Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,718
- 15,347
Hata mm imenharbia siku kabisaaa, nahis tumbo linakata maumivu nlo nayo basi tuDah siku yangu Leo imekuwa ngumu sana kwa taarifa hii, kwakweli nilikuwa na miaka mingi sana sijalia hili limeniliza na bado nalia nalia sana,kwakweli inauma inauma japo watoto si wangu ila moyo nahisi unapasuka,