaa mzima wa jirani na shule ni vilio na huzuni tupu hadi unashindwa sasa uende kwa nani.Naomba niweke jambo moja sawa hapa,hawa watoto walikuwa wanaenda kufanya mtihani wa ujirani mwema na shule moja iliko Karatu na wala hawakua wanaenda kwenye study tour.
 
Eeh Mungu weweh jamani jamaniii inauma sana aiseeh! Mungu tu awape faraja wazazi pamoja ndgw jamaa na marafiki
 
Acha mihemko dogo..
Kufanana surname hakumaanishi watu ni ndugu, hata kama wanasoma darasa moja....
Tena majina yenyewe yeboyebo sana hayo. Nashangaa kwanini unahemka hivo!!
Unaelewa maana ya Huenda? Acha Kutumia viungo vyako unavyokalia Kufikiri
IMG_20170506_183440_142.JPG
 
mungu awalaze pema marehemu, pia awape wazazi moyo wa uvumulivu ktk kipindi hiki kigumu
 
Ndg zangu.

Taarifa zilizonifikia hivi punde nikiwa hapa Arusha, wanafunzi waliofariki wamefunga 33. Ikumbukwe, waliofariki papo hapo ni 32, wawili walinusurika na kuwahishwa hospital. Mmoja kati ya hao, ametutoka.RIP.

Na Yale mabasi mengine 2, wanafunzi waliendelea na safari mpk mjin Karatu kuendelea na mtihani wao, hawakuambiwa na mpk sasa hao wenzao hawajui kilichotokea. Magari hayo 2, yalikuwa mbele ya hilo lililopata ajari.

RIP
Kuendelea na safari ni kukosa utu in my view. Mnafanyeje mitihani ambayo siyo ya kitaifa huku wenzenu wakiwa wamepata ajali
 
R.I.P
Hilo jina la (25) Paulo Thomas naona limekwatwa kwahiyo kweny hiyo list aliwekwa kwa bahat mbaya?
Ni mbaya sana mtu hai kumchanganya na marehemu
Umeenda mbali ila kuna ka ukweli hapo
 
R.I.P
Hilo jina la (25) Paulo Thomas naona limekwatwa kwahiyo kweny hiyo list aliwekwa kwa bahat mbaya?
Ni mbaya sana mtu hai kumchanganya na marehemu
Na bado wamem consider kama MTU wa 25 huoni namba imeendelea 26 27
 
Poleni wafiwa
Traffic waiangalie pia barabara kuanzia Makutano hadi Tarime bus za Batco, Zakaria na Kisire zinakimbia sana.
Distance ya Makutano mpaka Tarime ni 66 km, hizi bus zinatumia dk 35 mpaka 45!!!
Kama hatua hazitachukuliwa na watu wa usalama ipo siku ajari mbaya itatokea.
 
dah ndio maana mimi watoto wakinambiaga maswala ya kwenda ziara nawakataliaga kwa sabab ya vitu kama hivi ila kwakuwa wao hawajui waniita mkoloni yan inafikia hatua wakiwa wananiulizia wanasema"mama,mzee mkuda yupo ndani au bado hajaludi"........dah maumiv ya kupoteza mtoto ni mazito jaman mi yashanikuta !

yan mimi watoto wakinambiaga haya mambo ya ziara nawauliza mchango ni tsh ngap wakishanambia nawapa hiyo pesa nawawambia waituumie kwa kununua kitu au waile ila sio kwenda huko trip kuna siku mtoto alijibu jibu flan sitasahau,alinijibu"baba wewe sio mzee ila mbona una mambo ya kikoloni hivo,ungekuwa unatukataza bila kutupa hizi pesa ambazo zingekuwa ghalama ya trip tungehisi m'bahili"


alafu ilipotokea ajal hapo Rotia ndio pananikumbusha tukio nalojitahidi kulisahau...miaka ming sana imepita,ilikuwa nimetoka pale karatu high school kumchek mtoto wa brother wangu nkapokea simu nikiwa eneo hilo toka kwa wife ambae alikuwa pale mlala hospital ya babati akiwa analia tuu mda huo mtoto alikuwa kalazwa so nkaunganisha dotS nkajua tayal mtoto sina..alikuwa wa kiume nililia sana japo machoz hayakuonekana,nilimpata nikiwa na umri wa 17yrs yan nlikuwa nkikaaa nae watuwalihis mdogo wangu

ushaur wangu kwa wazaz na ndgu waliopoteza watotot wasilie hadi kumkosea mungu maana yatawakuta yaliyonikuta,baada ya kifo cha yule mtoto nilikufulu sana mungu kwann kachukua kidume changu matokeo yake mpaka leo kila mimba ni dume na nishachepuka japo kutafuta wa kumpa jina la mama angu napo naambulia madume!!

WAPUMZIKE KWA AMAN HAO WATOTO.

Pole sana mkuu.Hivi,hiyo mitihani wakifanyia shuleni kwao wakalinganisha matokeo kuna ubaya gani? Japo siku ikifika tu lazima,lakini fikilia kama ni dalasa moja au mawili! Unadhani kupata walimu tena na watoto waliobaki watarudi katika hali ya kawaida ili waweze kusoma baada ya mda gani?
Yupo rafiki yangu mmoja,watoto walitokaga hivo,wakaenda kutalii,kurudi mtoto anajichekesha ovyo,akienda toilet mpaka umutoe,na akifika anakaa tu,mavazi,kama hajajitandia ndani hapakaliki,mwisho wa siku alishaharibika hadi pad mpaka avishwe,nasikia yaliwapata wakiwa 4 na wote mpaka leo hii wako hivyo. Wazazi wakati mwingine waangalie mambo yasiyo ya lazima,japobwengine wataweka pingamizi
 
Habari mbaya sana, poleni wazazi mm ni mmoja wa wazazi ambaye sipendi kabisa vi trip vya pamoja iwe ni kwa watu wazima au watoto i prefer private transport
ya mungu mengi 13 megapixel. mungu awalaze mahala pema ameh. ajali hizi sometimes sikia tu, ukiwa dereva wa masafa njiani kuna mambo mengi
 
Rip na polen wafiwa wote
N ajali mbaya kwa kweli
 
Back
Top Bottom